AmKATRINA
JF-Expert Member
- Jul 27, 2012
- 882
- 2,044
Umekosa sifa.... weusiMchangazi nikiwa nafatilia uzi ili nijinyakulie kijanaView attachment 3028437
Lishangazi liwe jeupe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umekosa sifa.... weusiMchangazi nikiwa nafatilia uzi ili nijinyakulie kijanaView attachment 3028437
Ok kijana nimefurahi kusikia hivyo😁😁Umeshaninyakua mama la mama.
Kama hana pesa ni li nani vile?Bila pesa hana sifa ya lishangazi
... huyo atabaki kuwa "mama fulani"Bila pesa hana sifa ya lishangazi
...bila kumsahau katibu wake Open kitchenKwakweli mshangazi lazima aanzie miaka 45 kwenda juu wa 30 mnatuonea
Raisi wa mashangazi ni shilole
Nashida na iPhone macho matano mama la mama.Ok kijana nimefurahi kusikia hivyo😁😁
Nitumie namba yako kijana nitume pesa ya vocha kwanza🐒Niko hapa mrembo lishangazi
Li singo maza fulani jitu zima hovyoKama hana pesa ni li nani vile?
Mweka hazina isha mashauzi ,muhamasishaji Tabu mtingita...bila kumsahau katibu wake Open kitchen
😂😂😂😂Nitumie namba yako kijana nitume pesa ya vocha kwanza🐒
Ivi mashangazi huwa mnayapataje nyie? ,mimi nikiyaanza tu huwa naonekana sina adabu🙄Li singo maza fulani jitu zima hovyo
Na chawa wao ni Resty ...Mweka hazina isha mashauzi ,muhamasishaji Tabu mtingita
😂😂😂😂😂😂 Isha na yule kijana kama mama na mwanae daaa vijana kazi wanayoNa chawa wao ni Resty ....
Sema nasikia anapeleka moto kinyama😂😂😂😂😂😂 Isha na yule kijana kama mama na mwanae daaa vijana kazi wanayo
Mmh si kweliUmekosa sifa.... weusi
Lishangazi liwe jeupe