Ile route ya kupeleka nyama Dubai iliishia wapi?

Ile route ya kupeleka nyama Dubai iliishia wapi?

swali la kwanza: umeshawahi fanya biashara yoyote kubwa kabla sjakuuliza swali la pili: na kwa kuongezea hakuna biashara unaanzisha na uhakika we sio Mungu: you come up with an idea unaingia kwenye utekelezaji, katikati ya safari ya baishara unaweza kutana na opportunity zingine, at the same time unaweza kutana na loss za kufa mtu: and probability ya kufa kwa biashara its always there: hata uwe na plan ya miaka 10,000: ata uchore plan zote unazojua wewe


kingine: kwahio tuseme kwamba biznez zote ambazo zimefail hazikua na plan si ndo unachotaka kumaanisha? i am 100% sure you arent running any big bussiness at the moment ndo maaana umeongea huu upuuzi, so cha msingi tafuta mtu ambae anafanya biashara akwambie anachopitia:

there times profit inakua kubwa more than you expect and there times unakula hasara more than you expect, but they have a straight plan for there biznez, its normal
Naamini hata wewe mwenyewe unajua kuwa unaongea upuuzi. Eti unaniuliza kama nimeshafanya biashara yeyote kubwa! Biashara kubwa unairank kwa vipimo gani?
Capital?
Turn Over?
Assets?

Bila shaka akili kama hizi zako ndio zilitumika KUJARIBU kuweka depot ya mwendo kasi pale Jangwani. Mlikaa mkaamua kujaribu labda maji yanaweza yasifurike.
 
Naamini hata wewe mwenyewe unajua kuwa unaongea upuuzi. Eti unaniuliza kama nimeshafanya biashara yeyote kubwa! Biashara kubwa unairank kwa vipimo gani?
Capital?
Turn Over?
Assets?

Bila shaka akili kama hizi zako ndio zilitumika KUJARIBU kuweka depot ya mwendo kasi pale Jangwani. Mlikaa mkaamua kujaribu labda maji yanaweza yasifurike.

duuu, ila bro umeishia darasa la ngap? mbna aibu izi
 
Usicheze na awamu ya tano ndugu, ina kila aina ya wabobezi, wezi, waongo, wafitini na makanjanja
 
You can't start a business ukiwa 100% sure kwenye soko, MTU yoyote anaefanya biashara anajipa imani someday things will work out well, business sio kama ajira unasubiria fixed mwisho wa mwezi, at anytime any other opportunity can arise ,


MFANO south African airways has best airplanes services in Afrika, but it has frequent looses, in other words inaendeshwa kwa hasara: but haimaanishi wengine wasijaribu : see Ethiopia airways so profitable that it contributes to the country growth

Nimejarib kusoma hapa mara 2 tatu nikagundua kuwa umeshindwa kujibu swali uliloulizwa
 
Nimejarib kusoma hapa mara 2 tatu nikagundua kuwa umeshindwa kujibu swali uliloulizwa

kwan hujaelewa nn apo: apo nmetumia example, kwenye hio scenario ya ndege the point was ndege haikununuliwa kusafirisha nyama: ni opportunity ilitokea , so opportunity ni opportunity tu: it can last and it can die, hujaelewa nn apo
 
duuu, ila bro umeishia darasa la ngap? mbna aibu izi
Akili fupi bwana, ETI NIMEISHIA darasa la ngapi, kwani mimi ni marehemu? Ubongo mchache sana upo kichwani mwako. Mtu haishii darasa, anahitimu ngazi fulani na wakati wowote wa uhai wake anaweza kuendelea kutokea hapo.

Siku nyingine ujibidiishe kuwa na ukamilifu wa kiume, sio unaandika kama sister duu huko Instagram.
Unapoanza sentensi, anza na herufi kubwa
Ni ngapi sio ngap
Wadada ndio huandika mbna sababu ya uvivu na madeko ya kiuanamke, wanaume huandika MBONA
HIZI sio IZI.

Inaonesha hata kusoma nako ulijaribu, matokeo ukahitimu na hasara ya kutojua hata kuandika.
 
Akili fupi bwana, ETI NIMEISHIA darasa la ngapi, kwani mimi ni marehemu? Ubongo mchache sana upo kichwani mwako. Mtu haishii darasa, anahitimu ngazi fulani na wakati wowote wa uhai wake anaweza kuendelea kutokea hapo.

Siku nyingine ujibidiishe kuwa na ukamilifu wa kiume, sio unaandika kama sister duu huko Instagram.
Unapoanza sentensi, anza na herufi kubwa
Ni ngapi sio ngap
Wadada ndio huandika mbna sababu ya uvivu na madeko ya kiuanamke, wanaume huandika MBONA
HIZI sio IZI.

Inaonesha hata kusoma nako ulijaribu, matokeo ukahitimu na hasara ya kutojua hata kuandika.

kama huna hoja tuliza mdomo:
 
Sante sana, umenikumbusha yule waziri aliwahipandisha gunia la mkaa kwenye ndege, majibu yake alivyoulizwa ndo yaliniacha hoi,
[emoji23][emoji23] eti mlitaka nipandishe kwenye punda?
Watanzania watanzania watanzania!
 
Nakumbuka kulikuwa na safari moja ambapo Dreamliner ilitumika kupeleka nyama Dubai (route ya majaribio) na tukaambiwa route hiyo inaweza kuendelea iwapo itaonyesha kuleta faida.

Swali langu ni je,route hiyo imekufa?

Route ile ilifanyiwa utafiti wa kutosha kabla hata ya kufanya safari ile ya majaribio?

Au safari ile ilikuwa ni dili tu kwa mgongo wa kufanya majaribio?

Imepata ruti ya India Mara tatu kwa wiki hivo ya mbuzi hailipi tena
 
Back
Top Bottom