Uchaguzi 2020 Ilani ya CCM 2020: Mkitupa kura ndani ya miaka 5 tutatengeneza ajira milioni 8

Uchaguzi 2020 Ilani ya CCM 2020: Mkitupa kura ndani ya miaka 5 tutatengeneza ajira milioni 8

Hawezi kua na jipya.Alipata nafasi miaka mitano ya mwanzo kama angekua na jipya nala tofauti lingeonekana kipindi hicho kwasababu aliingia akiwa na maono na nia yakuongoza sasa kwavile alishindwa kuyafanya usitegemee jambo jipya toka kwake ata akipata miaka 100 mingine.

Hii awamu anayogombea sasa ni kutaka kukamilisha tu ratiba ila hakuna jipya.Mtu ameshindwa kutumia kipindi cha kwanza kuleta mabadiliko sasa hivi yuko half time ndo anakuja kukwambia kipindi cha pili nitakua na nguvu kuliko kipindi cha kwanza.Si vichekesho hivyo.
 
Kwani Kampeni Zimeishaa Hahaha BAVICHA bana Mnaharaka Sana'a ya Mambo ndio Maana Mnajiona mshashinda uchaguzi hata kabla ya Kura
 
Kinachonimaliza, wanadai wameanzisha viwanda 3,000. Ni vizuri wapimwe mikojo hawa watu wa lumumba, OVA.
Wakulima wa kahawa mpaka sasa hawajapata hela zao walizouzia ushirika, si hilo tu wale waliopigwa changa la macho korosho sijui atawaambia Flyover, ama madege? Mi nasindwa kuelewa watanzania akili zao ujue!!
 
Ni kweli kabisa mapya yako kule kwa mwenye kiki ya kushuhudia miujiza huku akiomba uraisi kama kifuta machozi.
Sio mapya bali lissu anawaeleza watz yaliyotokea kipindi hiki cha miaka 5. Jambo la kushangaza ccm wanashindwa kujibu kwa mpangilio hoja za lissu. Watz wa sasa hari ngumu wanahiyaji kusikia sera bora.

Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
 
Sitegemei walemavu wa akili wenye mtindio wa Ubongo kuelewa neema ya Mungu alivyo wapenda Watu wake Watanzania na kuwapa kupitia Kiongozi huyu JPM.

Tuendelee kuomba uponyaji kwa walemavu hawa wa akili pengine siku moja nao watapata kuitambua hii neema ya Mungu.
Mambo ya msingi ya kutumia upeo wa kawaida unakimbilia kwa Mungu?huyo Mungu hana kazi za msingi?au unafikiri mwanadamu alipewa akili ya nini kama kila kitu anakimbilia kwa Mungu?
 
Sio mapya bali lissu anawaeleza watz yaliyotokea kipindi hiki cha miaka 5. Jambo la kushangaza ccm wanashindwa kujibu kwa mpangilio hoja za lissu. Watz wa sasa hari ngumu wanahiyaji kusikia sera bora.

Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
Nikweli kabisa watanzania hali ni ngumu hivyo ilitupone hali hiyo tunapaswa kumuunga mkono huyu mwanakiki za miujiza ili nasisi tupate kiki ya maendeleo kwa kutumia miujizaaaaa.
 
Siyo rahisi vipunga nyinyi kumueewa maana hata fomu kujaza nyie ni mtihani.
 
Kinachonimaliza, wanadai wameanzisha viwanda 3,000. Ni vizuri wapimwe mikojo hawa watu wa lumumba, OVA.
Wakulima wa kahawa mpaka sasa hawajapata hela zao walizouzia ushirika, si hilo tu wale waliopigwa changa la macho korosho sijui atawaambia Flyover, ama madege? Mi nasindwa kuelewa watanzania akili zao ujue!!
Waala usipate shida tupo timamu, lumumba ndo mavi yanawabana hatuli fly over sisi na hatujapata ajira tupo tu mtaani unatuambia habar za fly over sijui ndege za nn sisi, tulokosa ajira na wooote ambao hamkupamdishiwa mishahara kipindi chote cha DUBWASHA ni kwenda kumkataa kwa kishindo hamna namna
 
Miujiza na uraisi wakifuta machozi hauleti unayoyatakaaaa.
Muujiza si hili dubwasha mtu hajui hata kuongea katoboa...Mungu ana hesabu kali sana na Lissu kama unabisha chukua bunduki sa hiv kampige DUBWASHA 16 zinuingie kama hatujapata msiba wa kitaifa
 
kiukweli watu kama wanjombe Mjomba Magu hata angeongea usiku kucha watabaki kumtazama hadi akate tamaa maana naona kwake maneno ya 2015 hadi leo hayajabadilika kulingana na wakati na mwisho anaanza kusema tusichague wapinzani wataondoa Amani kama vile wapinzani ni Warundi wakati wapinzani ni watanzania Wenyewe kama ilivyo kwa CCM weneyewe.Ukikosa Hoja lazima utaforce watu wamchukie.Badala ya kutueleza kwa nini alitumia Fedha nyingi kujenga uwanja wa ndege mahali kusiko na biashara wala wafanya biashara,wala migodi au kilimo cha kueleweka anaanza kutuletea story za Amani wakati watz wote ni watu wa Amani.Mbona halimashauri kadhaa zimekua kwa wapinzani na Amani haijatoweka.
 
Back
Top Bottom