Ili kuisaidia nchi na kumsaidia Rais Samia, je tumfanyie an honest MTR based on SMART Objectives za tulipotoka, tulipo to determine tunapokwenda?

Ili kuisaidia nchi na kumsaidia Rais Samia, je tumfanyie an honest MTR based on SMART Objectives za tulipotoka, tulipo to determine tunapokwenda?

"Samia ni mpango wa Mungu kwa Tanzania: Kwa hili atabarikiwa, Taifa litabarikiwa. Asante Mungu kwa Samia, Mungu mbariki Samia".​

Usinitie majaribuni kwani yote ayafanyayo Samia ni mpango wa Mungu kama unenavyo, na neno litabaki kuwa neno.
mungu akubariki nabii Paskali.
 
Nadhani ni uzee tu , mbona zamani alikuwa fresh tu ?
Huyu ni mchochezi,anafanya kusudi kuanzisha jambo kisha anakaa pembeni akiwaangalia mnavyogombea mfupa usiotafunika huku akiwacheka.
Paskali anasema Samia ni mpango wa Mungu kisha anataka sisi tumkosoe au tumpime Mungu! Ina maana hata yeye hakuridhika Mungu alichomjalia Samia?
 
Wanabodi,

Angalizo la Kuchanganya Lugha
Naomba kuanza na angalizo la kuchanganya lugha, JF ilipoanzishwa, it was meant to an online user generated social forum, mtu una post chochote, kwa lugha yoyote ya public, bila kuvunja kanuni za jf.

Kwa kadri jf inavyozidi kukua, inazidi kuimarika na kuzidi kuboreka, hivyo sasa iko kwenye transformation from just a social media to mainstream media, ukipost heading kwa kuchanganya lugha, heading yako inabadiloshwa kuwekwa lugha ya Kiswahili, sometimes it changes the meaning.

Bandiko hili Ili kuisaidia nchi, na kumsaidia Rais Samia, Je tumfanyie an honest MTR, based on SMART Objectives za tulipotoka, tulipo ili to determine tunapokwenda?.

Heading hii imechanga lugha kwasababu maneno mengine ya Kiingereza hayana Kiswahili.

MTR ni Mid Term Review, na SMART Objectives ni malengo ya kimkakati ambayo ni Specific, Measurable, Achievable, Realistic, and Timely na hizo Objectives ziko za short term, medium term na long term.

Hivyo ili kuisaidia nchi, na kumsaidia Rais Samia, ni muhimu kumfanyia MTR ya performance appraisal yake ya toka alipoanza, hapa alipofika, hivyo ku determined kule anakokwenda au anako tupeleka.

Hii MTR, hufanywa na watu wanaofanya kazi na wenzetu wazungu ambapo wanapima utendaji kazi wako.

Kwa kawaida hii MTR hufanywa na boss wako anaye ku supervises. Kwa mujibu wa katiba ya JMT, Rais wa JMT ndie the top boss na anafikia maamuzi ya mwisho yeye kama yeye, anaweza kushauriwa na washauri wake na wasaidizi wake, lakini kwenye kufikia maamuzi, anafikia maamuzi yeye kama yeye na hawajibiki kufuata ushauri wa yeyote.

Sehemu pekee ambapo Rais wa JMT atawajibika ni kwenye katiba ya JMT, hiyo katiba ambayo Rais wa JMT anawajibika, ni mali ya wananchi Watanzania, hivyo the real boss ni Mwananchi, ndiye mwenye katiba, ndiye aliye muajiri Rais wa JMT kwa kura yake, ndiye anayemlipa mshahara kwa kodi yake, hivyo Mwananchi wa Tanzania ndiye boss wa Rais Samia, na Rais Samia ni mtumishi tuu wa watu, aliyepewa dhamana kututumikia kwa kutuongoza, hivyo ni haki kabisa kwa Mwananchi wa kawaida kabisa kama mimi kumfanyia Rais Samia MTR.

The SMART Objectives ni ilani ya uchaguzi ya CCM ya 2020-2025, time frame yake ni miaka 5, hivyo MTR ya ilani ya uchaguzi ya CCM ilipaswa iwe July 2023, lakini kwa vile Samia ameipokea nchi na urais March 2021, then MTR yake ndio sasa.

