Ile route ya kupeleka nyama Dubai iliishia wapi?

Naamini hata wewe mwenyewe unajua kuwa unaongea upuuzi. Eti unaniuliza kama nimeshafanya biashara yeyote kubwa! Biashara kubwa unairank kwa vipimo gani?
Capital?
Turn Over?
Assets?

Bila shaka akili kama hizi zako ndio zilitumika KUJARIBU kuweka depot ya mwendo kasi pale Jangwani. Mlikaa mkaamua kujaribu labda maji yanaweza yasifurike.
 

duuu, ila bro umeishia darasa la ngap? mbna aibu izi
 
Usicheze na awamu ya tano ndugu, ina kila aina ya wabobezi, wezi, waongo, wafitini na makanjanja
 

Nimejarib kusoma hapa mara 2 tatu nikagundua kuwa umeshindwa kujibu swali uliloulizwa
 
Nimejarib kusoma hapa mara 2 tatu nikagundua kuwa umeshindwa kujibu swali uliloulizwa

kwan hujaelewa nn apo: apo nmetumia example, kwenye hio scenario ya ndege the point was ndege haikununuliwa kusafirisha nyama: ni opportunity ilitokea , so opportunity ni opportunity tu: it can last and it can die, hujaelewa nn apo
 
duuu, ila bro umeishia darasa la ngap? mbna aibu izi
Akili fupi bwana, ETI NIMEISHIA darasa la ngapi, kwani mimi ni marehemu? Ubongo mchache sana upo kichwani mwako. Mtu haishii darasa, anahitimu ngazi fulani na wakati wowote wa uhai wake anaweza kuendelea kutokea hapo.

Siku nyingine ujibidiishe kuwa na ukamilifu wa kiume, sio unaandika kama sister duu huko Instagram.
Unapoanza sentensi, anza na herufi kubwa
Ni ngapi sio ngap
Wadada ndio huandika mbna sababu ya uvivu na madeko ya kiuanamke, wanaume huandika MBONA
HIZI sio IZI.

Inaonesha hata kusoma nako ulijaribu, matokeo ukahitimu na hasara ya kutojua hata kuandika.
 

kama huna hoja tuliza mdomo:
 
Sante sana, umenikumbusha yule waziri aliwahipandisha gunia la mkaa kwenye ndege, majibu yake alivyoulizwa ndo yaliniacha hoi,
[emoji23][emoji23] eti mlitaka nipandishe kwenye punda?
Watanzania watanzania watanzania!
 

Imepata ruti ya India Mara tatu kwa wiki hivo ya mbuzi hailipi tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…