playboy babu
JF-Expert Member
- Nov 12, 2015
- 2,648
- 1,566
Kwa suala la kuniweka mtaani mwaka wa 3 bila ajira KURA YANGU HAPATI.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena asije thubutu kutaja huo upuuzi.Hata maendeleo kama ule uwanja wa chato na mbuga ya kutengeneza ya burigi hajaviongelea kabisa wakati vinaweza kumpa kura
Tupo serious tuondolee ungese.Anza wewe na familia yako, mtupe mikakati ya kuleta maendeleo ya jutoa mikopo,ajira,. Haaaaaa haaaaaa.
Ndio maana hadhubutu kuviongelea sio?😂😂Hata yeye anajua havikuwa kpaumbele cha wananchi.
Hiyo pia itoshe kumnyima kura, kuna muda huwa hasimami kama kiongoz mkuu wa nchi anasimama kama Mccm zaidi.Mimi tatizo ambalo huyu jamaa hana na kiongozi inabidi awe nalo ni Diplomasi na kutokuwa na Ubabe, (quality za huyu Bwana zinamfaa Mtendaji kama Waziri Mkuu), In president tunahitaji mtu wa kutuunganisha na sio kutugawa, mtu ambaye ataondoa taswira kwamba baadhi ya wanaonewa, mtu wa kuweka a level playing field, Hayo Maendeleo hata Mkoloni aliyaleta.
Nawe ulokabidh kwa jpm unaona nnAkili zako ukikabidhi kwa Lissu huwezi kuona jipya la JPM
Acha kumshirikisha Mungu kwa watekaji, tunamtaka azor gwanda, akwilina, ben saanane na walomshambulia lissu kwa risasi zaidi ya 15 mwiliniSitegemei walemavu wa akili wenye mtindio wa Ubongo kuelewa neema ya Mungu alivyo wapenda Watu wake Watanzania na kuwapa kupitia Kiongozi huyu JPM.
Tuendelee kuomba uponyaji kwa walemavu hawa wa akili pengine siku moja nao watapata kuitambua hii neema ya Mungu.
Mbona hujibu PM mrembo?Akili zako ukikabidhi kwa Lissu huwezi kuona jipya la JPM
Acha kumshirikisha Mungu kwa watekaji, tunamtaka azor gwanda, akwilina, ben saanane na walomshambulia lissu kwa risasi zaidi ya 15 mwilini
Umeongeza siku za kuishiHahahaha hahahaha dah nimecheka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa kama anaongea mambo yaleyale kila anakokwenda kwa nini asifanye mkutano mmoja tu kuliko kuzungusha ule upaa wake.
Kachukue akili zako kwa Lisu kwanzaWewe ambaye hujakabidhi mbona hujatwambia jipya lipo wapi
Ebana,safari hii piga chini muuaji! Ikulu ni sehemu takatifu,si pango la wauaji!M
Usinilishe au usiniwekee maneno wewe, chunga heshima yako. Mimi nimesema Mfalme Daudi wa Israeli. Wala Huria Mhiti na uadilifu wake wa bila kutumia akili, acha kupayuka ovyo bila kutumia akili hakukumsaidia kukwepa adhabu ya kifo kwa kushindwa kutii ile amri halali ya mfalme ya kwenda kulala nyumbani kwake. Na waraka ule wenye hukumu ya kifo cha Huria kutoka kwa Mfalme Daudi, Huria Mhiti aliubeba kwa mikono yake kuupeleka sehemu husika ya kuutekeleza.
Kwanini walipelekwa na nani aliwapeleka na wakati wanapelekwa vip serikali ya ccm ilikua likizo au?.na je uyu mgombea wa sasa alikua sehemu ya hiyo serikali au?Kuna wakati wanyama wetu hapa Tanzania walichukuliwa kupekekwa uarabuni na pakistani kutengenezea mbuga huko. Hili kwa vile mmeshikiwa akili na Lissu na kesha walegeza kama mlenda hamliongelei. Bali mwawaonea husda wenzenu wa Chato
Waliofanya hivyo ni CCM!Au watawala walikuwa nani?Shwain,piga chini huyu Mobutu Seseko!Kuna wakati wanyama wetu hapa Tanzania walichukuliwa kupekekwa uarabuni na pakistani kutengenezea mbuga huko. Hili kwa vile mmeshikiwa akili na Lissu na kesha walegeza kama mlenda hamliongelei. Bali mwawaonea husda wenzenu wa Chato