Ili Tanzania kuwika kiuchumi Duniani, inategemea uongozi thabiti

Kuruka au kuchumpa kwa nchi kimaendeleo hakutegemei tu umahiri wa kiongozi mkuu, kunategemea pia rasilimali watu ya nchi. Je, Tanzania ina rasilimali watu wa kutosha kuwezesha uchumpaji wa kimaendeleo unao zungumzwa humu?
 
Kwa ukweli kabisa? Yaani unaamini kwa dhati kuwa Lusu anaweza kukabili hao wakoloni mambo leo kuliko Magufuli.

Elezea kwa nini!
Lissu hawezi kukabiliana na ukoloni mambo leo wa dunia hii uliojificha kwenye kofia ya utandawazi. Design ya Nyerere km Magufuli anaweza siyo Lissu ns ndiyo maana wamtengeneza ili waje wafaidi raslimali zetu.
 
Wapinzani wa nchi hii hovyo kabisa, kuna punguani Moja lilisema wao wakishinda watauza mashirika yote ya umma. Kaanzeni kuuza ka ofisi kenu ka saccos pale Ufipa kwanza, mnafanya watanzania wajinga eti.
 
TL ni kuwadi akipewa nchi atatengeneza ufipa conference ya.kigawa Tanzania hapo mbowe ndo atakapojikatia melerani na mlima kilimanjaro. Makabaila wakubwa
 
Shida sio kuwachekea au kuwakabili ni unajua nn kuhusu uchumi na maendeleo ya watu.Sasa Kama ujawahi soma uchumi Wala development study utayajulia wapi ishu za uchumi
 
Hakuna maendeleo yanayoletwa kwa kuumiza watu kwa kuwafanya wawe masikini
 
Huyu lissu anayeamini kuwa kujuwa kiingereza ndio kuwa ni msomi mpaka madarasa yakakuangukia? Huku anasahau kuwa kiingereza ni sawa tu na kijaluo na kifipa.
 
Rais wa Jamhuri ya Chadema sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…