MTR ni ya kazi gani?, unamfanyia Rais wa JMT MTR ili iweje?.
MTR ni muhimu sana ili kupima ulipotoka, ulipo hivyo ku determine kule unakokwenda the target ikiwa ni 2025.

Ili kumtendea haki Rais Samia, kwenye hii MTR yangu, kwenye Strategic Objectives sitaitumia ilani ya uchaguzi ya CCM, kwasababu hii ni ilani ya mtangulizi wake, hivyo kuitumia sio kumtendea haki, badala yake mimi nitatumia mabandiko yangu yenye expectations zangu za kisiasa tuu, kumhusu Rais Samia, toka alipoingia mpaka hapa alipofika ili kum determine na kukuwekea projection ya 2025 kama tutafanya uchaguzi huru na wa haki kweli au tutaendelea kufanya uchaguzi 'huru' na wa 'haki' kama kawa!.

Strategic Objectives zangu ni hizi ambazo nita pick randomly na kufanya MTR.
  1. Asante Mungu kwa Rais Samia: Ni Msema Kweli na Mtenda Kweli, Ni Msema Haki na Mtenda Haki. Je, Ataruhusu Ubatili Huu Kuendelea Ndani ya Katiba Yetu?
  2. Samia ni mpango wa Mungu kwa Tanzania: Kwa hili atabarikiwa, Taifa litabarikiwa. Asante Mungu kwa Samia, Mungu mbariki Samia, Mungu ibariki Tanzania!
Ili kuziona hizo MTR, ni lazima ufungue bandiko husika, halafu nikimaliza MTR zote ndipo nitakuja na conclusion ya projection za Uchanguzi Mkuu wa 2025.

Hii ni hatua ya kwanza ya ushirikishwaji, jee tumsaidie Rais Samia, tumfanyie an honest MTR, based on SMART Objectives za tulipotoka, tulipo ili to determine tunapokwenda?, au tusimtathimini rais wetu, tuendelee tuu kwenda hivi hivi, halafu tathimini ifanyike kwenye kampeni za 2025?.

Paskali
Mkuu Paskali uzi wako ni mzuri mno na unachokoza kipimo kizuri sana cha kufanyia tathmini utendaji kazi wa Rais wetu ili kuweza kupima matokeo yake. Kitu cha kwanza ni ilani iliyonadiwa kwa wananchi mwaka 2020 ambayo kupitia kukubalika kwake ndipo CCM ilishika dola, pasipo kujali ni kwa namna gani ilifanikiwa kuitwaa dola.

Ilani hii haikuwa ni mali binafsi ya JPM, bali ni ya CCM kwa kipindi cha 2021-2025 na utekelezaji wake ni kwa yeyote yule ndani ya chama tawala kama angepata ridhaa ya kikatiba kupata dhamana ya urais, kwa hiyo basi utekelezaji wa ilani hii inamuhusu SSH moja kwa moja. Pengine kama baada ya kifo cha JPM katiba yetu ingetoa mwanya wa kurudiwa kwa uchaguzi mwingine na ilani mpya ziandaliwe na vyama vya ushindani.

Tukirejea katika hii ilani ndimo ndani yake kuna "strategic objective, plans & goals" ambazo zinaainisha utekelezaji wake. "SMART objectives" hutolewa humo ili kupima utekelezaji wake. "MTR is just a periodic review required to be made half way emanated from total expected outcomes".

Kwa mizania hiyo basi, tunapaswa kuangalia ndani ya ilani ya CCM ahadi ya miaka mitano ni nini hasa kimekwisha fanyika, na mpaka kufikia nusu ya muda huo ni kwa kiasi gani utekelezaji wake umekamilika.
Baadhi ya tathmini zangu,
a) Ujenzi wa SGR kipande cha Dar - Moro kukamilika na kuanza kufanya kazi ifikapo Julai 2021

Alama 0%

b) Ujenzi wa bwawa la Mwl. Nyerere kukamilika na kuanza kazi ifikapo Novemba 2022 ns tatitizo la kukatikakatika kwa umeme kuwa ni historia

Alama 0%

c) Kuifanya Tanzania kuwa nchi yenye kutegemea uchumi wa viwanda ifikapo mwaka Disemba 2024

Alama [emoji10]%

d) Kuifungua Tanzania kiuchumi
(haikuwepo kwenye ilani, imekuja kwa gia iliyobadilishiwa angani)

Alama -100%

Hivi ndivyo "performance evaluation" MTR yake inavyopasa kufanya kazi kupitia "SMART Objectives"
 
Mkuu Paskali uzi wako ni mzuri mno na unachokoza kipimo kizuri sana cha kufanyia tathmini utendaji kazi wa Rais wetu ili kuweza kupima matokeo yake. Kitu cha kwanza ni ilani iliyonadiwa kwa wananchi mwaka 2020 ambayo kupitia kukubalika kwake ndipo CCM ilishika dola, pasipo kujali ni kwa namna gani ilifanikiwa kuitwaa dola.

