Ile Ivory Coast ya kina Drogba, Kolo Toure, Didier Zokora na wakali wengine ilituhujumu waafrika.

Ile Ivory Coast ya kina Drogba, Kolo Toure, Didier Zokora na wakali wengine ilituhujumu waafrika.

😲😲😲 Overrated kivipi?

timu yao ilikua na uwezo wa kawaida sana hata kwa kiwango cha Africa. Egypt na Ghana zilikua miles ahead kwao. Egypt walibeba Afcon mara 3 mfululizo katika kipindi hicho huku Ivory Cost akila kichapo kutoka kwao karibu ya kila mashondano. Ghana walicheza robo final na second round katika world cup mbili mfululizo katika kipindi hicho hicho.
 
Wakuu nimetafakari kwa makini na kujiuliza maswali mengi sana ila binafsi nimeona ni hujuma tu hakuna sababu nyingine. Haiwezekani timu iliyokuwa na wakali wote waliokuwa wanavuma kwenye timu zao za Ulaya ishindwe kufanya la maana kwenye world cup au mashindano mengine makubwa.

Hii Ivory Coast ya kina Didier Drogba, Didier Zokora, Cheikh Tiote, Yaya Toure, Kolo Toure, Solomon Kalou, Gervinho, Emmanuel Eboue, Aruna Dindane, na wakali wengine ilibidi ichunguzwe na kutuondelea mashaka kwamba hawakuwa wakifanya hujuma.
Wahujumu wakubwa wakubwa ni viongozi katika timu za taifa za africa.
Hao hao viongozi leo hii wamemnyima head coach position kolo toure na kumpa mzungu wa miaka 70 kama head coach.

Alisemaga ata samuel kuffo kuwa yeye alivyokuwa yupo bayern alikuwa anathaminiwa kuliko alipokjja kucheza timu ya taifa ambapo ata maji kambini tabu. Huku bayern ukitokewa kwenyenyew mashindano u atumiwa private jet. Sasa wewe hapo unadhani utajituma wapi.

Nigerial watu hawlipi bonuses za kwenda kombe la dunia mpaka mjapan anajitolea huo sii ujinga. Kuna examples nyingi tuu kuonyesha jinsi viongozi wetu wanachangia wachezaji kutokiujituma sana kwenye national team.
 
timu yao ilikua na uwezo wa kawaida sana hata kwa kiwango cha Africa. Egypt na Ghana zilikua miles ahead kwao. Egypt walibeba Afcon mara 3 mfululizo katika kipindi hicho huku Ivory Cost akila kichapo kutoka kwao karibu ya kila mashondano. Ghana walicheza robo final na second round katika world cup mbili mfululizo katika kipindi hicho hicho.
Team ndio inaweza kuwa overrated but not those players. They wer quality.
 
Mwaka gani Egypt iliinyanyasa IC ya kina Drogba?

2006: Egypt 3 - 1 Ivory Cast Group Stage
2006: Egypt 0 (4)- 0(2) Ivory Cost Final
2008: Egypt 4 - 1 Ivory Cost Semi Final
Kwa bahati mbaya 2012 Ivory Cost alikimbia mashindano mapema lakini angelikatiza tena mbele ya vidume angekula kichapo chengine.
 
Hujui mpira. Kulikuwa kuna Real Madrid ya Ronaldo de lima, Zidane, Luis Figo, David Beckham lakini hawakuwahi kuchukua Champions league, haya nao waliihujumu Madrid?
 
Team ndio inaweza kuwa overrated but not those players. They wer quality.
Ni players waliokua overrated na ndio mana timu ikawa haina kiwango kizuri.
Tatizo kubwa la Ivory Cost ni wale Premier league stars Ebue, Yaya, Kolo, Drogba, Zokora, Kalou walikuzwa sana kinyumu na uhalisia wa viwango vyao, Timu walizokua wakicheza ndizo zilizokuwa zinawabeba.
 
Hujui mpira. Kulikuwa kuna Real Madrid ya Ronaldo de lima, Zidane, Luis Figo, David Beckham lakini hawakuwahi kuchukua Champions league, haya nao waliihujumu Madrid?

Real Madrid hiyo ya akina Beckham ilikua ni mdobedwo na ndio mana hawakuchukua vikombe.
 
