Kiongozi mkuu2020
JF-Expert Member
- Aug 8, 2020
- 1,748
- 998
Ni kweli kabisa mapya yako kule kwa mwenye kiki ya kushuhudia miujiza huku akiomba uraisi kama kifuta machozi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenye akili watamkataa!
Umasikini bado ni mkubwa kwa Watanzania, ajira, mikopo elimu ya juu tuachane na Lissu, tushuhulikie hayaNi kweli kabisa mapya yako kule kwa mwenye kiki ya kushuhudia miujiza huku akiomba uraisi kama kifuta machoziii.
Anza wewe na familia yako, mtupe mikakati ya kuleta maendeleo ya jutoa mikopo,ajira,. Haaaaaa haaaaaa.Umasikini bado ni mkubwa kwa watanzania, ajira, mikopo elimu ya juu tuachane na Lissu, tushuhulikie haya
Hakuna jipya, watu wanataka maendeleo yao wamudu gharama za maisha. Mishahara miaka mitano watumishi hawajapandishiwa. Watu hawali ndege na flyover, wanakula chakulaAkili zako ukikabidhi kwa Lisu huwezi kuona jipya la JPM
Hapo kwa ufupi unajaribu kusema umekosa la kujibu hoja!Lumumba mmeshikwa pabaya!Nikweli kabisa mapya yako kule kwa mwenye kiki ya kushuhudia miujiza huku akiomba uraisi kama kifuta machoziii.
Na ajira mpya mil 8Kuna ahadi ya ndege mpya 5
Yale anajua ali boilHata maendeleo kama ule uwanja wa chato na mbuga ya kutengeneza ya burigi hajaviongelea kabisa wakati vinaweza kumpa kura