Uchaguzi 2020 Ilani ya CCM 2020: Mkitupa kura ndani ya miaka 5 tutatengeneza ajira milioni 8

Uchaguzi 2020 Ilani ya CCM 2020: Mkitupa kura ndani ya miaka 5 tutatengeneza ajira milioni 8

torosi

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2020
Posts
862
Reaction score
1,430
Wajumbe
Nasoma hapa ukurasa wa 5 mwanzoni kabisa, kwamba CCM imezamiria kustawisha maisha ya kila Mtanzania kwa kutokomeza umaskini na kuhakikisha taifa linafikia uchumi wa kati ( Kumbe bado hatujafika au wamecopy na kupaste ya 2015 😁😁😁😁 ) kwa kuongeza ajira zaidi ya MILIONI 8 ( 1,2,3 .... 8000001+ 🙄 )

waKat.png


EMBU CCM tuelezeni kwanza kwa miaka 5 mliyopewa mmezalisha ajira ngapi ( sio viwanda uchwara ) na kupoteza ajira ngapi , halafu hii twit hapa chini inamaana tuliingizwa choo cha kike .?



Ukisoma ukurasa wa tano, una kipengele kinasema watatengeza ajira milioni 8, ila ukija ukurasa wa 8 ambao unaelezea kwa kirefu kipengele cha ukurasa wa tano, kinasema watatengeneza ajira milion 7, hizi ajira milion 1 zimeenda wapi.

Hi inaonyesha ni jinsi gani tunadanganywa kwenye hii sekta ya ajira na CCM, Bashiru na jopo lako hapo lumumba mlikua mnaharaka gani wakati wa ku-type.

Hata hii ilani yenyewe sidhani kama kuna watu walikaa wakaipitia kuhakiki kama kilichoondikwa ndani kinajitosheleza. imejaa makosa kibao

2504140_ajira.png
2504137_2504092_waKat.png


Mataga kazi kwenu kutetea
 
Sema ulikimbia shule uchumi wa kati ina madaraja uchumi wa kati daraja la kwanza uchumi kati daraja la kativna uchumi wa kati daraja la juu .ukitoka kwenye uchumi wa kati daraja la kati juu unaingia uchumi wa daraja la kwanza .sisi tupo uchumi daraja la kati la kwanza


Shule ni muhimu bwashee
Mwenye macho haambiwi ona
 
Sema ulikimbia shule uchumi wa kati ina madaraja uchumi wa kati daraja la kwanza uchumi kati daraja la kativna uchumi wa kati daraja la juu .ukitoka kwenye uchumi wa kati daraja la kati juu unaingia uchumi wa daraja la kwanza .sisi tupo uchumi daraja la kati la kwanza


Shule ni muhimu bwashee
Unaweza kujikuta umepata uwendawazimu kwa kuitetea CCM, yaani kuitetea CCM ni sawa na kubeba gunia la misumari, namshukuru Mungu mabinti zangu wanaelewa mambo sana
 
W
Wajumbe
Nasoma hapa ukurasa wa 5 mwanzoni kabisa, kwamba CCM imezamiria kustawisha maisha ya kila Mtanzania kwa kutokomeza umaskini na kuhakikisha taifa linafikia uchumi wa kati ( Kumbe bado hatujafika au wamecopy na kupaste ya 2015 😁😁😁😁 ) kwa kuongeza ajira zaidi ya MILIONI 8 ( 1,2,3 .... 8000001+ 🙄 )

View attachment 1554766

EMBU CCM tuelezeni kwanza kwa miaka 5 mliyopewa mmezalisha ajira ngapi ( sio viwanda uchwara ) na kupoteza ajira ngapi , halafu hii twit hapa chini inamaana tuliingizwa choo cha kike .?


wambie warekebishe hapo pasomeke kulinda na kuimarisha utu-mwa,
 
Wajumbe
Nasoma hapa ukurasa wa 5 mwanzoni kabisa, kwamba CCM imezamiria kustawisha maisha ya kila Mtanzania kwa kutokomeza umaskini na kuhakikisha taifa linafikia uchumi wa kati ( Kumbe bado hatujafika au wamecopy na kupaste ya 2015 [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] ) kwa kuongeza ajira zaidi ya MILIONI 8 ( 1,2,3 .... 8000001+ [emoji849] )...
Ila ccm akili huwa zinaruka mara nyingine, et lijitu linakwambia tumeibiwa sana wakati nyinyi wenyewe ccm ndiwo mlikuwa mnasaini mikataba na mibovu na wakoloni haohao, misaada hampati toka kwa hao wakoloni basi mnawaita mabeberu.
 
Back
Top Bottom