Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Simba anaanzaje kufungwa pale kwa Mkapa?Simba akifungwa anafuzu moja kwa moja
Why asifungwe? Vita unawachukulia poa
Sio kuwachukulia poa mpira wa Africa ni fitna na timu inayokua nyumbani inafaidika Vita wale wakija kwa Mkapa watakua wakawaida Kama walivyokua Nkana,js saoura na Al Ahly,kwa Mkapa Simba hamwachi mtu salama Simba spirit yake ipo ivyo kwenye group stage wale waarabu au Nkana sio kwamba walikua wabovu ila wakija pale kwa Mkapa hawawi wale mnaowajua watatafuta dkk ya 1 Hadi ya 90'Why asifungwe? Vita unawachukulia poa
Yetu macho,umuhimu wa game kwa timu zote hauwezi kuifanya Simba iwe na home advantage,game zilizopita walikuwa wanajaribu kutafuta points tu,usijeshangaa hii game ikaisha 4-3,5-2 maana itakuwa open game,itakayekuwa makini ndiye atashindaSio kuwachukulia poa mpira wa Africa ni fitna na timu inayokua nyumbani inafaidika Vita wale wakija kwa Mkapa watakua wakawaida Kama walivyokua Nkana,js saoura na Al Ahly,kwa Mkapa Simba hamwachi mtu salama Simba spirit yake ipo ivyo kwenye group stage wale waarabu au Nkana sio kwamba walikua wabovu ila wakija pale kwa Mkapa hawawi wale mnaowajua watatafuta dkk ya 1 Hadi ya 90'
Sent using Jamii Forums mobile app
Mikia watapingaMpira waliocheza As Vita Jana na beki zile za kina wawa naziona zile tano zinarudi tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Game ijayo ni tofauti na zilizopita,saizi huwezi kuelewa baadaye utaelewa
As Vita watakuja kushambulia lakini tunawazidi kwa Mambo mengi ndani ya uwanja Hadi nje ya uwanja mashabiki tuu ni mchezaji wa 13 kumbuka iyo Simba ni kufa au kupona na rekodi kwetu ipo vizuri na kwa As Vita ipo vibaya...as Vita ugenini hajashinda hata mechi moja Bora sisi tulimfunga mbabane... As Vita alienda kucheza mechi ya mtoano na Bantu club Lesotho ambayo sio tishio kama Simba waliishia kupata sare tuu Sasa sembuse Hapa kw Mkapa?Yetu macho,umuhimu wa game kwa timu zote hauwezi kuifanya Simba iwe na home advantage,game zilizopita walikuwa wanajaribu kutafuta points tu,usijeshangaa hii game ikaisha 4-3,5-2 maana itakuwa open game,itakayekuwa makini ndiye atashinda
Kwa wachezaji wa aina ya Vita kelele za mashabiki ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa maana wanaexperience kubwa kuliko SimbaAs Vita watakuja kushambulia lakini tunawazidi kwa Mambo mengi ndani ya uwanja Hadi nje ya uwanja mashabiki tuu ni mchezaji wa 13 kumbuka iyo Simba ni kufa au kupona na rekodi kwetu ipo vizuri na kwa As Vita ipo vibaya...as Vita ugenini hajashinda hata mechi moja Bora sisi tulimfunga mbabane... As Vita alienda kucheza mechi ya mtoano na Bantu club Lesotho ambayo sio tishio kama Simba waliishia kupata sare tuu Sasa sembuse Hapa kw Mkapa?
Sent using Jamii Forums mobile app