kevoomarcus
JF-Expert Member
- Dec 3, 2023
- 495
- 905
Utumwa wa kifikra na akili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yesu mwenyewe aliomba. Umesahau alimuomba nani?Nawa kumbusha kwa jina la Yesu Kristo kila asubuhi uamkapo omba hata dk 1, 2 au tatu ili bwana abariki kazi za mikono yako.
Hata kama hujaokoka omba maana hata mvua yesu huwanyeshea wema na waovu.
(lakini anza kwa kushukuru kwanza kwa kuamshwa salama maana ni vema kuingia katika malango ya bwana kwa shukurani kwanza).
Hata kama hujaokoka wewe omba tu bwana yesu yupo kwa ajili yako
^ NI MIMI MKUMBUSHAJI WAKO
Ukishaona una haja ya kumuomba Mungu (mjuzi wa yote, muweza yote na mwenye upendo wote), ujue Mungu huyo hayupo.
Angekuwepo, kusingekuwa na haja ya kumuomba.
Angekupa unachohitaji kabla hujaomba.
ALIMUOMBA MUNGU BABA YAKEYesu mwenyewe aliomba. Umesahau alimuomba nani?
Yohana 20:17.ALIMUOMBA MUNGU BABA YAKE
AminaaaaNawa kumbusha kwa jina la Yesu Kristo kila asubuhi uamkapo omba hata dk 1, 2 au tatu ili bwana abariki kazi za mikono yako.
Hata kama hujaokoka omba maana hata mvua yesu huwanyeshea wema na waovu.
(lakini anza kwa kushukuru kwanza kwa kuamshwa salama maana ni vema kuingia katika malango ya bwana kwa shukurani kwanza).
Hata kama hujaokoka wewe omba tu bwana yesu yupo kwa ajili yako
^ NI MIMI MKUMBUSHAJI WAKO
View attachment 3056532