Ili kumaliza matatizo mashariki ya Congo ni lazima kung'oa utawala wa Kitutsi Rwanda

Ili kumaliza matatizo mashariki ya Congo ni lazima kung'oa utawala wa Kitutsi Rwanda

kmbwembwe

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2012
Posts
10,892
Reaction score
7,780
Najua watutsi kote eneo la maziwa makuu watapinga kwa nguvu ila huu ndio ukweli.
Ili kutatua tatizo la ukosefu wa amani mashariki ya congo ni lazima kwanza kuung'oa utawala wa kitutsi unaoongozwa na Kagame Rwanda.

Kwa hulka na desturi ya Watutsi ya kugombea kuhodhi wao madaraka ya kisiasa kwa lengo la kutawala uchumi licha ya kua ni wachache ndio kiini cha ukosefu amani eneo la maziwa makuu.

Ikiwa nchi za Afrika Mashariki zinataka kupata amani ya kweli congo lazima kwanza kuleta demokrasia Rwanda ili kuwakomboa wananchi dhidi ya utawala wa wachache.

Dola ya Kitutsi Rwanda ndio mzizi wa fitna. Rwanda wamekua mstari wa mbele kuunga mkono madai ya raia wa Congo Watutsi kutaka kupewa madaraka makubwa kwenye vyombo vya ulinzi na serikali kinyume na utaratibu wa kidemokrasia.

Rwanda ya Kagame inaelekea kutekeleza mpango wenye lengo la muda mrefu kwa kuungwa mkono na nchi za Magharibi zenye nia ya kupora madini ya Congo.

Lengo hilo sio jema kwa amani na mstakabali wa nchi za eneo la maziwa makuu Afrika.
 
Kweli tupu.jamaa wanajiona bora sana.kufanya kila linalo wezekana huko Rwanda wagawane madaraka wao kwanza ndio wageukie congo.ila nisichoelewa kwanini DRC hawatoi silaha kwa wahutu wakaenda kushambulia huko kwao.Maoni binafsi.
Sio rahisi, yapaswa uwe na uchumi mzuri wa kutrain hao watu vizuri, bado uwe na pesa kwa ajili ya inteligenc ya usalama wa rwanda, inteligenc ya kivita ya rwanda kabla na baada ya vita, bado mambo ya kibinadamu kama madawa, vyakula n.k
 
Sio rahisi, yapaswa uwe na uchumi mzuri wa kutrain hao watu vizuri, bado uwe na pesa kwa ajili ya inteligenc ya usalama wa rwanda, inteligenc ya kivita ya rwanda kabla na baada ya vita, bado mambo ya kibinadamu kama madawa, vyakula n.k
Inawezekana kweli DRC hawana wakufunzi wazuri wa kuwatrain wahutu.kuhusu pesa huko congo pesa ipo.maybe itachukua muda maana hata watutsi iliwachukua muda kujiandaa kuvamia Rwanda.kwa vyovyote vile Rwanda sio salama kabisa ni suala la muda tu.
 
Inawezekana kweli DRC hawana wakufunzi wazuri wa kuwatrain wahutu.kuhusu pesa huko congo pesa ipo.maybe itachukua muda maana hata watutsi iliwachukua muda kujiandaa kuvamia Rwanda.kwa vyovyote vile Rwanda sio salama kabisa ni suala la muda tu.
Ni kweli congo inaweza ikawa na fedha za kuendesha hizo shughuli, vita inahitaji pesa nyingi na rasilimali watu wa kutosha, unless tuseme congo iombe msaada kwa mataifa rafiki katika hili.
 
Najua watutsi kote eneo la maziwa makuu watapinga kwa nguvu ila huu ndio ukweli.
Ili kutatua tatizo la ukosefu wa amani mashariki ya congo ni lazima kwanza kuung'oa utawala wa kitutsi unaoongozwa na Kagame Rwanda.

Kwa hulka na desturi ya Watutsi ya kugombea kuhodhi wao madaraka ya kisiasa kwa lengo la kutawala uchumi licha ya kua ni wachache ndio kiini cha ukosefu amani eneo la maziwa makuu.

Ikiwa nchi za Afrika Mashariki zinataka kupata amani ya kweli congo lazima kwanza kuleta demokrasia Rwanda ili kuwakomboa wananchi dhidi ya utawala wa wachache.

