BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,732
- 5,006
POLEN sana. wana Yanga wenzangu waacheni watakawatakaosemaa tugange ya mbeleni
Leo nimeona nishauri HILI jambo VIONGOZI wangu WA Yanga wanapenda sana HILI jukwaa kwa TAARIFA tu
Ila zaidi n kuomba uongozi ukae na Morrison AJUE yuko kwa ajili ya Yanga na sio vinginevyo
Sijakataa ile penalty kukosa n kawaida ila kwa Mwenye akili na hekima ikumbukwe kuna DK KADHAA Kumi zimesimama sababu yake kujadiliana penalty ama sio
Kwa hekima kabisa akutakiwa kukimbilia ile penalty hata kidogo kisaikolojia alishatoka mchezoni walipoanza kupigana kiwiko
Niongeze tu lawama hizi zimwendee capt huyu ndiekiongozi uwanjan alipoona sakasaka LA Morrison akutakiwa kuruhusu apige penalty
Innalilah na mwaswabrina
YOTE HERI
Yanga moja daima
Leo nimeona nishauri HILI jambo VIONGOZI wangu WA Yanga wanapenda sana HILI jukwaa kwa TAARIFA tu
Ila zaidi n kuomba uongozi ukae na Morrison AJUE yuko kwa ajili ya Yanga na sio vinginevyo
Sijakataa ile penalty kukosa n kawaida ila kwa Mwenye akili na hekima ikumbukwe kuna DK KADHAA Kumi zimesimama sababu yake kujadiliana penalty ama sio
Kwa hekima kabisa akutakiwa kukimbilia ile penalty hata kidogo kisaikolojia alishatoka mchezoni walipoanza kupigana kiwiko
Niongeze tu lawama hizi zimwendee capt huyu ndiekiongozi uwanjan alipoona sakasaka LA Morrison akutakiwa kuruhusu apige penalty
Innalilah na mwaswabrina
YOTE HERI
Yanga moja daima