Ili tuanze kumfunga Mwarabu, tujifunze kutegemea zaidi Wakristo tukiwa tunashindana nao

Ili tuanze kumfunga Mwarabu, tujifunze kutegemea zaidi Wakristo tukiwa tunashindana nao

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Hili jambo niliwahi kuligusia siku za nyuma nikasema siku moja nitakuja kulielezea kwa ufafanuzi zaidi.

Nianze kwa kusema sina nia ya kueneza ubaguzi wa aina yoyote ila ninachoelezea ni uhalisia na ninachosema itatusaidia sana timu zetu kuanzia klabu hadi timu ya taifa kama litazingatiwa.

Tanzania tumebahatika kuwa na watu wa imani tofauti na makabila tofauti tunaoishi pamoja kwa amani. Tofauti na maeneo mengi duniani ambapo aina hii ya mchanganyiko imeleta migogoro, sisi tuna bahati ya kuishi pamoja vizuri. Pamoja na hayo kuna maeneo nadhani hatutajua kutumia hizi tofauti za imani kwa faida yetu.

Sina kumbukumbu kama Taifa Stars imewahi kuifunga timu ya Afrika Kaskazini. Simba imeonekana kuweza kupambana nao na mara kwa mara kupata ushindi hasa wakiwa wanacheza ndani ya Tanzania. Yanga pia wana rekodi za kupata ushindi mara kadhaa dhidi ya waarabu ingawa nadhani siyo mara nyingi kama Simba.

Ni hivi, dini ya Kiislamu inaaminika asili yake ni huko Uarabuni. Kwa hiyo wale wanaoifuata dini hii duniani kote wana heshima fulani wanazipa nchi za Kiarabu na Waarabu kiujumla.

Changamoto inakuja pale unapohitaji kushindana nao mfano katika michezo ingawa nitakuja hapo chini kutolea mfano tofauti ili nieleweke zaidi. Kwa sababu ya heshima kubwa Waislamu wanayowapa watu hawa, ni ngumu sana Muislamu wa kutoka sehemu nyingine aamini ana uwezo kabisa wa kushindana na Mwarabu katika nyanja kama ya michezo ambayo ukiacha maarifa na nguvu inahitaji pia kuamini kwa dhati kuwa Mungu anaweza kukusaidia wewe kupata ushindi na siyo mpinzani wako.

Ngoja niwape mfano mwingine. Huu ni mfano tu wa kufikirika ila unaweza kusaidia kufafanua point yangu. Tuchukulie Tanzania tumeingia mgogoro wa kidiplomasia na Vatican. Tukumbuke Vatican ndiyo makao makuu ya Kanisa Katoliki. Kama nchi inabidi tutumie hazina yetu ya Watanzania wanaoielewa vizuri Vatican hasa waumini wa Kikatoliki kutupa ushauri wa jinsi ya kukabiliana na mgogoro huo. Mwisho wa siku ili maslahi ya nchi yapate kulindwa inabidi kiongozi mkuu katika majadiliano hayo awe mtu asiye wa imani hiyo ili kuepuka hali yoyote ya unyonge dhidi yao.

Ningeweza kutoa mifano zaidi tofauti ila nadhani nitakuwa nimeeleweka.
 
Hili jambo niliwahi kuligusia siku za nyuma nikasema siku moja nitakuja kulielezea kwa ufafanuzi zaidi.

Nianze kwa kusema sina nia ya kueneza ubaguzi wa aina yoyote ila ninachoelezea ni uhalisia na ninachosema itatusaidia sana timu zetu kuanzia klabu hadi timu ya taifa kama litazingatiwa.

Tanzania tumebahatika kuwa na watu wa imani tofauti na makabila tofauti tunaoishi pamoja kwa amani. Tofauti na maeneo mengi duniani ambapo aina hii ya mchanganyiko imeleta migogoro, sisi tuna bahati ya kuishi pamoja vizuri. Pamoja na hayo kuna maeneo nadhani hatutajua kutumia hizi tofauti za imani kwa faida yetu.

Sina kumbukumbu kama Taifa Stars imewahi kuifunga timu ya Afrika Kaskazini. Simba imeonekana kuweza kupambana nao na mara kwa mara kupata ushindi hasa wakiwa wanacheza ndani ya Tanzania. Yanga pia wana rekodi za kupata ushindi mara kadhaa dhidi ya waarabu ingawa nadhani siyo mara nyingi kama Simba.

Ni hivi, dini ya Kiislamu inaaminika asili yake ni huko Uarabuni. Kwa hiyo wale wanaoifuata dini hii duniani kote wana heshima fulani wanazipa nchi za Kiarabu na Waarabu kiujumla.