Dola ya Kitutsi Rwanda ndio mzizi wa fitna. Rwanda wamekua mstari wa mbele kuunga mkono madai ya raia wa Congo Watutsi kutaka kupewa madaraka makubwa kwenye vyombo vya ulinzi na serikali kinyume na utaratibu wa kidemokrasia.

Rwanda ya Kagame inaelekea kutekeleza mpango wenye lengo la muda mrefu kwa kuungwa mkono na nchi za Magharibi zenye nia ya kupora madini ya Congo.

Lengo hilo sio jema kwa amani na mstakabali wa nchi za eneo la maziwa makuu Afrika.
Nelson Jacob lushasi Moronight walker mtu chake mnakubaliana na haya maoni?
zitto junior JokaKuu
 
Wanawatumia M-23 kwa masilahi ya RPF dhidi ya FDR kuwazuia wasirudi madarakani kaka
Rwanda ishaivamia Drc zaidi ya mara mbili kijeshi, ina maana uvamizi wote huo umeshindwa kuwamaliza Fdlr ?....

Hao Fdlr wana nguvu yeyote ya kuupindua utawala wa PK au wanatumika tu kama kisingizio ili Rwanda iendeleza maslahi yake huko Kivu ?
 
Inawezekana kweli DRC hawana wakufunzi wazuri wa kuwatrain wahutu.kuhusu pesa huko congo pesa ipo.maybe itachukua muda maana hata watutsi iliwachukua muda kujiandaa kuvamia Rwanda.kwa vyovyote vile Rwanda sio salama kabisa ni suala la muda tu.
Hakika ni suala la muda tu. Hawawezi kuwa supress raia wao wabantu 'wahutu' asilimia 85 for good. Lazima wata rise up in revolt siku si nyingi zijazo.
 
Najua watutsi kote eneo la maziwa makuu watapinga kwa nguvu ila huu ndio ukweli.
Ili kutatua tatizo la ukosefu wa amani mashariki ya congo ni lazima kwanza kuung'oa utawala wa kitutsi unaoongozwa na Kagame Rwanda.

Kwa hulka na desturi ya Watutsi ya kugombea kuhodhi wao madaraka ya kisiasa kwa lengo la kutawala uchumi licha ya kua ni wachache ndio kiini cha ukosefu amani eneo la maziwa makuu.

Ikiwa nchi za Afrika Mashariki zinataka kupata amani ya kweli congo lazima kwanza kuleta demokrasia Rwanda ili kuwakomboa wananchi dhidi ya utawala wa wachache.

Dola ya Kitutsi Rwanda ndio mzizi wa fitna. Rwanda wamekua mstari wa mbele kuunga mkono madai ya raia wa Congo Watutsi kutaka kupewa madaraka makubwa kwenye vyombo vya ulinzi na serikali kinyume na utaratibu wa kidemokrasia.

Rwanda ya Kagame inaelekea kutekeleza mpango wenye lengo la muda mrefu kwa kuungwa mkono na nchi za Magharibi zenye nia ya kupora madini ya Congo.

Lengo hilo sio jema kwa amani na mstakabali wa nchi za eneo la maziwa makuu Afrika.
Are u saying Paka should be ousted ?
 
Kweli tupu.jamaa wanajiona bora sana.kufanya kila linalo wezekana huko Rwanda wagawane madaraka wao kwanza ndio wageukie congo.ila nisichoelewa kwanini DRC hawatoi silaha kwa wahutu wakaenda kushambulia huko kwao.Maoni binafsi.
Amahirwe masa Urugendo rwiza urakoze chane chane
 
kiukweli ili amani ya kudumu ipatikane mashariki ya Congo au nchi yote ya Congo lazima jamaa achomolewe halafu wabadili mfumo wote wa kijeshi Rwanda wafumue Wizara zote maana 99% ya watumishi ofisi kubwa kubwa na wizara wamejaa hao tu pua ndefu kwashakoo
 
eti kamuweka mtoto wake kikosini amlinde
400x225_cmsv2_c5abb90d-e152-5dc2-a0b0-63d7b6b20281-7314680.jpg
 
Bora ujiunge Congo kbs uwasaidia huwenda mtafanikiwa.
 
Back
Top Bottom