Tanzania kuwa among super power lazima tupate kiongozi atakayetubadilisha jamii yetu Ione kuwa wazungu ni wakawaida na kila walichonacho nasi tunaweza kuwa nacho.Kuna kila kigezo kwa nchi yetu sio siku nyingi kuwa nchi inayotoa misaada Ulaya. Kila kitu kinaonesha uwezekano huo. Mali asili, watu wenye akili na nguvu ni mifano inayoniamisha.
Sasa nataka tuwe wakweli, ili kufanikisha hili tunahitaji kiongozi anayechekea Ulaya, Marekani na China au anayewakazia macho na kuwakabili? Na je nani anaweza kutuelekeza huko kati ya Magufuli na Lissu.
Tusijidanganye, Magufuli ndiye anayeweza hili. Kama una mawazo tofauti tuambie.
Kwa ukweli kabisa? Yaani unaamini kwa dhati kuwa Lusu anaweza kukabili hao wakoloni mambo leo kuliko Magufuli.
Elezea kwa nini!
Kuna kila kigezo kwa nchi yetu sio siku nyingi kuwa nchi inayotoa misaada Ulaya. Kila kitu kinaonesha uwezekano huo. Mali asili, watu wenye akili na nguvu ni mifano inayoniamisha.
Sasa nataka tuwe wakweli, ili kufanikisha hili tunahitaji kiongozi anayechekea Ulaya, Marekani na China au anayewakazia macho na kuwakabili? Na je nani anaweza kutuelekeza huko kati ya Magufuli na Lissu.
Tusijidanganye, Magufuli ndiye anayeweza hili. Kama una mawazo tofauti tuambie.
Kwamba ni wazungu ni watu wa kawaida Lisu anajua. Kwamba hao wazungu ni tactical na wanafanya kila wawezalo kutunyonya na kwamba lazima kuwakabili kwa jeuri madhubuti anajua Magufuri. Shauri yako ukipinga.Tanzania kuwa among super power lazima tupate kiongozi atakayetubadilisha jamii yetu Ione kuwa wazungu ni wakawaida na kila walichonacho nasi tunaweza kuwa nacho.
Na ataweza hayo yote kwa silaha moja kubwa kubadilishana elimu yetu iwe kama hiyo ya hao waliofanikiwa .
Na tukiwa na elimu ya kiwango chao hatutalia pia kuwa kuna ubeberu duniani .
Na mtu pekee anaeijua njia ya mafanikio ni Tundu Lissu pekee
Kwa kweli tunaelekea kuwa doner country. Tujiamini na kuwakubali viongozi wasioamini kuwa tuna shangazi huko nje. Hao ni balaa, niamini. Tutajichelewesha tu. Ukweli ndio hu!Mwaka 2016 Magu alisema tutakua dona kantri na kutoa misaada ulaya, tutauza mitumba ulaya. Leo 2020 bado anasema kauli hizo hizo, tutauza mitumba ulaya, dona kantri, tutatoa misaada ulaya, mwaka 2025 ccm aatakuja na hoja hiyo hiyo kama ambavyo kimekua chama cha wanyonge toka 1960 kila mwaka ni wanyonge, hao wanyongr hawaishi?
CCM hata tuwape miaka 500 hawana jipya, tuachane nao once and for all mwaka huu. Wametufukarisha miaka 60 inatosha.
Na kwa kweli wazungu wanajua potential ya Tanzania na Afrika kwa ujumla. Wanafanya vyovyote waendelee kuwa juu. Magufuli kiboko yao. Niamini na tuache longolongo ya kujaribu ujingaKwa kweli tunaelekea kuwa doner country. Tujiamini na kuwakubali viongozi wasioamini kuwa tuna shangazi huko nje. Hao ni balaa, niamini. Tutajichelewesha tu. Ukweli ndio hu!
Wanakudanganya wewe mnyonge mjinga usiejielewa. Ulishawahi kusoma vitabu vya hesabu vya serikali uone chanzo cha mapato yao? Ndio hao wanaoitwa mabeberu. Bila hao dada zako watakufa kwa kukosa huduma bora ya uzazi, utapoteza vichanga zaidi ya 50%, wenye ukimwi wote watakufa, miradi yote ya elimu itakufa, barabara na miundombinu mingine.Kwa kweli tunaelekea kuwa doner country. Tujiamini na kuwakubali viongozi wasioamini kuwa tuna shangazi huko nje. Hao ni balaa, niamini. Tutajichelewesha tu. Ukweli ndio hu!
