Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
"Girls wear make-up to impress boys"
Ni jambo la kujivunia brother, usianze kuwasema watasusa.
Wanawake ni watu wa ajabu sana mkuu. Kuna mwingine huku hata tako lenyewe hana, ila the way wajinga wajinga wanampa kichwa huku, anajiona malaika.Kwema Wakuu!
Yaani unanisonya na kunipandisha na kunishusha kisa hilo wigi lako. Unachekesha sana.
Mimi najua unakipilipili kikali sana. Hiyo Makeup yako iliyokuchonga sura na kuyafanya macho yako kuwa makubwa ndio unaniringishia wakati najua jinsi ulivyo na pua pana kama nyanya chungu.
Kama unajiamini kweli wewe ni mzuri toa hiyo Makeup yako. Wewe si mzuri bhana!
Utawaburuza haohao kanyaboya wako washamba wa watoto wakali.
Mtoto bila wanja hutoki hata mlangoni kwako ndio unitishie mimi Mnyamwezi. Thubutu!
Kalale mbele huko.
Mi pisikali ni mwanamke mwenye makalio manene asiwe na kitambi [emoji847][emoji847]Kwema Wakuu!
Yaani unanisonya na kunipandisha na kunishusha kisa hilo wigi lako. Unachekesha sana.
Mimi najua unakipilipili kikali sana. Hiyo Makeup yako iliyokuchonga sura na kuyafanya macho yako kuwa makubwa ndio unaniringishia wakati najua jinsi ulivyo na pua pana kama nyanya chungu.
Kama unajiamini kweli wewe ni mzuri toa hiyo Makeup yako. Wewe si mzuri bhana!
Utawaburuza haohao kanyaboya wako washamba wa watoto wakali.
Mtoto bila wanja hutoki hata mlangoni kwako ndio unitishie mimi Mnyamwezi. Thubutu!
Kalale mbele huko.
Mi pisikali ni mwanamke mwenye makalio manene asiwe na kitambi [emoji847][emoji847]View attachment 2836867
Wanawake ni watu wa ajabu sana mkuu. Kuna mwingine huku hata tako lenyewe hana, ila the way wajinga wajinga wanampa kichwa huku, anajiona malaika.
Pole sana mkuu kwa kukataliwa lakini
Duu mkuu km vilee unasemaa mtu aliyekukataa [emoji28][emoji28]
Punguzaa hasira kwanza unywe maji..
Km umemuona anavaa mawigi nawe upendi mawigi mkuu ,tafuta wakuendana nae .
Unapenda maslay queen na huna helaa [emoji28][emoji28]
Wamekusikia [emoji28][emoji28]Avue hayo madude ndio anipandishe na kunishusha
Hayo hayo mkuu. Unakuta linagawia mtaa mzima isipokuwa wewe tu. Inauma sanaKukataliwa na mawigi
Hamas wanaendelea vyema kuhakikisha wanatetea Ardhi yao kama tulivyo mtimua nduli iIdi Amin 1978Mkuu Hammas wanaendeleaje huko Gaza