Changamoto inakuja pale unapohitaji kushindana nao mfano katika michezo ingawa nitakuja hapo chini kutolea mfano tofauti ili nieleweke zaidi. Kwa sababu ya heshima kubwa Waislamu wanayowapa watu hawa, ni ngumu sana Muislamu wa kutoka sehemu nyingine aamini ana uwezo kabisa wa kushindana na Mwarabu katika nyanja kama ya michezo ambayo ukiacha maarifa na nguvu inahitaji pia kuamini kwa dhati kuwa Mungu anaweza kukusaidia wewe kupata ushindi na siyo mpinzani wako.

Ngoja niwape mfano mwingine. Huu ni mfano tu wa kufikirika ila unaweza kusaidia kufafanua point yangu. Tuchukulie Tanzania tumeingia mgogoro wa kidiplomasia na Vatican. Tukumbuke Vatican ndiyo makao makuu ya Kanisa Katoliki. Kama nchi inabidi tutumie hazina yetu ya Watanzania wanaoielewa vizuri Vatican hasa waumini wa Kikatoliki kutupa ushauri wa jinsi ya kukabiliana na mgogoro huo. Mwisho wa siku ili maslahi ya nchi yapate kulindwa inabidi kiongozi mkuu katika majadiliano hayo awe mtu asiye wa imani hiyo ili kuepuka hali yoyote ya unyonge dhidi yao.

Ningeweza kutoa mifano zaidi tofauti ila nadhani nitakuwa nimeeleweka.
Wakati moroco anakufa tatu taifa ulikuwa hujazaliwa?
 
Hili jambo niliwahi kuligusia siku za nyuma nikasema siku moja nitakuja kulielezea kwa ufafanuzi zaidi.

Nianze kwa kusema sina nia ya kueneza ubaguzi wa aina yoyote ila ninachoelezea ni uhalisia na ninachosema itatusaidia sana timu zetu kuanzia klabu hadi timu ya taifa kama litazingatiwa.

Tanzania tumebahatika kuwa na watu wa imani tofauti na makabila tofauti tunaoishi pamoja kwa amani. Tofauti na maeneo mengi duniani ambapo aina hii ya mchanganyiko imeleta migogoro, sisi tuna bahati ya kuishi pamoja vizuri. Pamoja na hayo kuna maeneo nadhani hatutajua kutumia hizi tofauti za imani kwa faida yetu.

Sina kumbukumbu kama Taifa Stars imewahi kuifunga timu ya Afrika Kaskazini. Simba imeonekana kuweza kupambana nao na mara kwa mara kupata ushindi hasa wakiwa wanacheza ndani ya Tanzania. Yanga pia wana rekodi za kupata ushindi mara kadhaa dhidi ya waarabu ingawa nadhani siyo mara nyingi kama Simba.

Ni hivi, dini ya Kiislamu inaaminika asili yake ni huko Uarabuni. Kwa hiyo wale wanaoifuata dini hii duniani kote wana heshima fulani wanazipa nchi za Kiarabu na Waarabu kiujumla.

Changamoto inakuja pale unapohitaji kushindana nao mfano katika michezo ingawa nitakuja hapo chini kutolea mfano tofauti ili nieleweke zaidi. Kwa sababu ya heshima kubwa Waislamu wanayowapa watu hawa, ni ngumu sana Muislamu wa kutoka sehemu nyingine aamini ana uwezo kabisa wa kushindana na Mwarabu katika nyanja kama ya michezo ambayo ukiacha maarifa na nguvu inahitaji pia kuamini kwa dhati kuwa Mungu anaweza kukusaidia wewe kupata ushindi na siyo mpinzani wako.

Ngoja niwape mfano mwingine. Huu ni mfano tu wa kufikirika ila unaweza kusaidia kufafanua point yangu. Tuchukulie Tanzania tumeingia mgogoro wa kidiplomasia na Vatican. Tukumbuke Vatican ndiyo makao makuu ya Kanisa Katoliki. Kama nchi inabidi tutumie hazina yetu ya Watanzania wanaoielewa vizuri Vatican hasa waumini wa Kikatoliki kutupa ushauri wa jinsi ya kukabiliana na mgogoro huo. Mwisho wa siku ili maslahi ya nchi yapate kulindwa inabidi kiongozi mkuu katika majadiliano hayo awe mtu asiye wa imani hiyo ili kuepuka hali yoyote ya unyonge dhidi yao.

Ningeweza kutoa mifano zaidi tofauti ila nadhani nitakuwa nimeeleweka.
Acha upumbavu
 
Back
Top Bottom