Uchaguzi 2020 Ilani ya CHADEMA kuhusu Bima ya Afya ina ulaghai

Uchaguzi 2020 Ilani ya CHADEMA kuhusu Bima ya Afya ina ulaghai

Mkuu wewe ndio mweupe sana kwenye uchumi eti una compare GDP ya Belgium na Tz ili useme haiwezekani? Sasa nikupe challenge.

Model ya bima ya afya wametohoa Rwanda ina hiyo special package ya Jeshi alafu kuna wafanyakazi wa umma, then kuna wale wenye kipato cha chini kabisa wasio kwenye sekta rasmi n.k

2. Justification yake ni kwamba michango inategemea income bracket uliyopo. Rwanda wameigawa mara 4 kwahiyo utachangia kulingana na uwezo wako wa kiuchumi lakini wale waliopo chini kabisa yaani wanaoishi kwenye umaskini wa kutupwa basi serikali inawachangia totally wakishirikiana na mfumo wa crowdfunding wa kijamii tunaweza uita "Ujirani mwema"

3. Mchango wa serikali ya Rwanda ni almosy 14% pekee kwahiyo haiathiri mapato ya Serikali kabisa kwenye kuendesha mfuko.

4. Usichofahamu ni kwamba mfuko ukiwa na pesa zinazungushwa kwenye biashara mbalimbali na masoko ya hisa hivyo pesa inazaa ili mfuko uwe unakua zaidi na kupunguza risk ya float.

5. Unasema GDP ya Belgum blah blah, sasa naomba ufaham Tz imeizidi GDP ya Rwanda karibu mara 6.7 kwa data za 2018. Sasa kama Rwanda kufikia 2011 walikua na coverage ya 90% bima ya afya sisi tunashindwa nini??

Tusiishi kwa kukariri tujifunze Rwanda tupunguze ujuaji.
Unajua difference kati ya population ya Rwanda na Tanzania?
 
Niliposrma hindumandal au Aga Khan hospitals nilikuwa namaanisha hadhi kwa sababu hata ukiwa huna hela bado utaugua magonjwa ambayo pengine yatahitaji matibabu ambayo hayapatikani hospitali za wilayani au vituo vya afya au zahanati mfano kusafisha figo, CT Scan, vipimo vya moyo nk. Sasa kama una hiyo bima lskini huwezwi kutibiwa magonjwa makubwa bado unaita hiyo bima ni bora?

Badala ya kufanya ujanja ujanja muwe wakweli hiyo bima yenu itamgharimu mtu shilingi ngapi kuliinganisha na bima zinazotolewa sasa na ataweza kupata huduma zipi ili sasa watu walingamishe .

Hivi hukumsikia akichambua Mwanza au ni kujifanya mjuaji. Alichosema kila mtu akiwa na bima obvious demand itakua kubwa hivyo supply side so ni lazima wawekeze kuzipa nguvu vituo vya afya in terms of vifaa na personnel kwahiyo ondoa basis ya Low na High quality bali fikiria standardisation ya huduma ili kuwepo na equal services walau kulingana na uwezo wako.

Usikariri kwamba Bima ikiwa kote basi huduma zinabaki hizi hizi, hyo ni myopic kabisa na sitegemei mtu anayejiita mchambuzi wa ilani ushindwe kuona hilo unless kwenye uchambuzi ungeweka kipengele cha CETERIS PARIBUS!!
 
Unajua difference kati ya population ya Rwanda na Tanzania?
Tumewazidi population zaidi ya mara 6
Lakini vile vile tumewazidi GDP zaidi ya mara 6 sasa tofauti ni ipi?

Familia ina watu 5 inaingiza elfu 5 kwa siku
Na familia yenye watu 10 inaingiza elfu 10 kwa siku ina tofauti gani?

Eti?
 
Hivi hukumsikia akichambua Mwanza au ni kujifanya mjuaji. Alichosema kila mtu akiwa na bima obvious demand itakua kubwa hivyo supply side so ni lazima wawekeze kuzipa nguvu vituo vya afya in terms of vifaa na personnel kwahiyo ondoa basis ya Low na High quality bali fikiria standardisation ya huduma ili kuwepo na equal services walau kulingana na uwezo wako.
Usikariri kwamba Bima ikiwa kote basi huduma zinabaki hizi hizi, hyo ni myopic kabisa na sitegemei mtu anayejiita mchambuzi wa ilani ushindwe kuona hilo unless kwenye uchambuzi ungeweka kipengele cha CETERIS PARIBUS!!
Sasa unakubali kuwa huduma za afya hazitakuwa bora kuliko za sasa au kulingana na za Ubelgiji.

Post zangu mzitumie kama rejea zitawasaidia huko mbeleni.
 
Vip ya CCM inasemaje kuhusu afya mbona Magufuli katoa ahadi kwamba bima ya afya inakuja je ipo ndani ya ilani?
Tujitahidi kusoma ilani Za vyama vyenye wagombea wa urais.
Hilo lipo ukurasa wa 136 wa ilani ya CCM ya mwaka 2020.
Screenshot_20200914-124619.jpg


Sent from my Infinix X603 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom