Yuda Legacy
JF-Expert Member
- Jun 21, 2023
- 778
- 2,764
Nawa kumbusha kwa jina la Yesu Kristo kila asubuhi uamkapo omba hata dk 1, 2 au tatu ili bwana abariki kazi za mikono yako.
Hata kama hujaokoka omba maana hata mvua yesu huwanyeshea wema na waovu.
(lakini anza kwa kushukuru kwanza kwa kuamshwa salama maana ni vema kuingia katika malango ya bwana kwa shukurani kwanza).
Hata kama hujaokoka wewe omba tu bwana yesu yupo kwa ajili yako
^ NI MIMI MKUMBUSHAJI WAKO
Hata kama hujaokoka omba maana hata mvua yesu huwanyeshea wema na waovu.
(lakini anza kwa kushukuru kwanza kwa kuamshwa salama maana ni vema kuingia katika malango ya bwana kwa shukurani kwanza).
Hata kama hujaokoka wewe omba tu bwana yesu yupo kwa ajili yako
^ NI MIMI MKUMBUSHAJI WAKO