Ilani hii haikuwa ni mali binafsi ya JPM, bali ni ya CCM kwa kipindi cha 2021-2025 na utekelezaji wake ni kwa yeyote yule ndani ya chama tawala kama angepata ridhaa ya kikatiba kupata dhamana ya urais, kwa hiyo basi utekelezaji wa ilani hii inamuhusu SSH moja kwa moja. Pengine baada ya kifo cha JPM katiba yetu ingetoa mwanya wa kurudiwa kwa uchaguzi mwingine na ilani mpya ziandaliwe na vyama vya ushindani.

Tukirejea katika hii ilani ndimo ndani yake kuna "strategic objective, plans & goals" ambazo zinaainisha utekelezaji wake. "SMART objectives" hutolewa humo ili kupima utekelezaji wake. "MTR is just a periodic review required to be made half way emanated from total expected outcomes".

Kwa mizania hiyo basi, tunapaswa kuangalia ndani ya ilani ya CCM ahadi ya miaka mitano ni nini hasa kimekwisha fanyika, na mpaka kufikia nusu ya muda huo ni kwa kiasi gani utekelezaji wake umekamilika.
Baadhi ya tathmini zangu,
a) Ujenzi wa SGR kipande cha Dar - Moro kukamilika na kuanza kufanya kazi ifikapo Julai 2021

Alama 0%

b) Ujenzi wa bwawa la Mwl. Nyerere kukamilika na kuanza kazi ifikapo Novemba 2022 ns tatitizo la kukatikakatika kwa umeme kuwa ni historia

Alama 0%

c) Kuifanya Tanzania kuwa nchi yenye kutegemea uchumi wa viwanda ifikapo mwaka Disemba 2024

Alama [emoji10]%

d) Kuifungua Tanzania kiuchumi
(haikuwepo kwenye ilani, imekuja kwa gia iliyobadilishiwa angani)

Alama -100%

Hivi ndivyo "performance evaluation" MTR yake inavyopasa kufanya kazi kupitia "SMART Objectives"
Mkuu mbenge , asante sana, tangu bandiko hili limepanda, wewe ndie mchangiaji wa kwanza kuchangia kuhusu MTR.
P
 
Mkuu mbenge , asante sana, tangu bandiko hili limepanda, wewe ndie mchangiaji wa kwanza kuchangia kuhusu MTR.
P
Samia ni chaguo la Mungu na ni wazi yote anayoyafanya yana mkono wa Mungu sasa sisi ni nani na tunawezaje kupata ushujaa wa kumkosoa Mungu, ukiona hajalifanya basi ni Mungu hajampangia alifanye.
 
Wanabodi,

Angalizo la Kuchanganya Lugha
Naomba kuanza na angalizo la kuchanganya lugha, JF ilipoanzishwa, it was meant to an online user generated social forum, mtu una post chochote, kwa lugha yoyote ya public, bila kuvunja kanuni za jf.

Kwa kadri jf inavyozidi kukua, inazidi kuimarika na kuzidi kuboreka, hivyo sasa iko kwenye transformation from just a social media to mainstream media, ukipost heading kwa kuchanganya lugha, heading yako inabadiloshwa kuwekwa lugha ya Kiswahili, sometimes it changes the meaning.

Bandiko hili Ili kuisaidia nchi, na kumsaidia Rais Samia, Je tumfanyie an honest MTR, based on SMART Objectives za tulipotoka, tulipo ili to determine tunapokwenda?.

Heading hii imechanga lugha kwasababu maneno mengine ya Kiingereza hayana Kiswahili.

MTR ni Mid Term Review, na SMART Objectives ni malengo ya kimkakati ambayo ni Specific, Measurable, Achievable, Realistic, and Timely na hizo Objectives ziko za short term, medium term na long term.

