The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Hakuna muujiza wa Yesu kwa kuamka kwangu ila kuna baraka za Mungu na matakwa ya Mungu.HATA KUAMKA MZIMA TU NI MUUJIZA KUTOKA KWA YESU NDIO MAANA KAKUFANYA UNAANDIKA HAPA.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna muujiza wa Yesu kwa kuamka kwangu ila kuna baraka za Mungu na matakwa ya Mungu.HATA KUAMKA MZIMA TU NI MUUJIZA KUTOKA KWA YESU NDIO MAANA KAKUFANYA UNAANDIKA HAPA.
Utaratibu uliowekwa na nani, kwa jamii au watu gani? kwani kila jamii inamuamini huyo Yesu? ungekuwa specific huu ushauri wako ungeulekeza kwa wakristo wanaoamini Yesu alitumwa na Mungu wake.MUNGU YUPI ATAKUJIBU NYAKATI HIZI BIRA KUPITIA KWA MWANAE PEKEE ALIE MUWEKA AMBAE NI YESU KRISTO
FUATA UTARATIBU ULIO WEKWA
Waislam Kuna kitu mnashindwa kukielewa Bwana Yesu yule alikuwa ni neno ila alifanyika kuwa mwili walishakuja manabii wengi na neno la Mungu bado watu hawakutaka kubadilika mabaya yao hata angekuja nabii mwingine bado injili ingekuwa vile vileMimi mbona hua simtangulizi huyo Yesu ila mambo yangu ni safi? hao wachungaji wenyewe wanawakamua hela waumini masikini,au na wao walimuomba Yesu ndio maana wanawakamua masikini badala ya kuwasaidia? mtangulize Mungu na sio Binadamu mwenzako ambaye hata yeye mwenyewe anamtegemea Mungu.
Endelea kuota bila kua usingizini,Waislam Kuna kitu mnashindwa kukielewa Bwana Yesu yule alikuwa ni neno ila alifanyika kuwa mwili walisha kuja manabii wengi na neno la Mungu bado watu hawakutaka kubadilika mabaya yao
INAKUPASA UWE NAO JARIBU SIKU MOJA UONE INAVYO KUWA TOFAUTIUkweli sina utamaduni wa kuomba..
Kweli kabisa, kumuomba na kumshukuru Mungu inatosha sana. Alafu Mungu mwenyewe hana nongwa na mtu.Mimi mbona hua simtangulizi huyo Yesu ila mambo yangu ni safi? hao wachungaji wenyewe wanawakamua hela waumini masikini,au na wao walimuomba Yesu ndio maana wanawakamua masikini badala ya kuwasaidia? mtangulize Mungu na sio Binadamu mwenzako ambaye hata yeye mwenyewe anamtegemea Mungu.
Kati ya watu bilioni 8 waliopo hapa duniani, wafuasi wa Yesu Kristo ni bilioni 2.4 tu, na miongoni mwao wanaofuata mafundisho yake kwa usahihi hawafiki hata asilimia 0.000001Waislam Kuna kitu mnashindwa kukielewa Bwana Yesu yule alikuwa ni neno ila alifanyika kuwa mwili walishakuja manabii wengi na neno la Mungu bado watu hawakutaka kubadilika mabaya yao hata angekuja nabii mwingine bado injili ingekuwa vile vile
HAPANA NI PICHA ALIYO CHORWA MUSA KWA MFANO TUHuyo kwenye picha ni Yesu au Netanyahu?
View attachment 3056565
Unamzungumzia huyu jamaa picha yake watu wakiona mitandaoni wanacomment 'amen'.
Sawa pamoja na kwamba wewe umekaa ki-spiritist zaidi kuliko ki-biblia.Asante kwa neno MTUMISHI japo umewalenga wakiristo tu Ila Mimi naongezea haya maneno mafupi
Ukiamka Ahsubui anza na kushukuru kwa kusema Asante na uwashukuru watu ambao wameunganika na wewe mfano Boss wako kazini ,wafanyakazi wenzako kazini , na Familia yako pamoja na nchi kwa ujumla.
Jioni ukitoka katika utafutaji jitahidi pia utoe shukurani kwa Ulimwengu universe Kama wewe atheist Ila na Kama wewe ni MTU wa dini Mshukuru Mungu.
Na hakikisha ndani ya siku unamuinua MTU mmoja kumbariki kimawazo , kipesa - hii inasaidia kutengeza Flow of energy.
kivipi? eleza maana ya muujizaHATA KUAMKA MZIMA TU NI MUUJIZA KUTOKA KWA YESU NDIO MAANA KAKUFANYA UNAANDIKA HAPA.
baada ya kuja yesu watu tumebadilika?Waislam Kuna kitu mnashindwa kukielewa Bwana Yesu yule alikuwa ni neno ila alifanyika kuwa mwili walishakuja manabii wengi na neno la Mungu bado watu hawakutaka kubadilika mabaya yao hata angekuja nabii mwingine bado injili ingekuwa vile vile
Kati ya Mungu na huyo Mama wa Mungu ni nani alitangulia kuwepo?Sisi Rc Huwa tunaomba Kwa bikira maria mama wa Mungu