Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mleta mada kajichukulie kadi ya CCM haraka sana, ume qualify kuwa member wa CCMNajua kipengere cha kuhoji dini kimekataliwa kwa sababu ya unyeti (sensitivity) wake, Lakini huku kwenye simba na yanga haitaleta madhara yoyote.
Ni ushauri tuu ili tukate mzizi wa fitna.
My take: Mimi ni simba galagazwa
Timu yenu inafadhiliwa na mtu mweusi? Inakuwaje mmechagua raid msomali? Yanga ni chuo cha kuzalisha wajinga.Ni ubishani wa kipuuzi tu, Yanga ilikuwepo kabla ya Tanu, CCM n.k iyo Simba imetoka ndani ya Yanga.
DNA ya nchi hii ni Yanga, Simba ni timu iliyo anzishwa Ili kuweza kuwagawa wa Afrika, ni timu iliyo fadhiliwa na watu weupe Ili wa Tanganyika wasifanikiwe haraka kupata uhuru.
huoni aibu kuandika upuuzi kama huo,Simba na Yanga wote walianzishwa kabla ya TANU na Uhuru ,hata kuzaliwa wamepishana miaka miwili ,sijui unapata faida gani kuandika pumba kama nguruwe mwanzakoNi ubishani wa kipuuzi tu, Yanga ilikuwepo kabla ya Tanu, CCM n.k iyo Simba imetoka ndani ya Yanga.
DNA ya nchi hii ni Yanga, Simba ni timu iliyo anzishwa Ili kuweza kuwagawa wa Afrika, ni timu iliyo fadhiliwa na watu weupe Ili wa Tanganyika wasifanikiwe haraka kupata uhuru.
Yanga ilianzishwa 1935 ya mwezi gani?Ni ubishani wa kipuuzi tu, Yanga ilikuwepo kabla ya Tanu, CCM n.k iyo Simba imetoka ndani ya Yanga.
DNA ya nchi hii ni Yanga, Simba ni timu iliyo anzishwa Ili kuweza kuwagawa wa Afrika, ni timu iliyo fadhiliwa na watu weupe Ili wa Tanganyika wasifanikiwe haraka kupata uhuru.
Wewe na mtoa mada wote ni vishoiaNi ubishani wa kipuuzi tu, Yanga ilikuwepo kabla ya Tanu, CCM n.k iyo Simba imetoka ndani ya Yanga.
DNA ya nchi hii ni Yanga, Simba ni timu iliyo anzishwa Ili kuweza kuwagawa wa Afrika, ni timu iliyo fadhiliwa na watu weupe Ili wa Tanganyika wasifanikiwe haraka kupata uhuru.
Simba ilianzishwa na Yanga.wasaliti walio ondoka Yanga baada ya kuahidiwa na watawala wa kikoloni kununuliwa viatu vya kuchezea mpira.huoni aibu kuandika upuuzi kama huo,Simba na Yanga wote walianzishwa kabla ya TANU na Uhuru ,hata kuzaliwa wamepishana miaka miwili ,sijui unapata faida gani kuandika pumba kama nguruwe mwanzako
Si uangalie tu kwenye kura za Nani ZaidiNajua kipengere cha kuhoji dini kimekataliwa kwa sababu ya unyeti (sensitivity) wake, Lakini huku kwenye simba na yanga haitaleta madhara yoyote.
Ni ushauri tuu ili tukate mzizi wa fitna.
My take: Mimi ni simba galagazwa
Takwimu za nani zaidi huwezi zitumia sababu mtu mmoja anaweza changa mara nyingi zaidi mfano mtu anaweza changa elfu 50 mwingine buku utachakata vipi hizo hesabuSi uangalie tu kwenye kura za Nani Zaidi