miss charming
JF-Expert Member
- Dec 3, 2016
- 910
- 905
Kwa imani yao ya kishirikina ndio, ila wanajitafutia laana ya MunguKwa maana hao mizimu wanakuwa kweli wanatoa huo msaada, au inakuwa ni kama wale wanaoabudu ng'ombe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa imani yao ya kishirikina ndio, ila wanajitafutia laana ya MunguKwa maana hao mizimu wanakuwa kweli wanatoa huo msaada, au inakuwa ni kama wale wanaoabudu ng'ombe?
Hahahaaa. Ndio maana hata Adam alipewa Eva sema tu alimuingiza mkenge Adam tungekuwa tunapiga mbususu hazarani bila hata vikwazo.Wee bwnaa kutombaner ndio starehee namba moja hapa duniani. Wai wenyewe warembo wanapenda kugeggeduana
Kweli kabisaHahahaaa. Ndio maana hata Adam alipewa Eva sema tu alimuingiza mkenge Adam tungekuwa tunapiga mbususu hazarani bila hata vikwazo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wee bwnaa kutombaner ndio starehee namba moja hapa duniani. Wai wenyewe warembo wanapenda kugeggeduana
Hayo si ndo mambo ya mila...Mimi nafikiri turejee ktk msingi wa Dini kama Mungu alivyoagiza
1. Tusizini kabla ya ndoa
2. Tusifanye uzinzi ndani ya ndoa
..ndoa zetu nyingi zinaingia migogoro lakini ukichunguza chanzo kikuu ni UZINIFU
Ulivyomalizia sijapenda 😅😅😅😅ILI KUEPUSHA MAJANGA KWENYE NDOA TURUDI KWENYE MILA ZETU
Siku hizi watu hawazingatii kabisa mambo ya kimila. Tumewadharau sana wazee wetu ndo maana majanga kila siku kwenye ndoa.
Enzi zetu ukitaka kuoa kuna njia mbili; aidha uchague mchumba wewe mwenyewe au wazee wakuchagulie.
Na kabla ya ndoa lazima tambiko lifanyike ili mizimu itoe kibali. Tambiko huwa ni la siku tatu ambapo wakati wote wa tambiko chakula kikuu ni supu ya mkia wa kondoo ambayo haijawekwa chumvi.
Pia kwa siku hizo tatu hakuna kuoga wala kuvaa viatu. Na ikitokea wazee wamekuchagulia mchumba basi hutamwona huyo binti hadi siku ya ndoa tena jioni maana muda wote kafunikwa usoni.
Na kama una bahati unaweza kukuta tayari ana mimba kwahiyo mtoto anahesabiwa ni wa kwako.
Nadhani ili kuepusha majanga turudi kwenye mila zetu.
Inaonekana huna bahati. 😁Ulivyomalizia sijapenda 😅😅😅😅