Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Mechi za mwisho za makundi ya CAF Champions League zitapigwa wikiendi ijayo.
Simba Sc ya Tanzania inashika nafasi ya nne katika kundi lake lakini bado ina nafasi ya kufuzu robo fainali. Mechi za mwisho za kundi lake ni;
Simba Vs As Vita
Al Ahly Vs Js Soura
Je matokeo ya hizo mechi zote mbili inabidi yaweje ili Simba aweze kushinda na kusonga robo fainali?
Simba Sc ya Tanzania inashika nafasi ya nne katika kundi lake lakini bado ina nafasi ya kufuzu robo fainali. Mechi za mwisho za kundi lake ni;
Simba Vs As Vita
Al Ahly Vs Js Soura
Je matokeo ya hizo mechi zote mbili inabidi yaweje ili Simba aweze kushinda na kusonga robo fainali?