Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ukumbuke population ya Rwanda na Tz ni tofauti sio unachongoa mdomo tuMkuu wewe ndio mweupe sana kwenye uchumi eti una compare GDP ya Belgium na Tz ili useme haiwezekani? Sasa nikupe challenge.
Model ya bima ya afya wametohoa Rwanda ina hiyo special package ya Jeshi alafu kuna wafanyakazi wa umma, then kuna wale wenye kipato cha chini kabisa wasio kwenye sekta rasmi n.k
2. Justification yake ni kwamba michango inategemea income bracket uliyopo. Rwanda wameigawa mara 4 kwahiyo utachangia kulingana na uwezo wako wa kiuchumi lakini wale waliopo chini kabisa yaani wanaoishi kwenye umaskini wa kutupwa basi serikali inawachangia totally wakishirikiana na mfumo wa crowdfunding wa kijamii tunaweza uita "Ujirani mwema"
3. Mchango wa serikali ya Rwanda ni almosy 14% pekee kwahiyo haiathiri mapato ya Serikali kabisa kwenye kuendesha mfuko.
4. Usichofahamu ni kwamba mfuko ukiwa na pesa zinazungushwa kwenye biashara mbalimbali na masoko ya hisa hivyo pesa inazaa ili mfuko uwe unakua zaidi na kupunguza risk ya float.
5. Unasema GDP ya Belgum blah blah, sasa naomba ufaham Tz imeizidi GDP ya Rwanda karibu mara 6.7 kwa data za 2018. Sasa kama Rwanda kufikia 2011 walikua na coverage ya 90% bima ya afya sisi tunashindwa nini??
Tusiishi kwa kukariri tujifunze Rwanda tupunguze ujuaji.
Ukienda NHIF watakupa vipeperushi vinavyoonyesha aina mbalimbali za bima . kulingana na uwezo wako. Kama unahitaji tembelea ofisi zao.Mimi Nataka nikuelemishe juu ya jinsi bima ya Lissu itakavyofanya na funding yake itakuwaje.
nisaidie je unafikiri pesa kiasi gani kinatakiwa kuweza kuendesha mfumo mzuri wa afya Tanzania?
hspo ndio tutaanza mjadala mpaka zaidi
Soma vizuri uelewe hoja yangu kisha ujibu accordingly. Kama kila mtanzania atapata bima inayomuwezesha kupata huduma bora kwa nini kuwe na bima maalum kwa ajili ya askari? Huoni hapo tayari kuna tofauti ya huduma. Je huyo mtanzania mwenye hiyo bima atatibiwa Hindu mandal au Aga khan au ataishia hospitali ya wilaya?
Msingi wa hoja yangu ni kuwa kipato binafsi cha mtu ndicho huamua akate bima ya aina gani, atibiwe wapi, mtoto wake asome wapi siyo blah blah.
Mpaka sasa nimepost uzi aina tatu soma zote ujibu hoja kwa hoja.
Wewe na wenzako ndio hamjui kitu. Nyinyi mnadai laki sita kwa mwaka ni nyingi lakini hamtaki kusema bima yenu ya unafuu itakuwa shilingi ngapi! Mnadai hadi mshinde ndipo mtapanga bei baada ya kuunda serikali na kupitisha sheria.wewe ni bado mweupe kama ulivyoambiwa. Tatizo la bima ya Tanzania kwa sasa ni kuwa penetration ya bimani ndogo hivyo wanaochangia bima kuwa wachache kupelekea kuwa ghali. Kama watu wengi wangechangia bei ya bima ingeshuka kwa maana mahitaji ya Huduma ya afya yangetoka kwenye kundi dogo kutokana na kundi kubwa linalochangia. Kuwa na affordable insurance ni issue tu ya priorities, sera na utashi wa kisiasa lakini linawezekana kabisa.Chaumma walisema hilolinawezekana na walitoaoption ya serikali kutoa % ya kodi za simu za mkononi kuchangia bima. Mbona REA imezekana kutokana na tozo zilizowekwa kwenye mafuta? Kwa nini isiwe bima?
Ukienda NHIF watakupa vipeperushi vinavyoonyesha aina mbalimbali za bima . kulingana na uwezo wako. Kama unahitaji tembelea ofisi zao.
Huduma zinazozotolewa sasa ni bora mfano mimi natibiwa hospitali zenye hadhi kama Hindumandal na vipimo vikubwa nafanya kwa kutumia bima hiyohiyo.
Wewe una matatizo mawili.Kama kila mtanzania atapata bima inayomuwezesha kupata huduma bora kwa nini kuwe na bima maalum kwa ajili ya askari? Huoni hapo tayari kuna tofauti ya huduma. Je huyo mtanzania mwenye hiyo bima atatibiwa Hindu mandal au Aga khan au ataishia hospitali ya wilaya?
Kila mtanzania analijua hili, ndio maana wanakwenda kuwajazia uwanja na kura wanatoa kwa JPM. Wataula wa chuya safari hii..Chadema ni Matapeli tu
Kwanza idadi ya kaya ambapo ndio unit ya kuchaji malipo ya bima, haizidi milioni nane hivyo hiyo edtimation yako kwa kubase milioni 20 haiwezi kukaribiana na uhalisia. Hivyo mapato yatakuwa pungufu ya hayo.Hiyo ni bima ya matabaka na wala sio muundo mzuri.
