Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Waache mambo yao ya kikhanithi2015 JPM alituahidi ajira 52,000 lakini hakuzitoa leo hii anaahidi ajira 8,000,000 huyu mzee anatuona hamnazo kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waache mambo yao ya kikhanithi2015 JPM alituahidi ajira 52,000 lakini hakuzitoa leo hii anaahidi ajira 8,000,000 huyu mzee anatuona hamnazo kabisa
Miaka 59 imetoshaWajumbe
Nasoma hapa ukurasa wa 5 mwanzoni kabisa, kwamba CCM imezamiria kustawisha maisha ya kila Mtanzania kwa kutokomeza umaskini na kuhakikisha taifa linafikia uchumi wa kati ( Kumbe bado hatujafika au wamecopy na kupaste ya 2015 😁😁😁😁 ) kwa kuongeza ajira zaidi ya MILIONI 8 ( 1,2,3 .... 8000001+ 🙄 )....
Kuna jamaa yao mwingine anaaibika star tvila CCM wana mambo sana, yaani miaka mitano iliyopita waliua ajira Leo hii wanataka kuzalisha ajira, hata kidanganya hawawezi
Saa hizi??Kuna jamaa yao mwingine anaaibika star tv
AhahhahhMiaka 5 umeua ajira. Sasa another term ni muda wa kuzika. Maana after death ni burials
Huu ni uongo, iweje kipengele kimoja kiongee mambo mawili tofauti, title ilitakiwa kuwa moja sio kama invyonekana hapo juuKukiwa na mipango mizuri ya kiuchumi inawezekana, issue ni je hiyo mipango ipo?
Wameshazoea kudanganya kwenye elimu, afya na uchumi. Kudanganya ni sawa na kula nyama ya mtu ukishaanza huwezi kuacha mpaka uachishwe.Wajumbe,
Naendelea kusoma ilani ya chama cha mapinduzi
Ukisoma ukurasa wa tano, una kipengele kinasema watatengeza ajira milioni 8, ila ukija ukurasa wa 8 ambao unaelezea kwa kirefu kipengele cha ukurasa wa tano, kinasema watatengeneza ajira milion 7, hizi ajira milion 1 zimeenda....
Ukisoma hi ilani, ni comedy tupu huku ndaniWameshazoea kudanganya kwenye elimu, afya na uchumi. Kudanganya ni sawa na kula nyama ya mtu ukishaanza huwezi kuacha mpaka uachishwe.
Hakuna mpyaSema ulikimbia shule uchumi wa kati ina madaraja uchumi wa kati daraja la kwanza uchumi kati daraja la kativna uchumi wa kati daraja la juu .ukitoka kwenye uchumi wa kati daraja la kati juu unaingia uchumi wa daraja la kwanza .sisi tupo uchumi daraja la kati la kwanza.
Shule ni muhimu bwashee
Daraja la kati la kwanza umetumia takwimu zp kuielezea tanzania?kwa hiyo tuko Karibu kuingia kwenye nchi zilizoendelea kiuchumi like United States?manake tupo level ya sweden,Norway,south korea?Hzi ni ndoto za 500+ years to comeSema ulikimbia shule uchumi wa kati ina madaraja uchumi wa kati daraja la kwanza uchumi kati daraja la kativna uchumi wa kati daraja la juu .ukitoka kwenye uchumi wa kati daraja la kati juu unaingia uchumi wa daraja la kwanza .sisi tupo uchumi daraja la kati la kwanza.
Shule ni muhimu bwashee
Wekeni hiyo ilani na wengine tuisome,tucheke tuongeze siku za kuishi wakuu