Hivyo ili kuisaidia nchi, na kumsaidia Rais Samia, ni muhimu kumfanyia MTR ya performance appraisal yake ya toka alipoanza, hapa alipofika, hivyo ku determined kule anakokwenda au anako tupeleka.

Hii MTR, hufanywa na watu wanaofanya kazi na wenzetu wazungu ambapo wanapima utendaji kazi wako.

Kwa kawaida hii MTR hufanywa na boss wako anaye ku supervises. Kwa mujibu wa katiba ya JMT, Rais wa JMT ndie the top boss na anafikia maamuzi ya mwisho yeye kama yeye, anaweza kushauriwa na washauri wake na wasaidizi wake, lakini kwenye kufikia maamuzi, anafikia maamuzi yeye kama yeye na hawajibiki kufuata ushauri wa yeyote.

Sehemu pekee ambapo Rais wa JMT atawajibika ni kwenye katiba ya JMT, hiyo katiba ambayo Rais wa JMT anawajibika, ni mali ya wananchi Watanzania, hivyo the real boss ni Mwananchi, ndiye mwenye katiba, ndiye aliye muajiri Rais wa JMT kwa kura yake, ndiye anayemlipa mshahara kwa kodi yake, hivyo Mwananchi wa Tanzania ndiye boss wa Rais Samia, na Rais Samia ni mtumishi tuu wa watu, aliyepewa dhamana kututumikia kwa kutuongoza, hivyo ni haki kabisa kwa Mwananchi wa kawaida kabisa kama mimi kumfanyia Rais Samia MTR.

The SMART Objectives ni ilani ya uchaguzi ya CCM ya 2020-2025, time frame yake ni miaka 5, hivyo MTR ya ilani ya uchaguzi ya CCM ilipaswa iwe July 2023, lakini kwa vile Samia ameipokea nchi na urais March 2021, then MTR yake ndio sasa.

MTR ni ya kazi gani?, unamfanyia Rais wa JMT MTR ili iweje?.
MTR ni muhimu sana ili kupima ulipotoka, ulipo hivyo ku determine kule unakokwenda the target ikiwa ni 2025.

Ili kumtendea haki Rais Samia, kwenye hii MTR yangu, kwenye Strategic Objectives sitaitumia ilani ya uchaguzi ya CCM, kwasababu hii ni ilani ya mtangulizi wake, hivyo kuitumia sio kumtendea haki, badala yake mimi nitatumia mabandiko yangu yenye expectations zangu za kisiasa tuu, kumhusu Rais Samia, toka alipoingia mpaka hapa alipofika ili kum determine na kukuwekea projection ya 2025 kama tutafanya uchaguzi huru na wa haki kweli au tutaendelea kufanya uchaguzi 'huru' na wa 'haki' kama kawa!.

Strategic Objectives zangu ni hizi ambazo nita pick randomly na kufanya MTR.
  1. Asante Mungu kwa Rais Samia: Ni Msema Kweli na Mtenda Kweli, Ni Msema Haki na Mtenda Haki. Je, Ataruhusu Ubatili Huu Kuendelea Ndani ya Katiba Yetu?
  2. Samia ni mpango wa Mungu kwa Tanzania: Kwa hili atabarikiwa, Taifa litabarikiwa. Asante Mungu kwa Samia, Mungu mbariki Samia, Mungu ibariki Tanzania!
Ili kuziona hizo MTR, ni lazima ufungue bandiko husika, halafu nikimaliza MTR zote ndipo nitakuja na conclusion ya projection za Uchanguzi Mkuu wa 2025.

Hii ni hatua ya kwanza ya ushirikishwaji, jee tumsaidie Rais Samia, tumfanyie an honest MTR, based on SMART Objectives za tulipotoka, tulipo ili to determine tunapokwenda?, au tusimtathimini rais wetu, tuendelee tuu kwenda hivi hivi, halafu tathimini ifanyike kwenye kampeni za 2025?.

Paskali
Update from mchangiaji very objective.

Mkuu mbenge , asante sana, tangu bandiko hili limepanda, wewe ndie mchangiaji wa kwanza kuchangia kuhusu MTR.
P
Utaitwa chawa,Huwa hawataki evaluation especially pale zinapo mfavour Rais Samia
 
Ukiacha angalizo lako lisilo na maana yoyote ( Maana jf unaweza hata kuandika kifaransa na tukachangia tu ) , Ni hivi , viongozi wa Tanzania huwa wanaamini wana akili kuliko raia yoyote , na huwa wanaamini wanajua kuliko yeyote yule , viongozi wengi wa Tanzania wanaamini kwamba wanaowafuatia kwa akili ni watoto wao tu , mifano ni mingi .