Ni tofauti na bima ambayo Lissu anaiongelea ya Belgium.
kwanza kuna issue ya economy of scale. Kama kila mtu atakuwa na bima, bei yake itashuka sana.
kwasasa wenye bima ni kama milioni mbili tu katika nchi ya watu karibu milioni 60.
Nilivyo mwelewa Lissu, kama bima ya afya itakuwa lazima kama ilivyo lazima kulipa kodi. Watanzania milioni 20 wanaweza kukata bima. Chukulia bei ya chini kabisa ya laki moja kwa mwaka. Hiyo unapata trilioni 2.
Lakini kwasababu watu watalipa kulingana na uwezo wao au mishahara yao kama ilivyo sasa. Ni rahisi kabisa kwa mwaka makusanyo kuwa trilioni tatu ambazo ni zaidi ya bajeti ya wizara ya afya.
Kwahiyo kuna matabaka katika kulipa lakini utumiaji ni ule ule Yaani wagonjwa wote watapata huduma ile ile moja tofauti na sasa ambapo huduma inafuata malipo yako.
tukija kwenye malipo. Vijana wa miaka mitano mpaka 40 Tanzania ni almost asilimia 70 na hawa hawaumwi umwi. Juu ya miaka 40 hawazidi asilimia 15 na hawa ndio wana magonjwa makubwa, na watoto chini ya miaka mitano nao magonjwa Yao ni madogo madogo
Ukiweka bima ya laki moja kwa mwaka kwa watu wenye kipato cha chini hata wafanyabiashara ndogo ndogo wataweza kulipa.
katika kundi la chini kabisa lets say watu milioni tano watalipiwa na serikali, hiyo ni bilioni 500. Hiyo sio pesa nyingi kwa ajili ya afya ya watu kwa mwaka. Hata serikali ikilipa trilioni moja kwa mwaka bado sio mbaya.
Haya mambo ya watu binafsi kuambiwa bima ya maana milioni mbili kwa familia yataisha.
economy of scale itashusha sana bei.
Huo ndio mfumo wa bima wa huko Ulaya. Sio wa matabaka. Matabaka yako kwenye kulipa lakini huduma wote mnapata ile ile.
Kwanza idadi ya kaya ambapo ndio unit ya kuchaji malipo ya bima, haizidi milioni nane hivyo hiyo edtimation yako kwa kubase milioni 20 haiwezi kukaribiana na uhalisia. Hivyo mapato yatakuwa pungufu ya hayo.
Pili uwezo wa kuchangia. Kumbuka kuna bima za CHF ambapi makato ni sh 30,000 lakini bado kuna upinzani kwa kuonekana ghali. Rejea vitambulisho vya machinga sh 20,000 ambapo Lissu mwenyewe anasema ni ghali sembuse bima ya laki moja. Uwezo wa kutoa ruzuku una mipaka, unaweza kuona ni hela kidogo lakini ukianzia kwenye makusanyo ya mapato kwa mwezi ukatoa midhahara na kulipa madeni kinachobakia hebu kiangalie. Sasa hapo ndipo ugharamie sio tu bima bali matumizi mengine kama elimu, nk ndipo mtihani unapokuja.
Kinachowezekana kwa serikali yeyote itakayokuwepo madarakani ni kuendelea kupanua wigo wa bima lakini haitawezekana kila mtu akatibiwa katika first class hospital bado premium utakayolipa itakuwa determinant kubwa wapi utibiwe na matibabu yapi upate.
Uelewe kuwa bima sio kila kitu bado kuna bajeti ya sekta ya afya ambayo ndiyo hasa hutumika kufanya investment katika sekta hiyo na ndiyo yenye kufanya huduma ziwe bora. Hivyo ubora utaendelea kuwa huu huu . Katika uzi wangu nilitolea mfano Ubelgiji ambapo bajeti ya sekta ya afya ni kama asilimia10 ya GDP sasa ukichukulia idadi yao ndogo ya watu na ukubwa wa GDP yao unaweza kuona kabisa kuachieve huduma bora ya afya sio suala la bima tu. It is more than that.
We jamaa unachekesha population ni issue au GDP?Na ukumbuke population ya Rwanda na Tz ni tofauti sio unachongoa mdomo tu
Mkuu shida hauna elimu yoyote kuhusu Bima au uchumi ndio maana unabisha bila objectivity.Acha kuzunguka, kwani Lissu aliposema CHADEMA watatpoa huduma bora za afya kwa kufananisha na Ubelgiji alitegemea nini? Mimi nimeonyesha kwa data kuwa ili utoe huduma za kiwango hucho utahitani kuwa na kipato zaidi ya ubelgiji ukixingatia sisi tuko mara tano zaidi kuliko wabelgijibna uchumii wetu uko chini mara tisa kuliko wao. Huo muujiza hauwezekani.
Hata sasa bila bima kwa baadhi bado watu wakienda hospitali wanatibiwa mfano wazee wote wanatibiwa bure.
Wilaya mbalimbali zina mfumo wa bima ila bado haujamfikia kila mtu lakini hilo linaendelea kufanyika.
Ninachokataa ni hicho mnachodanganya watu kuwa chini yenu huduma zitakuwa bora.
Jinsi uwezo wa kiuchumi unavyoongezeka ndivyo huduma za afya zitakavyoendelea kuboreshwa.
Comparison, forecast au projection katika uchumi ni vitubvya kawaida.