Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 15,416
- 22,334
Hakuna injili ya hivyo wewe mpumbavu labda unazungumzia injili feki za Shetani mwenye nafsi 3 ...Yesu akuja duniani hili.kutumikia tamaa za miili ....watu wamegeuza kuwa mungu ni kwa ajili ya matamanio yao ya kimwili ..mnajidanganya.Nawa kumbusha kwa jina la Yesu Kristo kila asubuhi uamkapo omba hata dk 1, 2 au tatu ili bwana abariki kazi za mikono yako.
Hata kama hujaokoka omba maana hata mvua yesu huwanyeshea wema na waovu.
(lakini anza kwa kushukuru kwanza kwa kuamshwa salama maana ni vema kuingia katika malango ya bwana kwa shukurani kwanza).
Hata kama hujaokoka wewe omba tu bwana yesu yupo kwa ajili yako
^ NI MIMI MKUMBUSHAJI WAKO
View attachment 3056532