Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
[emoji848][emoji40]
JESUS IS LORD[emoji120]
JESUS IS LORD[emoji120]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata maendeleo kama ule uwanja wa chato na mbuga ya kutengeneza ya burigi hajaviongelea kabisa wakati vinaweza kumpa kura
Ongeza sauti mkuuHata maendeleo kama ule uwanja wa chato na mbuga ya kutengeneza ya burigi hajaviongelea kabisa wakati vinaweza kumpa kura
Siku zote kichaa huwa anamuona mzima ni kichaa.sikushangai kwa hiloSitegemei walemavu wa akili wenye mtindio wa Ubongo kuelewa neema ya Mungu alivyo wapenda Watu wake Watanzania na kuwapa kupitia Kiongozi huyu JPM.
Tuendelee kuomba uponyaji kwa walemavu hawa wa akili pengine siku moja nao watapata kuitambua hii neema ya Mungu.
He! Na wengine wasikie piaSasa kama anaongea mambo yaleyale kila anakokwenda kwa nini asifanye mkutano mmoja tu kuliko kuzungusha ule upaa wake
Unamfahamu VUTA-NKUVUTE?Akili zako ukikabidhi kwa Lisu huwezi kuona jipya la JPM
Endelea kukaa tu hapo sebuleni kwa shemeji yako utaletewa chakula mkuuHakuna jipya, watu wanataka maendeleo yao wamudu gharama za maisha. Mishahara miaka mitano watumishi hawajapandishiwa. Watu hawali ndege na flyover, wanakula chakula
Duuuh kwahiyo unasema huyu muuaji katumwa na Mungu kuja kuua wapinzani?
He! Na wengine wasikie pia
Kama ambavyo wewe umekabidhi kwa malaika mkuu na yesu wa Lugola,ni kusifu,kupamba na kuabudu.Akili zako ukikabidhi kwa Lisu huwezi kuona jipya la JPM