Ni players waliokua overrated na ndio mana timu ikawa haina kiwango kizuri.
Tatizo kubwa la Ivory Cost ni wale Premier league stars Ebue, Yaya, Kolo, Drogba, Zokora, Kalou walikuzwa sana kinyumu na uhalisia wa viwango vyao, Timu walizokua wakicheza ndizo zilizokuwa zinawabeba.
Yaani drogba alikuwa overrated mtu yupo starting 11 ya chelsea na anapiga mabao ya kiulaya
 
Yaani drogba alikuwa overrated mtu yupo starting 11 ya chelsea na anapiga mabao ya kiulaya

Mbona hayo mabao alishindwa kuyapiga AFCON? mbona alishindwa kuipa taji AFCON timu yake?
 
Mbona hayo mabao alishindwa kuyapiga AFCON? mbona alishindwa kuipa taji AFCON timu yake?
Mbona samata alipiga mabao kule mazembe lakini hatuyaoni akiwa timu ya taifa na wala hajatupeleka afcon?
 
Wakuu nimetafakari kwa makini na kujiuliza maswali mengi sana ila binafsi nimeona ni hujuma tu hakuna sababu nyingine. Haiwezekani timu iliyokuwa na wakali wote waliokuwa wanavuma kwenye timu zao za Ulaya ishindwe kufanya la maana kwenye world cup au mashindano mengine makubwa.

Hii Ivory Coast ya kina Didier Drogba, Didier Zokora, Cheikh Tiote, Yaya Toure, Kolo Toure, Solomon Kalou, Gervinho, Emmanuel Eboue, Aruna Dindane, na wakali wengine ilibidi ichunguzwe na kutuondelea mashaka kwamba hawakuwa wakifanya hujuma.
Hiyo ID yako tu inaonyesha upoyoyo ndani yake.
 
2006: Egypt 3 - 1 Ivory Cast Group Stage
2006: Egypt 0 (4)- 0(2) Ivory Cost Final
2008: Egypt 4 - 1 Ivory Cost Semi Final
Kwa bahati mbaya 2012 Ivory Cost alikimbia mashindano mapema lakini angelikatiza tena mbele ya vidume angekula kichapo chengine.
FIFA WC Qualification for 2006
June 20, 2004; Alexandria - Egypt ; 20:00
Egypt 1:2 Ivory Coast
Aboutrika 55 Dindane 22
Drogba 75

June 19, 2005; Abidjan - Ivory Coast 16:00
Ivory Coast 2:0 Egypt
Drogba 41, 49

Naona umechagua matokeo uliyoyataka wewe tu.

Na Drogba aliinyima Egypt chance ya world cup 2006 kwa kuwafunga nyumbani Alexandria

Toka mwaka 2004 hadi 2022 hizi timu zimekutana mara 8, Egypt kashinda mara 3, Ivory Coast kashinda mara 4 na draw 1. Sasa amua mwenyewe nani kidume kwa mwenzake

 
Ni players waliokua overrated na ndio mana timu ikawa haina kiwango kizuri.
Tatizo kubwa la Ivory Cost ni wale Premier league stars Ebue, Yaya, Kolo, Drogba, Zokora, Kalou walikuzwa sana kinyumu na uhalisia wa viwango vyao, Timu walizokua wakicheza ndizo zilizokuwa zinawabeba.
Wangefikaje kwenye hizo timu bila viwango?
 
FIFA WC Qualification for 2006
June 20, 2004; Alexandria - Egypt ; 20:00
Egypt 1:2 Ivory Coast
Aboutrika 55 Dindane 22
Drogba 75

June 19, 2005; Abidjan - Ivory Coast 16:00
Ivory Coast 2:0 Egypt
Drogba 41, 49

Naona umechagua matokeo uliyoyataka wewe tu.

Na Drogba aliinyima Egypt chance ya world cup 2006 kwa kuwafunga nyumbani Alexandria

Toka mwaka 2004 hadi 2022 hizi timu zimekutana mara 8, Egypt kashinda mara 3, Ivory Coast kashinda mara 4 na draw 1. Sasa amua mwenyewe nani kidume kwa mwenzake


Unajikanyaga tu mkuu, Egypt aliitandika mikwaju Ivory Cost ya golden generation mara 3 mfululizo kwenye major tournaments, wewe unaleta matokea ya qualifying. Kipigo cha 4 -1 cha semi finale kilikua ni cha mbwa koko kabisa.
 
Unajikanyaga tu mkuu, Egypt aliitandika mikwaju Ivory Cost ya golden generation mara 3 mfululizo kwenye major tournaments, wewe unaleta matokea ya qualifying. Kipigo cha 4 -1 cha semi finale kilikua ni cha mbwa koko kabisa.
Nimekuwekea data unaleta mihemko. Unabishana na facts?
 
Back
Top Bottom