Ili tusipate hasara, Serikali ibadilishe Uwanja wa Ndege Chato 75% uwe wa Kijeshi

Ili tusipate hasara, Serikali ibadilishe Uwanja wa Ndege Chato 75% uwe wa Kijeshi

Hizi ni hoja za kipumbafu sana, na yeyote anayeziunga mkono ana akili ndogo kama PIRITONI.

Yaani yule DIKTETA ali- misuse raslimali za nchi kwa kwenda kujenga miundombinu mikubwa kuliko mahitaji halisi ya kitongoji cha Chato, isitoshe kila alichofanya hakikuwa na approval ya Bunge, bado unataka utushawishi TUBARIKI MAKOSA yake kwa kuipa Chato hadhi ya Mkoa na kuifanya uwanja wa keahi?? You are not serious.

Mungu ametuepushia hiyo DHAHMA kwa kuchukua roho ya mtu mwongo, mwizi na katili na mbinafsi ili tujipange vizuri, kama tutaupa uwanja wa Chato hadhi unayoisema itakuwa ni KUFURU kwa Mungu wetu.

Ile Chato ni ya kubaki hivyo hivyo kama GBADOLITE ya Mobutu, ili vizazi vijavyo vije vitambue kuwa tuliwahi tawaliwa na mtu KICHAA kwa miaka 5 na siku 131
 
Wakati mwingine mnapomtukana JPM mnakuwa mkieleweka kama watu mnaotaka kuuendeleza ukabila na ushamba, tuhuma mbili alizopewa marehemu muda mwingi akiwa rais.
Kuna wakati mwingine kusema ukweli huonekana kama matusi.
 
Ndio kinachoenda kutokea ni suala la

Mkuu kwa MATAGA Kama wewe tutakesha najua Ulisajili Akaunt Jamii Forum Alhamis tarehe 18/03/2021 kwa kazi Maalum kumtetea maiti!
Endelea ...ila ukweli ndio huo ..Katiba yetu kweli Ina kasoro na Ukipata Amiri Jeshi Juha ...mtaumia ...!
Tumeshajifunza.... Mimi na Wewe tuungane kuleta KATIBA MPYA ILI KUEPUKA KUJA KUTAWALIWA NA IBILISI TENA!
Na Mungu Bila Shaka yupo nasi!
Mkuu, nimekuuunga mkono kwenye eneo moja tu la kuungana ili tulete katiba mpya,

Kwenye mambo mengine sijui ya kujiunga tarehe Fulani, sijui mataga, ni upumbavu uliokujaa na ujinga uliopita kiwango, Mimi nipo hapa miaka miiingi yawezekana kukushinda hata wewe, ukitaka kufahamu hivyo, Tafuta Jina la Paul Sylvester humu humu, account ambayo niliicha kitambo

Swala la umataga haliniumizi kichwa, Kwa sababu hata wanaowaita wenzao hao, mambo Yao mengi ni ya kijinga na kipumbavu tu,

Kwenye suala la wewe kufurahia kufa Kwa binadamu mwenzako, wewe Fanya sherehe kabisaaa na labda sherehe hizo zitamfanya Mwenyezi Mungu asiuchukue uhai wako muda utakapowadia!!
 
Sina sababu ya kutafuta Akaunti zako uliziacha Mimi nakusoma kwenye hii unayotetea Ujuha! Inawezekana kweli kabisa una akili Kama unavyodai ...Ila kwenye Akaunti hii unaandika Utopolo kwa malengo Maalum ya kutetea Legacy ya Jiwe,Mungu wa Kabudi,. Shujaa was Chato!
Wala sifurahii binadamu mwinginee kufa...Ilaa kifo Cha Dikteta huyu kimeliponyaa Taifa dhidi ya chuki, roho mbaya na ujuha!
Bila Shaka damu za watu waliokufa na kuumizwa wakati was Utawala wake zinamtalesa hata huko.kuzimu alipo!
 
Sina sababu ya kutafuta Akaunti zako uliziacha Mimi nakusoma kwenye hii unayotetea Ujuha! Inawezekana kweli kabisa una akili Kama unavyodai ...Ila kwenye Akaunti hii unaandika Utopolo kwa malengo Maalum ya kutetea Legacy ya Jiwe,Mungu wa Kabudi,. Shujaa was Chato!
Wala sifurahii binadamu mwinginee kufa...Ilaa kifo Cha Dikteta huyu kimeliponyaa Taifa dhidi ya chuki, roho mbaya na ujuha!
Bila Shaka damu za watu waliokufa na kuumizwa wakati was Utawala wake zinamtalesa hata huko.kuzimu alipo!
Shida yako ni kufurahia kifo cha JPM au shida yako ni kwanini hayati alijenga Chatto??

Mbona hueleweki wewe?

Kipi ambacho hukielewi Kati ya uhusiano wa katiba Bora na maendeleo yasiyotegemea uamzi wa mtu mmoja?

Au nasumbuka na msukule wa Serengeti?
 
CHADEMA ndiyo walikuwa madarakani?
Hueleweki, umeongelea issue ya wanyama kuhamishwa kwenda mbuga iliyopo chato, ukasema hujawahi sikia sehemu, mimi nakujibu hilo sio jambo jipya, sio tu CCM, tafuta habari za Zimbabwe, Botswana na South Africa ndio utajua Simba, Tembo, Twiga na baadhi yawanyama wengineo waliopo kwenye zoo America na Ulaya wametokea wapi.