Sasa hata tukishauri mpaka damu itutoke kichwani unadhani watatusikiliza ?

View attachment 2856988
Uko sahihi, viongozi wengi asili yao ni bush Iramba huko sijui Bumbuli , Kongwa , Mgeta , Malinyi , Lindi huko ndani ndani ila much know sana wakati huko bush wakikua wakilala na njaa au kushindia viazi na mihogo na uji wa chumvi na kutembea peku, mwanga wanaoujua ni wa kibatari, wengine wakiswaga ng'ombe na sasa wako mjini wengi wao wanafikiri wanajua sana kila kitu kuliko raia wote

, mi nimezaliwa na kukulia town na nikasomeshwa na wazungu og kwao uzunguzi miaka kibao na sio wazungu maskini na nasema wazi mimi binafsi naamini najua zaidi kuhusu ujamaa kuliko mwalimu wanaempigia makofi ambae naamini hakujua maana ya ujamaa na akaandika mavitabu elfu na kuwaswaga raia wasio na elimu kwenye mapori ya vijiji vya ujamaa! wengine wakaliwa na Simba na mafisi! Ujamaa ni mode of production whose prerequisite is capitalism, yaani huwezi kuwa mjamaa bila kupitia ubepari, huwezi kuwa mjamaa bila kuwa tajiri, huwezi kuwa tajiri bila mapinduzi ya viwanda au service na kupita katika kitu kinaitwa Age of Enlightenment or the Enlightenment,[note 2] also known as the Age of Reason, , huwezi kuwa mjamaa na nchi kuwa omba omba, na kwanza kiuhalisia ujamaa ni mfumo hauwezekani maana haiwezekani duniani watu wasio na elimu na wavivu wakaingiza pesa sawa na wanaojituma na wasomi, wanawake na wanaume hawawezi kufanana kipato na akili na kwanza ujamaa lazima ni kujitosheleza kwanza sasa ujamaa wa mwalimu wa nchi maskini ,watu maskini wanaogawana umaskini , maradhi na ujinga, ujamaa wa ombaomba , sijui mwalimu alisomea wapi wakamlisha matango pori akajiona anajua sana na kuwaswaga wabongo kumbe zero!

Na ndio maana nilisema bongo itatajirika in 60 years to come baada ya viongozi wote wa sasa ambao wengi wao walichapwa fimbo au bakora na mkoloni kina Carl Peters kulima barabara kuingia mavumbini ( my new ideas on Thomas Malthus theory of population, population composition hasa ndicho nimeangalia maana viongozi wengi wazee hawana tena ideas) , yaani kuna kundi la viongozi miungu watu wanajiona wanajua sana kumbe ni zero na wao ndio sababu ya umaskini wa bongo, halafu hawataki kukubali ukweli kuwa in 30 to 60 years watakufa ,kuimbiwa mapambio na na kuacha duniani masifa yote , magorofa yote , vyeo vyote , mabasi yote , vipara vyote na kila wanachoiba!

Huwezi kuendeleza nchi bila vyanzo vya umeme na reli ya umeme, vitu viwili ambavyo huleta mapinduzi ya viwanda , tourism and commerce. eti bongo viongozi walivyo wa ajabu wanapiga vita Nyerere Dam na SGR!

Quran Tukufu inasema hayakuwa maisha ya dunia bali ni kiini macho tu, yaani usanii tu, unajiona mjaaaanja unaiba mabilioni ya umma hukamatwi na kununua mabasi kibao Dar - Ara , unajenga magorofa kibao marefu sana , halafu one day bila taarifa unaanguka na kufa ghafla kwa mshtuko wa moyo na kuacha balaa duniani la ndugu kurogana na kupigana kwa kugombea mijengo na mikoko yako! Bahati mbaya mali za viongozi hupigwa mnada na ndugu na kuuzwa kwa bei chee, bei ya jioni , bei ya tupa tupa hasara roho pesa makaratasi! mjengo wa bilioni tatu ndugu watauza milioni 200 tu!

viongozi weusi ni maskini sana rohoni hata awe na bilioni benki umaskini haumtoki, ukinibishia kafie mbele mwaka mpya huu 2024 tuambiane tu ukweli! umeme unamwagika wao wanatengenezea mgao, lengo lake eti kutesa raia , hii sasa kama si uchawi tu ni nini! watatuua na joto maskini hawa!
 
