Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lissu hawezi kukabiliana na ukoloni mambo leo wa dunia hii uliojificha kwenye kofia ya utandawazi. Design ya Nyerere km Magufuli anaweza siyo Lissu ns ndiyo maana wamtengeneza ili waje wafaidi raslimali zetu.Kwa ukweli kabisa? Yaani unaamini kwa dhati kuwa Lusu anaweza kukabili hao wakoloni mambo leo kuliko Magufuli.
Elezea kwa nini!
Ujanja wa Mbowe mzee wa faru John, umemfikisha wapi?.Jiwe ni hovyo tupu ushamba umezidi.
Shida sio kuwachekea au kuwakabili ni unajua nn kuhusu uchumi na maendeleo ya watu.Sasa Kama ujawahi soma uchumi Wala development study utayajulia wapi ishu za uchumiKuna kila kigezo kwa nchi yetu sio siku nyingi kuwa nchi inayotoa misaada Ulaya. Kila kitu kinaonesha uwezekano huo. Mali asili, watu wenye akili na nguvu ni mifano inayoniamisha.
Sasa nataka tuwe wakweli, ili kufanikisha hili tunahitaji kiongozi anayechekea Ulaya, Marekani na China au anayewakazia macho na kuwakabili? Na je nani anaweza kutuelekeza huko kati ya Magufuli na Lissu.
Tusijidanganye, Magufuli ndiye anayeweza hili. Kama una mawazo tofauti tuambie.
Achana naye huyo,mahaba yana msumbua chongo anaita kengeza.Kwa ukweli kabisa? Yaani unaamini kwa dhati kuwa Lusu anaweza kukabili hao wakoloni mambo leo kuliko Magufuli.
Elezea kwa nini!
Huyu lissu anayeamini kuwa kujuwa kiingereza ndio kuwa ni msomi mpaka madarasa yakakuangukia? Huku anasahau kuwa kiingereza ni sawa tu na kijaluo na kifipa.Tanzania kuwa among super power lazima tupate kiongozi atakayetubadilisha jamii yetu Ione kuwa wazungu ni wakawaida na kila walichonacho nasi tunaweza kuwa nacho.
Na ataweza hayo yote kwa silaha moja kubwa kubadilishana elimu yetu iwe kama hiyo ya hao waliofanikiwa .
Na tukiwa na elimu ya kiwango chao hatutalia pia kuwa kuna ubeberu duniani .
Na mtu pekee anaeijua njia ya mafanikio ni Tundu Lissu pekee
Rais wa Jamhuri ya Chadema sawaTanzania kuwa among super power lazima tupate kiongozi atakayetubadilisha jamii yetu Ione kuwa wazungu ni wakawaida na kila walichonacho nasi tunaweza kuwa nacho.
Na ataweza hayo yote kwa silaha moja kubwa kubadilishana elimu yetu iwe kama hiyo ya hao waliofanikiwa .
Na tukiwa na elimu ya kiwango chao hatutalia pia kuwa kuna ubeberu duniani .
Na mtu pekee anaeijua njia ya mafanikio ni Tundu Lissu pekee
HukUelewa kinachoongelewa na Lissu bali umeondoka na tafsri ya polepoleHuyu lissu anayeamini kuwa kujuwa kiingereza ndio kuwa ni msomi mpaka madarasa yakakuangukia? Huku anasahau kuwa kiingereza ni sawa tu na kijaluo na kifipa.