[emoji1] [emoji1] Hana management?hivi nyie mliokoment kwenye huu uzi,mna umri gani....
she is only 20 yrs old......
nani alistahili kama wote walikuwa ndumbaro?Diana hakustahili kabisa kushinda miss Tanzania
She has a wig/weave on (i'm not sure what it is exactly), that ain't natural!Aendelee kuwa natural and simple
Looking ok ain't gonna cut it for the miss world contest, she's got to be beautiful on the outside. She maybe a beautiful person on the inside so i'm not gonna judge her on that cause i don't know her on that level.she looks ok
Me mavazi sina shida nayo hata angevaa dera tatizo kanaongea sana bwana au me nina stress?Kavaa vizuri tu sema wabongo washajizoesha kila kitu wanataka kuponda
beauty is very subjective . ...namwona mzuri sana tu on the outside ...it's just okay kwako pia kumuona hatoshiLooking ok ain't gonna cut it for the miss world contest, she's got to be beautiful on the outside. She maybe a beautiful person on the inside so i'm not gonna judge her on that cause i don't know her on that level.
hahaha my baby darling . ..goodmorningMe mavazi sina shida nayo hata angevaa dera tatizo kanaongea sana bwana au me nina stress?
Morning usichekehahaha my baby darling . ..goodmorning
anapiga majungu tu huyu mleta-uziMpaka sahivi hamna hata picha?!!!!!
Hili zoezi la kuwatafuta mamiss Tz limekuja kitofauti sana yani kwa sasa ndio naona kama wamepotea sanaSijui sana mambo ya urembo kama kuna vigezo vingine basi wanajua wadada hususan ni wadada wa mjini...Ila kwangu muonekano na mvuto ndio vina matter ili nijue huyu ni miss izo sifa nyigine ni za ndan sana..Ombi langu wanao chagua hawa mamiss waangalie kwanza uzuri wa nje hivyo vigezo vingine iwe nyongeza au watafute wakufunzi kwa ajili ya hivyo vigezo vingine la sivyo tutaendelea kusindikiza wenzetu wa mataifa mengine.. Mimi kwa upande wangu kama mwanaume huyo ni miss sawa ila sio wa kushindana ni wakawaida tu ila sio m baya ila kama anazo sifa nyingine pongezi kwake na anaonyesha ni wife material kwa muonekano
In a contest such as this, beauty inayotakiwa ni ile ambayo iko evident kwa wengi na sio ile ya kutafuta au mpaka utafakari. She looks OKbeauty is very subjective . ...namwona mzuri sana tu on the outside ...it's just okay kwako pia kumuona hatoshi
Kwani uzuri wa nje ni nini ? Kuna SI Unit ya kupima uzuri ? Unachoona wewe kizuri ndio na mimi pia lazima nione ni kizuri ?Looking ok ain't gonna cut it for the miss world contest, she's got to be beautiful on the outside. She maybe a beautiful person on the inside so i'm not gonna judge her on that cause i don't know her on that level.