Tigershark
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 7,051
- 12,566
Nani kasema hayo?Nendeni huko mkamwabudu Mungu wenu Magufol!Tigershark, Mungu siyo Lisu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani kasema hayo?Nendeni huko mkamwabudu Mungu wenu Magufol!Tigershark, Mungu siyo Lisu
AhahaahaSasa kama anaongea mambo yaleyale kila anakokwenda kwa nini asifanye mkutano mmoja tu kuliko kuzungusha ule upaa wake.
Miujiza na uraisi wakifuta machozi hauleti unayoyatakaaaa.Tupo serious tuondolee ungese.
Sio mapya bali lissu anawaeleza watz yaliyotokea kipindi hiki cha miaka 5. Jambo la kushangaza ccm wanashindwa kujibu kwa mpangilio hoja za lissu. Watz wa sasa hari ngumu wanahiyaji kusikia sera bora.Ni kweli kabisa mapya yako kule kwa mwenye kiki ya kushuhudia miujiza huku akiomba uraisi kama kifuta machozi.
Mambo ya msingi ya kutumia upeo wa kawaida unakimbilia kwa Mungu?huyo Mungu hana kazi za msingi?au unafikiri mwanadamu alipewa akili ya nini kama kila kitu anakimbilia kwa Mungu?Sitegemei walemavu wa akili wenye mtindio wa Ubongo kuelewa neema ya Mungu alivyo wapenda Watu wake Watanzania na kuwapa kupitia Kiongozi huyu JPM.
Tuendelee kuomba uponyaji kwa walemavu hawa wa akili pengine siku moja nao watapata kuitambua hii neema ya Mungu.
Nikweli kabisa watanzania hali ni ngumu hivyo ilitupone hali hiyo tunapaswa kumuunga mkono huyu mwanakiki za miujiza ili nasisi tupate kiki ya maendeleo kwa kutumia miujizaaaaa.Sio mapya bali lissu anawaeleza watz yaliyotokea kipindi hiki cha miaka 5. Jambo la kushangaza ccm wanashindwa kujibu kwa mpangilio hoja za lissu. Watz wa sasa hari ngumu wanahiyaji kusikia sera bora.
Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
Haaaa haaaaaa. Wenyeee akili zenuuu mnaelewa mambo mengiiiiii. Hongera saanaa mkuuuuu.Magufuli alishamaliza kampeni siku nyingi, anachokifanya sasa ni kuwasalimia tu Watanzania
Hahaha bora kushikiwa akili na Lissu kuliko hilo lidubwasha hata kiswahili shidaKachukue akili zako kwa Lisu kwanza
Dubwasha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahaha bora kushikiwa akili na LISU kuliko hilo lidubwasha hata kiswahili shida
Limeweza kujaza dubwasha ambalo hata kiswahili halijui vizurSiyo rahisi vipunga nyinyi kumueewa maana hata fomu kujaza nyie ni mtihani.
Asijichoshe asalimie kwenye TBC one afu alale kwakeMagufuli alishamaliza kampeni siku nyingi, anachokifanya sasa ni kuwasalimia tu Watanzania
Waala usipate shida tupo timamu, lumumba ndo mavi yanawabana hatuli fly over sisi na hatujapata ajira tupo tu mtaani unatuambia habar za fly over sijui ndege za nn sisi, tulokosa ajira na wooote ambao hamkupamdishiwa mishahara kipindi chote cha DUBWASHA ni kwenda kumkataa kwa kishindo hamna namnaKinachonimaliza, wanadai wameanzisha viwanda 3,000. Ni vizuri wapimwe mikojo hawa watu wa lumumba, OVA.
Wakulima wa kahawa mpaka sasa hawajapata hela zao walizouzia ushirika, si hilo tu wale waliopigwa changa la macho korosho sijui atawaambia Flyover, ama madege? Mi nasindwa kuelewa watanzania akili zao ujue!!
Muujiza si hili dubwasha mtu hajui hata kuongea katoboa...Mungu ana hesabu kali sana na Lissu kama unabisha chukua bunduki sa hiv kampige DUBWASHA 16 zinuingie kama hatujapata msiba wa kitaifaMiujiza na uraisi wakifuta machozi hauleti unayoyatakaaaa.