Sasa sii ndio nzuriZinahamasisha kungonoka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa sii ndio nzuriZinahamasisha kungonoka
Sio zote sasa zipo zenye kuhamasisha mahaba tu bila kugonokeanaZinahamasisha kungonoka
Huu ndio ukweli tutaruka ruka bure wakati kitu rahisi ni kwamba watu wasigegeduane kabla ya ndoa basi...Mimi nafikiri turejee ktk msingi wa Dini kama Mungu alivyoagiza
1. Tusizini kabla ya ndoa
2. Tusifanye uzinzi ndani ya ndoa
..ndoa zetu nyingi zinaingia migogoro lakini ukichunguza chanzo kikuu ni UZINIFU
Et tunatest mitamboSiku hizi ndoa zinafungishwa tayari mtu ana mimba ya miezi 6
Mara ya mwisho umesex lini?Sio zote sasa zipo zenye kuhamasisha mahaba tu bila kugonokeana
Utakapooa usisahau Mila na desturiNaam
Mizumu ni watu waliowahi kuishi na kufariki ndani ya chimbuko fulami fulani (wa zamani saana mababu), kila ukoo huwa na mizimu yake.Hivi mizimu huwa ni akina nani?
Au mizimu ni nini?
Ni kama Ibrahim, Isaka na Yakobo kwa waisraelHivi mizimu huwa ni akina nani?
Au mizimu ni nini?
2021 mwanzoni😂😂Mara ya mwisho umesex lini?
Nitajitahidi kutozipuuzaUtakapooa usisahau Mila na desturi
Hivyo na mimi nikifa nitakuja kuwa mzimu kwa vizazi vijavyo?Mizumu ni watu waliowahi kuishi na kufariki ndani ya chimbuko fulami fulani (wa zamani saana mababu), kila ukoo huwa na mizimu yake.
Kiufupi kwenye hizi dini zetu mara nyingi tunasoma na kujifunza juu ya mzimu ya wazungu (mababu wazungu waliowahi kuishi na kufa huko ulaya) ambayo haijawahi kutuhusu, watu wamekaririshwa vibaya juu kitambika mizimu yao hivyo wametelekezwa waishi waowao kama wao ma ndiomaana hawaishiwi kuhangaika.
Mazee yameamuw kubaki na siri zao moyoni na kuwaacha vijana wakihangaika, ndiomana hata sasa wanaofanikiwa ni wale wanaoamua kushikamana na mizimu yao either waziwazi au kwa siri(wakiogopa jamii itawachukuliaje).
NB:Walioishi kabla ya dini hizi kuja na kisambaa, waliomba mizimu kwa matambiko na wakajibiwa tena kuliko hata jinsi ambavyo sikuhizi watu hujibiwa wakiomba, iliwezekanaje??
Hawa si ndio wanaotajwa pia katika ukristo? kwani hawa nao wanaabudiwa na kutakwa msaada kama mizimu?ni kama ibrahim, isaka na yakobo kwa waisrael
Unaitunza Kwa ajili ya nn2021 mwanzoni😂😂
Inasubiria nikiingia kwenye mahusiano tena.Unaitunza Kwa ajili ya nn
Sawainasubiria nikiingia kwenye mahusiano tena.
🤣🤣🤣Na kama una bahati unaweza kukuta tayari ana mimba kwahiyo mtoto anahesabiwa ni wa kwako.
Mizimu ni wakina Yoshua, Bikra Maria, Petro, Nabii Huseini wa KIAFRICA.Hivi mizimu huwa ni akina nani?
Au mizimu ni nini?