Ili Simba ifuzu Robo Fainali, matokeo ya timu zote yaweje?

Mwisho umemalizia kiume... Mpira wa Africa Kila timu nzuri inapokua nyumbani nakutolea mifano hai mingi

Raja Casablanca 6-0 Yanga
Mechi ya marudiano timu iliofungwa 6-0 inatoa sare 3-3 wakiwa nyumbani

Tp mazembe 8-0 club Africain

Timu iliopigwa 8-0 inatoa sare kwakua ipo nyumbani
Al Ahly 5-0 Simba


Timu iliopigwa 5 inashinda nyumbani

Nakurudisha makundi 2003 Simba akiwa anashiriji enzi hizo 8 Bora

Ismaily 6-1 Enyimba

Mechi ya marudiano Enyimba anashinda 2-1

Na Enyimba anaenda kumfunga kwa aggregate katika final zao mbili

Ukijua haya soka la Africa alikusumbui maana Kama pafyumu Simba just walipugwa tochi,Kama fitna zinatumika kwa timu zote za Africa, kwaio ki Africa Africa As Vita kupigika lazima...kuhusu okwi ni kwamba yupo fiti ile mechi kwetu haikua muhimu Sana kama ya kesho kutwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanajifanya hawaelew

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mechi ni lazima Kila Timu itafute Ushindi hii ni mechi ngumu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ahsante mkuu kwa ufafanuzi

Matokeo chanya yashaibuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…