Ili tusipate hasara, Serikali ibadilishe Uwanja wa Ndege Chato 75% uwe wa Kijeshi

Ili tusipate hasara, Serikali ibadilishe Uwanja wa Ndege Chato 75% uwe wa Kijeshi

Sasa ukifanywa wa kijeshi utazuiaje hasara? Jeshi hawana haja ya uwanja huo kwa mahitaji yao ya sasa la sivyo wangeisha omba fungu kwenye bajet kujenga
Hasara ilishatokea sasa cha msingi ni ku minimize damage maana maintainance pia ni hasara
 
Back
Top Bottom