Ili kazi zako ziende, omba Yesu kila asubuhi usije sema una gundu

Ili kazi zako ziende, omba Yesu kila asubuhi usije sema una gundu

Nawa kumbusha kwa jina la Yesu Kristo kila asubuhi uamkapo omba hata dk 1, 2 au tatu ili bwana abariki kazi za mikono yako.

Hata kama hujaokoka omba maana hata mvua yesu huwanyeshea wema na waovu.

(lakini anza kwa kushukuru kwanza kwa kuamshwa salama maana ni vema kuingia katika malango ya bwana kwa shukurani kwanza).

Hata kama hujaokoka wewe omba tu bwana yesu yupo kwa ajili yako

^ NI MIMI MKUMBUSHAJI WAKO
Yesu mwenyewe aliomba. Umesahau alimuomba nani?
 
Nawa kumbusha kwa jina la Yesu Kristo kila asubuhi uamkapo omba hata dk 1, 2 au tatu ili bwana abariki kazi za mikono yako.

Hata kama hujaokoka omba maana hata mvua yesu huwanyeshea wema na waovu.

(lakini anza kwa kushukuru kwanza kwa kuamshwa salama maana ni vema kuingia katika malango ya bwana kwa shukurani kwanza).

Hata kama hujaokoka wewe omba tu bwana yesu yupo kwa ajili yako

^ NI MIMI MKUMBUSHAJI WAKO

View attachment 3056532
Aminaaaa
 
Back
Top Bottom