Ili Simba ifuzu Robo Fainali, matokeo ya timu zote yaweje?

Ili Simba ifuzu Robo Fainali, matokeo ya timu zote yaweje?

Unafikiri Al Ahyl mngecheza nao usiku mngewafunga?? Vita mnacheza nao usiku..Mkude hayupo..Okwi sijui kama amepona ...Mechi ngumu sana ..husifanamishe Waarabu Na Wacongo..mchezaji mmoja mmoja Vita wanavipaji zaidi..Ila Mikia atashinda mipafyumu,fitna Na Refa
Mwisho umemalizia kiume... Mpira wa Africa Kila timu nzuri inapokua nyumbani nakutolea mifano hai mingi

Raja Casablanca 6-0 Yanga
Mechi ya marudiano timu iliofungwa 6-0 inatoa sare 3-3 wakiwa nyumbani

Tp mazembe 8-0 club Africain

Timu iliopigwa 8-0 inatoa sare kwakua ipo nyumbani
Al Ahly 5-0 Simba


Timu iliopigwa 5 inashinda nyumbani

Nakurudisha makundi 2003 Simba akiwa anashiriji enzi hizo 8 Bora

Ismaily 6-1 Enyimba

Mechi ya marudiano Enyimba anashinda 2-1

Na Enyimba anaenda kumfunga kwa aggregate katika final zao mbili

Ukijua haya soka la Africa alikusumbui maana Kama pafyumu Simba just walipugwa tochi,Kama fitna zinatumika kwa timu zote za Africa, kwaio ki Africa Africa As Vita kupigika lazima...kuhusu okwi ni kwamba yupo fiti ile mechi kwetu haikua muhimu Sana kama ya kesho kutwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwisho umemalizia kiume... Mpira wa Africa Kila timu nzuri inapokua nyumbani nakutolea mifano hai mingi

Raja Casablanca 6-0 Yanga
Mechi ya marudiano timu iliofungwa 6-0 inatoa sare 3-3 wakiwa nyumbani

Tp mazembe 8-0 club Africain

Timu iliopigwa 8-0 inatoa sare kwakua ipo nyumbani
Al Ahly 5-0 Simba


Timu iliopigwa 5 inashinda nyumbani

Nakurudisha makundi 2003 Simba akiwa anashiriji enzi hizo 8 Bora

Ismaily 6-1 Enyimba

Mechi ya marudiano Enyimba anashinda 2-1

Na Enyimba anaenda kumfunga kwa aggregate katika final zao mbili

Ukijua haya soka la Africa alikusumbui maana Kama pafyumu Simba just walipugwa tochi,Kama fitna zinatumika kwa timu zote za Africa, kwaio ki Africa Africa As Vita kupigika lazima...kuhusu okwi ni kwamba yupo fiti ile mechi kwetu haikua muhimu Sana kama ya kesho kutwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanajifanya hawaelew

Sent using Jamii Forums mobile app
 
As Vita watakuja kushambulia lakini tunawazidi kwa Mambo mengi ndani ya uwanja Hadi nje ya uwanja mashabiki tuu ni mchezaji wa 13 kumbuka iyo Simba ni kufa au kupona na rekodi kwetu ipo vizuri na kwa As Vita ipo vibaya...as Vita ugenini hajashinda hata mechi moja Bora sisi tulimfunga mbabane... As Vita alienda kucheza mechi ya mtoano na Bantu club Lesotho ambayo sio tishio kama Simba waliishia kupata sare tuu Sasa sembuse Hapa kw Mkapa?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mechi ni lazima Kila Timu itafute Ushindi hii ni mechi ngumu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hesabu mbona ni rahisi tu,ili Simba afuzu,anahitaji kushinda tu mechi ya mwisho. Simba akishinda mechi As vita moja kwa moja atakuwa amefuzu.

Mechi ya waarabu itakuwa ni ya kuangalia tu nani atafuzu wa kwanza. Lkn matokeo yoyote hayataiathiri Simba iwapo itashinda. Yaani Simba ili Afuzu narudia tena lazima ashinde na akishinda anafuzu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante mkuu kwa ufafanuzi

Matokeo chanya yashaibuka
 
Back
Top Bottom