Kama wanaweza safirishwa kwa ndege from continent A kwenda B unashangaa kutoka mkoa A kwenda B? Ushamba Ni mzigo usio na pakushikia.

Chadema imetokea wapi tena kwenye hiyo issue yako? Acha ushamba.
 
Wangeruhusu wakina ngosha wachunge ng'ombe ndani ya huo uwanja, waweke entrance fee...alisikika mlevi mmoja
I'm glad umetambua kuwa comment yako imekaa kilevi levi..... 😂😂😂 Na vile mlevi wa kike ni worse than murder!!!
 
Hueleweki, umeongelea issue ya wanyama kuhamishwa kwenda mbuga iliyopo chato, ukasema hujawahi sikia sehemu, mimi nakujibu hilo sio jambo jipya, sio tu CCM, tafuta habari za Zimbabwe, Botswana na South Africa ndio utajua Simba, Tembo, Twiga na baadhi yawanyama wengineo waliopo kwenye zoo America na Ulaya wametokea wapi.

Kama wanaweza safirishwa kwa ndege from continent A kwenda B unashangaa kutoka mkoa A kwenda B? Ushamba Ni mzigo usio na pakushikia.

Chadema imetokea wapi tena kwenye hiyo issue yako? Acha ushamba.
Katawaze ulale
 
Shida yako ni kufurahia kifo cha JPM au shida yako ni kwanini hayati alijenga Chatto??

Mbona hueleweki wewe?

Kipi ambacho hukielewi Kati ya uhusiano wa katiba Bora na maendeleo yasiyotegemea uamzi wa mtu mmoja?

Au nasumbuka na msukule wa Serengeti?
Anayepambana na marehemu ameshindwa kabla hata ya mpambano kuanza, JPM atabaki kuwa moja ya watu ambao hawatosahaulika TANZANIA na baadhi ya nchi za Africa kwa ujumla.

Watu wanateswa na fungu alilojichagulia marehemu, yeye mwenyewe alijua atakumbukwa kwa ukauzu ndio maana akasema hataki kupendwa, mama Janet amempenda inatosha. Alikuwa jiwe kweli kweli, ukiona mtu analia lia ujue jiwe ama lilimsugua gaga, lilimgonga kama sio kumsaga kabisa.
 
Hivi mataga Rais SSH akianzisha mchakato wa kujenga international airport na miradi mingine ya kimkakati Kijijini kwao mtaambia nini watu??
Samia ni Magufuli.

Samia aliteuliwa na Magufuli kama alivyoteuliwa Sabaya, Hapi, Majaliwa,Mpango etc

Acha wanafunzi wa Magufuli waumane
 
Anayepambana na marehemu ameshindwa kabla hata ya mpambano kuanza, JPM atabaki kuwa moja ya watu ambao hawatosahaulika TANZANIA na baadhi ya nchi za Africa kwa ujumla.
Hakika Hilo halina ubishi:
Kufikiri kwa kutumia moyo
Kusigina Katiba
Ukatili..Ben Saanane,Azory ,Tundu Lissu nk
Poor Planning
Na mengine mengi yatabaoi mioyoni mwetu abadani!
 
Hueleweki, umeongelea issue ya wanyama kuhamishwa kwenda mbuga iliyopo chato, ukasema hujawahi sikia sehemu, mimi nakujibu hilo sio jambo jipya, sio tu CCM, tafuta habari za Zimbabwe, Botswana na South Africa ndio utajua Simba, Tembo, Twiga na baadhi yawanyama wengineo waliopo kwenye zoo America na Ulaya wametokea wapi.

Kama wanaweza safirishwa kwa ndege from continent A kwenda B unashangaa kutoka mkoa A kwenda B? Ushamba Ni mzigo usio na pakushikia.

Chadema imetokea wapi tena kwenye hiyo issue yako? Acha ushamba.
Tutajie mfano moja tu ambako wanyama walihamishiwa msituni ili kutengeneza Hifadhi ya Wanyama...!
Usichanganye zoo na hifadhi
 
Unawaza ngono muda wote we mpuuzi, utakufa maskini
Mwanakulitafuta mwanakulipata... ukijamba mi nakunyea mazima....eti ngono... Kwahiyo Hata Suleiman alikufa masikini kwa kuendekeza ngono muda wote sio!!! 😆😆😆 Unamzani wa utajiri na umasikini nn! Ujinga Ni mzigo.
 
Hakika Hilo halina ubishi:
Kufikiri kwa kutumia moyo
Kusigina Katiba
Ukatili..Ben Saanane,Azory ,Tundu Lissu nk
Poor Planning
Na mengine mengi yatabaoi mioyoni mwetu abadani!
Sasa Kama katiba yenyewe mnailalamikia daily kuwa ni mbovu mlitegemea nayeye atumie vitu vibovu hivyo hivyo?

Kuna kutekwa, kujiteka, kujitakia, kutumika vibaya, kiherehere, na mengine mengi, sijui ulio wataja wanaangukia wapi.
 
Back
Top Bottom