johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Ndio naipitia hivi bwashee!Acha Blah. blah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio naipitia hivi bwashee!Acha Blah. blah
Hakika..Sambazeni kwa wananchi habari hii njemaIlani KONKI sana hii.
Uliona walau kidogo shujaa huyu akilakiwa Arusha? Angalau ungeelewa maana yanguNchi nzima ikizizima
Hivi aliye waroga alikufa na Dawa yake au!!
Poleni sana
Mkuu mwanahabari nakufahamu Kama mwandishi Bora kabisa nchi hii.Tafadhali sambaza kwa wanahabari na wahariri wenzako ili wananchi wajueIlani bora kuliko zote tz
Tunasambaza mkuu mikutano ya lissu yote ipo recored kwenye PC yangu ,nikifika kwenye kikundi cha watu nawawekea speech za lissu.Hakika..Sambazeni kwa wananchi habari hii njema
Mmeizunduliwa wapi maana mmesema mpaka waliowekewe mapingamizi waachiliwe bila masharti vipi wameruhusiwa am mmezindua tu.
Asante sana sambazeni mitandao yote watanzania wote iwafikie.Huu hapa ni Muhtasari wa Ilani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA)
View attachment 1555052
View attachment 1555055View attachment 1555056View attachment 1555057View attachment 1555058View attachment 1555059View attachment 1555060View attachment 1555061View attachment 1555063View attachment 1555064View attachment 1555066View attachment 1555069View attachment 1555074View attachment 1555078View attachment 1555079View attachment 1555080View attachment 1555082View attachment 1555083View attachment 1555085
Yaliyomo kwenye Ilani
View attachment 1555070View attachment 1555071View attachment 1555072
Kwahiyo wewe huna maskio hata macho hayaoni?Nchi nzima ikizizima
Hivi aliye waroga alikufa na Dawa yake au!!
Poleni sana
The best and SMART manifesto ever.Ilani bora kuliko zote Tz
Okaynimeisoma ilani ya chadema yenye kurasa 104 kwa nusu saa nikaimaliza, ya ccm yenye kurasa 364 bado naisoma
Safi, Tuambie Hii ina maana gani katika siasa za nchi ya Tanzania...?nimeisoma ilani ya chadema yenye kurasa 104 kwa nusu saa nikaimaliza, ya ccm yenye kurasa 364 bado naisoma
HICHO CHAMA HAKINA ILANI, HAYO UMEYATOA WAPI KAMANDA?!?Ilani hii inaainisha maeneo yatakayopewa kipaumbele na serikali ya Chadema, vipaumbele hivyo ni pamoja na:
a. Kugatua madaraka ya uongozi na utawala kwa lengo la kuusogeza karibu na wananchi.
b. Kubadili mfumo wa uongozi na utawala ili kuongeza na kuzingatia misingi ya uadilifu, ufanisi, uzalendo na uwajibikaji
c. Kwa kushirikiana na sekta binafsi Kujenga uchumi imara wa kidigitali na shirikishi
d. Kuongeza mishahara na kuwapandisha madaraja watumishi wa umma
e. Kuweka mazingira wezeshi kwa wawekezaji wa ndani na nje
f. Kurejesha mchakato wa Katiba Mpya kuanzia ilipoishia Rasimu ya Tume ya Marekebisho ya Katiba ya Jaji Warioba
g. Kurejesha uhuru wa vyombo vya habari na uhuru wa kujieleza na kutoa maoni
h. Kutoa elimu bora na bure kwa ngazi zote
i. Kuanzisha utaratibu wa afya bure kwa akinamama wajawazito, watu wenye ulemavu, watoto na wazee
j. Kuwajengea uwezo wanawake kusimamia na kumiliki uchumi
k. Kwa kushirikiana na sekta binafsi kuongeza wigo wa ajira na kipato chenye tija kwa vijana
l. Kwa kushirikiana na sekta binafsi ili kuhakikisha upatikanaji wa maji safi, salama na ya uhakika kwa wote.
m. Kuwezesha Wananchi kumiliki ardhi kwa matumizi endelevu
n. Kushirikiana na sekta binafsi kuboresha miundombinu ya barabara, masoko, nishati na viwanda vya kusindika mazao vijijini.
o. Kutumia rasilimali ya maji iliyopo kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji na mifugo.
p. Kushirikiana na sekta binafsi Kuboresha miundombinu ya barabara, reli, usafiri wa anga na majini.
q. Kushirikiana na sekta binafsi kuboresha sekta ya utalii na maliasili.
r. Kushirikiana na sekta binafsi kuhakikisha uwepo wa Nishati nafuu na ya uhakika.
s. Kuboresha sekta ya madini na kuwezesha wachimbaji wadogo wanashiriki na kumiliki uchumi wa madini.
t. Kushirikisha sekta binafsi katika kuimarisha sekta ya sanaa, utamaduni na michezo na kuifanya iwe ya kibiashara.
Ilani hii imebeba maono na mwelekeo wa kisera wa Serikali ya Chadema kwa lengo la kuwashawishi wapiga kura kuchangua wagombea wa Chadema kwa vile Chadema kinaamini katika “UHURU, HAKI NA MAENDELEO YA WATU”
Boro kuwa ombaomba kuliko kuwa mdaiwa suguIlani hii inaifanya nchi kuwa ombaomba
Ndege zinakusaidia Nini?Hivi hayo maendeleo ya watu yatapatikanaje kama miundo mbinu ni mibovu!!? Mwenyezi mungu mwenyewe aliumb vitu kisha ndo kumuumba mwanadamu.Chadema msitufanye mafala.
Mkuu tunaruhusiwa kuuliza maswali kwenye vipengele vitakavyotutatiza?Ngoja tuipitie vizuri.