Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Roho ya kujitosheleza,kutotaka Makuu na kutojilimbikiza Mali. Hii roho nyerere aliitoa wapi? Zama zile nadhani Nyerere angekuwa amejilimbikizia Mali nyingi na Familia yake au Ukoo ungekuwa moja ya Koo Tajiri sana Tanzania au Africa.
Lakini tunaona watoto wake wanapambana wao kama wao walisoma shule za kawaida. Hawakuwa na ukwasi uliopitiliza miaka ile toka kwa baba zao.
Nyerere mpaka anastaahafu alisahau kujijengea Mansion au Penthouse kama hawa viongozi wetu wa sasa.
Akajengengewa nyumba kwa hisani na wanajeshi. Ambayo alikuja bado lalamika. Why nyumba kubwa vile na wala hana mwili wa kutisha? Nyerere huyu ambaye Shivji anasema hata kwenye birthday yake hakuwa anaichukulia kuwa ni big deal. Alikuwa anakata keki tena kwa mzaha tu kama baba yangu huko kijijini leo umwambia hbr za kukata cake na mishumaa.
Leo anakuja mtu anatumia pesa za walalahoi hawa kutoa zawadi ya birthday halafu walalahoi wengine wanashangilia?
Hii ni dalili ya kuanza halalisha wizi mkubwa siku zijazo. Tumeona viongozi walio kuwa wanajenga kwao na kuhamishia kila kitu kama vile wataishi milele. Nyerere Butiama kumebaki kama sehemu nyingine tu haikupewa upendeleo maalum.
Kwa miaka ile Nyerere angeweza kusema hata mkoa wa Mara uwe Jiji la Kanda ya Ziwa. He didint do that.
Leo hii wanakuja viongozi wanafanya uhuni kwa kutumia kodi za watanzania hawa maskini. Wazee wetu hawalipwi mafao yao,wafanyakazi wnakamuliwa. Hatuoneshi seriousness ya kubana matumizi.
Inaumiza walalahoi maana wanaofadika na uchumi wa Tanzania nia Magabasambusa na Magabachori peke yao. Ila wanachangiwa na maskini wao waishi maisha mazuri.
Lakini tunaona watoto wake wanapambana wao kama wao walisoma shule za kawaida. Hawakuwa na ukwasi uliopitiliza miaka ile toka kwa baba zao.
Nyerere mpaka anastaahafu alisahau kujijengea Mansion au Penthouse kama hawa viongozi wetu wa sasa.
Akajengengewa nyumba kwa hisani na wanajeshi. Ambayo alikuja bado lalamika. Why nyumba kubwa vile na wala hana mwili wa kutisha? Nyerere huyu ambaye Shivji anasema hata kwenye birthday yake hakuwa anaichukulia kuwa ni big deal. Alikuwa anakata keki tena kwa mzaha tu kama baba yangu huko kijijini leo umwambia hbr za kukata cake na mishumaa.
Leo anakuja mtu anatumia pesa za walalahoi hawa kutoa zawadi ya birthday halafu walalahoi wengine wanashangilia?
Hii ni dalili ya kuanza halalisha wizi mkubwa siku zijazo. Tumeona viongozi walio kuwa wanajenga kwao na kuhamishia kila kitu kama vile wataishi milele. Nyerere Butiama kumebaki kama sehemu nyingine tu haikupewa upendeleo maalum.
Kwa miaka ile Nyerere angeweza kusema hata mkoa wa Mara uwe Jiji la Kanda ya Ziwa. He didint do that.
Leo hii wanakuja viongozi wanafanya uhuni kwa kutumia kodi za watanzania hawa maskini. Wazee wetu hawalipwi mafao yao,wafanyakazi wnakamuliwa. Hatuoneshi seriousness ya kubana matumizi.
Inaumiza walalahoi maana wanaofadika na uchumi wa Tanzania nia Magabasambusa na Magabachori peke yao. Ila wanachangiwa na maskini wao waishi maisha mazuri.