MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Wakuu nimetafakari kwa makini na kujiuliza maswali mengi sana ila binafsi nimeona ni hujuma tu hakuna sababu nyingine. Haiwezekani timu iliyokuwa na wakali wote waliokuwa wanavuma kwenye timu zao za Ulaya ishindwe kufanya la maana kwenye world cup au mashindano mengine makubwa.
Hii Ivory Coast ya kina Didier Drogba, Didier Zokora, Cheikh Tiote, Yaya Toure, Kolo Toure, Solomon Kalou, Gervinho, Emmanuel Eboue, Aruna Dindane, na wakali wengine ilibidi ichunguzwe na kutuondelea mashaka kwamba hawakuwa wakifanya hujuma.
Hii Ivory Coast ya kina Didier Drogba, Didier Zokora, Cheikh Tiote, Yaya Toure, Kolo Toure, Solomon Kalou, Gervinho, Emmanuel Eboue, Aruna Dindane, na wakali wengine ilibidi ichunguzwe na kutuondelea mashaka kwamba hawakuwa wakifanya hujuma.