Uchaguzi 2020 Ilani ya CCM 2020: Mkitupa kura ndani ya miaka 5 tutatengeneza ajira milioni 8

Uchaguzi 2020 Ilani ya CCM 2020: Mkitupa kura ndani ya miaka 5 tutatengeneza ajira milioni 8

Kwahiyo waendelee kuwajazia watumishi mishahara tu huko kwingine kusubiri kwanza siyo?

Ungesema kosa la Magufuli ni kutoongeza mishahara kwa nyie mlioajiriwa ambao ni kama asilimia 2 ya watz wote.

Lakini kusema eti kajenga flyover badala ya nyie kuongezewa mishahara unaonekana hoja yako iko butu.

Na kama hii hoja Lisu akiendelea nayo kwenye kampeni atapata kura 2% ya hao wafanyakazi alafu rundo la watu waliojiari na kufaidi matunda ya flyover watampigia JPM.
Unauliza waendelee kuwajazia wakati hata mara moja tu hawajaongeza? Mkuu unafikiria kweli hilo

Mimi sio mtumishi, ila nina ndugu jamaa na marafiki naona hali halisi.

Sawa watumishi unadai ni 2% tu, niambie ni kundi gani la jamii linafurahia sera za awamu ya 5? Wakulima? Wafanyabiashara?
 
Unauliza waendelee kuwajazia hata mara moja tu hawajaongeza? Mkuu unafikiria kweli hilo
Wenzetu katika mataifa ya watu wanaojitambua kipindi kama hiki wanaainisha mambo ambayo rais anaetetea kiti chake alipaswa kufanya lakini hakufanya, hufanya hivyo bila kuponda kile alichofanya ambacho nacho ni muhimu kwa taifa.

Mfano ni kama hapa mtu unapoponda flyover kisa hujaongezewa mshahara unaonekana hujitambui.

Hiyo flyover inaongeza ufanisi wa watu kufanya kazi zao kwa kuokoa muda uliokuwa unapotea kwenye foreni.

Sasa kwakuwa ana muda zaidi wa kuzalisha kodi itaongezeka na hatimaye huo mshahara wako kuongezeka pia.

Sasa kwa vile akili zenu mmemkabidhi Lisu, kila anachoongea mnabeba bila kufanya analysis kwa kutumia akili zenu.
 
Umasikini bado ni mkubwa kwa watanzania, ajira, mikopo elimu ya juu tuachane na Lissu, tushuhulikie haya
Hao wapumbavu hato isha wanaongelea personal issue wakati tuna matatizo kibao,Mwingine tarime ana discourage wanawake kugombe kwakuwaita malaya wakati wa kuwadharau au kuwatia woga wasijitokeze kugombea umepita,naandika kama mzazi sio wakati wa kungojea posa kwa watoto wa kike,they can do anything men does.uchaguzi ujao wajitokeze weeeengi weengi.
 
Wenzetu katika mataifa ya watu wanaojitambua kipindi kama hiki wanaainisha mambo ambayo rais anaetetea kiti chake alipaswa kufanya lakini hakufanya, hufanya hivyo bila kuponda kile alichofanya ambacho nacho ni muhimu kwa taifa.

Mfano ni kama hapa mtu unapoponda flyover kisa hujaongezewa mshahara unaonekana hujitambui.

Hiyo flyover inaongeza ufanisi wa watu kufanya kazi zao kwa kuokoa muda uliokuwa unapotea kwenye foreni.

Sasa kwakuwa ana muda zaidi wa kuzalisha kodi itaongezeka na hatimaye huo mshahara wako kuongezeka pia.