Nakubaliana na wewe kipande kidogo. Kwamba kuna misaada hutika kwa hao unaowahusudu kuja hapa, ila kwa taarifa yako kila senti huwa na ndoano ya hayari. Je wewe kwa mawazo yak9 umekata tamaa kwamba milele utakuwa mtumwa wao. Mwelekeo wetu ndio njia bora. Na hata sasa misaada yao wameipunguza na tuna cover wenyewe. Kwa kifupi tusidanganyike kwamba tutadumu kama taifa huru kwa kutegemea mjomba.Wanakudanganya wewe mnyonge mjinga usiejielewa. Ulishawahi kusoma vitabu vya hesabu vya serikali uone chanzo cha mapato yao? Ndio hao wanaoitwa mabeberu. Bila hao dada zako watakufa kwa kukosa huduma bora ya uzazi, utapoteza vichanga zaidi ya 50%, wenye ukimwi wote watakufa, miradi yote ya elimu itakufa, barabara na miundombinu mingine.
Huku nje wanyonge na wajinga mnadanganywa huku chini kwa chini wanawalamba mabeberu makalio kupata misaada ya kifedha.
CCM wanajua hii nchi imejaa wanyonge na wajinga ambao ndio mtaji wao mkubwa ambao hata kusoma au kuchambua taarifa hamuwezi basi inakua kila mwaka iinawajaza ujinga na uongo na inawendelea kuwasifia wanyonge wao.
Wanyonge mnatengenezwa na CCM kwa maksudi ili muwasaidie kubakia madarakani, bila nyie CCM haipo.
Unafuatilia siasa za Korea zote mbili?Kwamba ni wazungu ni watu wa kawaida Lisu anajua. Kwamba hao wazungu ni tactical na wanafanya kila wawezalo kutunyonya na kwamba lazima kuwakabili kwa jeuri madhubuti anajua Magufuri. Shauri yako ukipinga.
Kichaa ni wewe unayesafisha vikongwe huko marekani wakati mama yako hana wa kumwangalia.Acha kuandika UPUUZI wewe! Unajua hali ya uchumi ilivyoanguka ndani ya hii mitano ya huyo anayejiita KICHAA?
Najua. Korea kaskazini wanakataa kuwa watumwa milele. Wako tayari kwa lolote. Siasa yao sawa na China na Cuba. Leta maneno.Unafuatilia siasa za Korea zote mbili?
Unajua kwanini south Korea yupo nafasi 15 za juu kiuchumi duniani na Korea ya kiduku ipo dhofuli ilihali?
Kweli wewe ni mnyonge, tunacover kitu gani?Nakubaliana na wewe kipande kidogo. Kwamba kuna misaada hutika kwa hao unaowahusudu kuja hapa, ila kwa taarifa yako kila senti huwa na ndoano ya hayari. Je wewe kwa mawazo yak9 umekata tamaa kwamba milele utakuwa mtumwa wao. Mwelekeo wetu ndio njia bora. Na hata sasa misaada yao wameipunguza na tuna cover wenyewe. Kwa kifupi tusidanganyike kwamba tutadumu kama taifa huru kwa kutegemea mjomba.
Wewe jamaa kuwa seriaz au ndio tatizo elimu imeshindwa kukufanya uweze kureason?Najua. Korea kaskazini wanakataa kuwa watumwa milele. Wako tayari kwa lolote. Siasa yao sawa na China na Cuba. Leta maneno.
Najua. Korea kaskazini wanakataa kuwa watumwa milele. Wako tayari kwa lolote. Siasa yao sawa na China na Cuba. Leta maneno.
Lissu ndumilakuwili, wakala wa beberu kina Amsterdam. Atatekenywa na kujichekesha huwa wanabeba maliasili zetu, kiongozi yeyeto wa saccos ya Mbowe anayeweza kuliongoza hili taifa kwa ufanisi. Wote walaji, kama ruzuku, michango ya wabunge, pesa ya mifuko ya majimbo wanakula sembuse kodi zetu.Kuna kila kigezo kwa nchi yetu sio siku nyingi kuwa nchi inayotoa misaada Ulaya. Kila kitu kinaonesha uwezekano huo. Mali asili, watu wenye akili na nguvu ni mifano inayoniamisha.
Sasa nataka tuwe wakweli, ili kufanikisha hili tunahitaji kiongozi anayechekea Ulaya, Marekani na China au anayewakazia macho na kuwakabili? Na je nani anaweza kutuelekeza huko kati ya Magufuli na Lissu.
Tusijidanganye, Magufuli ndiye anayeweza hili. Kama una mawazo tofauti tuambie.
Jiwe ni hovyo tupu ushamba umezidi.Kuna kila kigezo kwa nchi yetu sio siku nyingi kuwa nchi inayotoa misaada Ulaya. Kila kitu kinaonesha uwezekano huo. Mali asili, watu wenye akili na nguvu ni mifano inayoniamisha.
Sasa nataka tuwe wakweli, ili kufanikisha hili tunahitaji kiongozi anayechekea Ulaya, Marekani na China au anayewakazia macho na kuwakabili? Na je nani anaweza kutuelekeza huko kati ya Magufuli na Lissu.
Tusijidanganye, Magufuli ndiye anayeweza hili. Kama una mawazo tofauti tuambie.