Wanabodi,

Bandiko hili Ili kuisaidia nchi, na kumsaidia Rais Samia, Je tumfanyie an honest MTR, based on SMART Objectives za tulipotoka, tulipo ili to determine tunapokwenda?.

Hivyo ili kuisaidia nchi, na kumsaidia Rais Samia, ni muhimu kumfanyia MTR ya performance appraisal yake ya toka alipoanza, hapa alipofika, hivyo ku determined kule anakokwenda au anako tupeleka.

Kwa kawaida hii MTR hufanywa na boss wako anaye ku supervises. Kwa mujibu wa katiba ya JMT, Rais wa JMT ndie the top boss na anafikia maamuzi ya mwisho yeye kama yeye, anaweza kushauriwa na washauri wake na wasaidizi wake, lakini kwenye kufikia maamuzi, anafikia maamuzi yeye kama yeye na hawajibiki kufuata ushauri wa yeyote.

Sehemu pekee ambapo Rais wa JMT atawajibika ni kwenye katiba ya JMT, hiyo katiba ambayo Rais wa JMT anawajibika, ni mali ya wananchi Watanzania, hivyo the real boss ni Mwananchi, ndiye mwenye katiba, ndiye aliye muajiri Rais wa JMT kwa kura yake, ndiye anayemlipa mshahara kwa kodi yake, hivyo Mwananchi wa Tanzania ndiye boss wa Rais Samia, na Rais Samia ni mtumishi tuu wa watu, aliyepewa dhamana kututumikia kwa kutuongoza, hivyo ni haki kabisa kwa Mwananchi wa kawaida kabisa kama mimi kumfanyia Rais Samia MTR.

Paskali
Hii ni zawadi yangu kwa Birthday ya Mama leo, nilipanga kumpa wiki ya mwisho ya October 2025,

Ili zawadi hii iwe na manufaa kwake, nikisubiri mpaka hiyo 2025, it might be a bit too little too late, kuna ubaya hiyo zawadi, kutolewa mapema mwaka huu ili iweze kutumika mwaka kesho?.

Zawadi yenyewe ni Salaam tuu za Birthday zenye ki parcel fulani!

HBD Mhe. Rais Samia kwa kutimiza miaka 64!, nakupongeza sana na kukuombea afya njema!.

Mwakani 2025 utakuwa unatimiza umri wa miaka 65 na 2030 utakuwa na umri wa miaka 70, hivyo zawadi yangu ya pekee kwako ni HII na kukusisitizia, sio lazima kuizingatia saana kivile, ila ni muhimu kuisikiliza na kujisikilizia kama na wewe pia uliambiwa kama nilivyoambiwa mimi, kwasababu yule YEYE, sometimes ana tabia na mtindo wa kuwaambia watu wake, kupitia kwa watu wengine!, hivyo just listen and try to make sense of this, a think about it, if makes any sense to you, ikitokea it doesn't make any sense to you, then dismiss it as just another set of crap!.

Ila ikitokea na wewe pia uliambiwa, but you are not very sure kama ni YEYE au ni yeye, then don't take a chance!, usipuuze!, maana hicho kitu chenyewe, is nothing compared!.

If this being the case, then tunakuomba sana sana sana, ututekelezee haya mambo tunayokulilia nayo tangu umeingia kwenye usukani, tekeleza tuu yale yaliyomo ndani ya uwezo wako, maana kusubiria post 2025, it might be too little too late!. Please Mama!.

Na ikitokea wewe hujaambiwa mpaka 2025 inaingia na hujawahi kuambiwa na mtu mwingine yeyote, then ipuuze HII itakuwa sio sauti yake YEYE bali itakuwa ni sauti ya yeye tuu ambaye sio YEYE!.

Hivyo endelea na ule mpango wako wa 2025!, na Watanzania wanaolitakia mema taifa letu hili, wote tutakuwa Tuko nyuma yako,
Tuko pamoja nawe,
Tuko nawe!.

Mungu Akubariki Sana!.
HBD Mamaa!.
Paskali
 
Back
Top Bottom