Sasa kwa vile akili zenu mmemkabidhi Lisu, kila anachoongea mnabeba bila kufanya analysis kwa kutumia akili zenu.
Wqnaongeza ufanini halafu huwaongezi mishahara kwa miaka mitano

Jk alijenga miundombinu mingi sana lakini watumishi hawakuwahi kuwaambiwa kuwa anajenga Km nyingi za barabara kwa hiyo hatowaongeza. Ndio maana kuna bajeti kwamba kila jambo linafanyika japo vipaumbele vitakuwepo. Kuongoza nchi ni maarifa
 
Ame kariri hana jipya. Hotuba zake zina kifu kwakuwa hana jipya la kujiongeza kulingana na mazingira. Akienda kanisani anaongea yale yale anayo ongea akiwa kwenye mikutano ya hadhara. Yaani kabla haja anza kuongea unakuwa unajua kila kitu atakacho ongea hivyo haina haja ya kupoteza muda kumsikiliza
 
Eti barabara zinasaidia watu kwenda kuposa na hvyo binti hawez kukimbia alf mifuas inashangilia....imewekwa kwenye kumbukumbu
 
Kifupi ni kwamba ccm wameishiwa pumzi na wanajua watz hawawataki wanajua 2015 hawakushinda bara wala visiwani ndio chanzo cha huu ushetani wote wanaoufanya
 
Hataki kudanganya anaeleza ukweli kwamba ataendeleza aliyoyaanzisha watanzania mumezoea kudanganywa.
 
Kuna Watu wengine huwa nawaza kwanini tu CORONA 'haikuondoka' nanyi kwani mnatuthibitishia kabisa kuwa hamna faida ya kuwepo Ulimwenguni kwakuwa Vichwani mwenu hakuna Tija na Madini ya Kuisaidia Tanzania Kimaendeleo.

Yaani Kampeni hazina hata Siku Saba ( 7 ) na zipo kwa Siku 62 halafu bado unataka 'Kuharakisha' JPM ayaseme yote kwa mara moja. Kampeni za Uchaguzi zina 'Mbinu' zake hasa katika Kuvutia Watu, Kuwapiku 'Kihoja' Wapinzani wako, Kuwasoma na pia kufanya 'Timing' ya uhakika ili Malengo yako yatimie.

Huko Vyuo Vikuu mlienda Kujifunza tu Kujisaficha Mikono baada ya kutoka Haja Kubwa tu au? Mnakera!
Acha kutia watu upofu wa jaha....jpm ni yuleyule hana jipya .kwa nchi zenye watu wanaojielewa na mifumo mizuri ya kisheria na kidemokrasia hana sifa za kushawishi mambo ya msingi.in five yrs pekeake anatamba na porojo za miradi yake ambayo haina kitu kinachonesha return on investment,bahati mbaya anawafuasi wengi opportunist and short sighted....wanawaza kusifia ili wateuliwe maana kusifiwa ndio ulevi wake
 
Wanaomuelewa raisi MAGUFULI ni vijana waliotokana na walimu za kata au kudesa. Huyu hana jipya na tungekuwa Kenya au Malawi angekwenda na maji. Mapema tu. Anachokifanya yeye ni propaganda
Atakwambia amejenga fly overs wakati ni viko
Atakwambia uchumi umepanda wakati yeye AMEPORA WATU KOROSHO ZAO.
Atakwambia nidham kwa watumishi imeongezeka wakati mapolisi wanakula rushwa mcshane kweupe.
Atakwambia viwanda mara Ajira wakati wahitimu wapo mitaani
HUYU NI MUONGO HANA JIPYA
 
Wanaomuelewa raisi MAGUFULI ni vijana waliotokana na walimu za kata au kudesa. Huyu hana jipya na tungekuwa Kenya au Malawi angekwenda na maji. Mapema tu. Anachokifanya yeye ni propaganda
Atakwambia amejenga fly overs wakati ni viko
Atakwambia uchumi umepanda wakati yeye AMEPORA WATU KOROSHO ZAO.
Atakwambia nidham kwa watumishi imeongezeka wakati mapolisi wanakula rushwa mcshane kweupe.
Atakwambia viwanda mara Ajira wakati wahitimu wapo mitaani
HUYU NI MUONGO HANA JIPYA
Na wanaomuelewa Lissu ni taka taka za Mbowe hawana walijualo zaidi ya kudeki lami. This time mtadeki upepo dadadeki.
 

Attachments

  • IMG_20200821_215045.jpg
    IMG_20200821_215045.jpg
    19.2 KB · Views: 1
Miaka 5 eti ilikuwa ya onja onja yaani Walikuwa wana jaribu 'testing testing' a country is not a company
 
Back
Top Bottom