Ili tusipate hasara, Serikali ibadilishe Uwanja wa Ndege Chato 75% uwe wa Kijeshi

Ili tusipate hasara, Serikali ibadilishe Uwanja wa Ndege Chato 75% uwe wa Kijeshi

Hivi hawa makamanda wamerogwa, mbona wanaongea maajabu? Chuki ya Magufuli na ubibafsi wenu unawatokea objectivity mnasahau yaliyopo.

Viwanja vyote vya ndege duniani viko vijijini, hutavikuta maghorofani. Kule CHADEMA kwa kina Mbowe kuna international airports 4 karibukaribu - kuna KIA kilometa 45 kutoka Arusha Airport na kilometa 17 kutoka Moshi Airport. Ukienda kilometa 200 tu kuna International airports mbili Nairobi wajatu nearest airports Chato ni Bukoba kilometa 120, Mwanza kilometa 287, Entebbe 500, Lubumbashi 400.

Na airports zote dunia nzina ni za kijeshi; zikihitajika zinakuwa chinu ya kamandi ya jeshi. Hiyo ni sababu ingine kubwa kuwa jeshi lina access na hiyo sehemu nyeti na kubwa ya nchi yetu mpakani na nchi zisizotabirika,

Kuhusu wanyama kuhamishwa hili nalo si la ajabu, Zoo zote duniani zina wanyama wa kuletwa. Hifadhi maarufu ya Serengeti ina mbwamwitu kutoka Mkomazi, na Mkomazi wana faru kutoka Ngorongoro, Czechoslavakia na Kruger huku Saanane National Park wana manyani kutoka Kigoma na mbuni kutoka Seronera.
You must be having a psychiatric case, sio bure. Nyerere International Airport, Dsm kwa nini usingejengwa Maneromango.

Huyu Magufuli kwa nini hizo rasilimali alizotumia kujenga kiwanja cha ndege kijijini kwao asingezitumia kuboresha cha Mwanza?

Haya ni matumizi mabovu ya rasilimali za nchi kwa kujificha nyuma ya katiba mbovu. Bure kabisa.
 
Mkuu kwa sasa umeme unasambaa nchi nzima naamini zipo fursa nyingi zinakwenda kuibuliwa.

Nyumbani Ngara kuna ile shughuli ya nickel kuanza kuchimbwa maana yake kuna fursa nyingine za kijamii zina kwenda kuinuka.
Nyumbani Karagwe.. Lakini fursa ili uwanja uinuke ni 20+ years yaani nakuhakikishia hilo.. Nickel haiwezi kuinua uwanja huo
 
Dikteta ndiyo aliamua hivyo mpka wanyama wakawa wanabebwa kupelekwa huko sijui umewahi kuona wapi.
Nimewahi kusikia twiga walipandishwa ndege kwenda ughaibuni, sasa sijui Hilo utasemaje!
 
You must be having a psychiatric case, sio bure. Nyerere International Airport, Dsm kwa nini usingejengwa Maneromango.

Huyu Magufuli kwa nini hizo rasilimali alizotumia kujenga kiwanja cha ndege kijijini kwao asingezitumia kuboresha cha Mwanza?

Haya ni matumizi mabovu ya rasilimali za nchi kwa kujificha nyuma ya katiba mbovu. Bure kabisa.
Unaujua umbali kutoka Kilimanjaro International Airport kwenda Arusha/ Moshi mjini? Umekariri badala ya kuelewa.
 
View attachment 1776112

Kwa heshima na taadhima napenda kuishauri serikali yetu adhimu,ibadirishe matumizi ya uwanja wa ndege chato ili tuepuke hasara itakayo tokana na uwanja huo kutotumika kikamilifu.

Uwanja huu wa kisasa umejengwa huku watanzania wakivutana na kurumbana wengine wakidai umejengwa kisiasa wengine wakisema upo kwenye irani ya chama cha mapinduzi kwa hivyo hakuna makosa, na mengine mengi

CCM answers to opposition on Chato Airport accusations

Mimi si mwana siasa sitaki kusema mengi kuhusu maoni ya wanasiasa hili tuwaachie wanasiasa sisi tuangalie ni nini kifanyike ili uwanja huu uwe wenye manufaa kwa taifa letu.

Kwanza napenda kuwatoa hofu wale wote wanao dhani kuwa uwanja huu baada ya kufariki Rais JP Magufuli basi hauna faida tena kwa kuwa hakuna ndege za kutumia tena uwanja huu, zifuatazo ni faida kadhaa za uwepo wa uwanja huu katika eneo hilo.

Uwanja wa chato upo km 131.26 za anga kwenda uwanja wa ndege Mwanza lakini pia Entebe airport Uganda sio mbali, uwanja huu utafaa zaidi kwa ndege kubwa endapo zitapata dharula ya kutua katika uwanja wa ndege mwanza au hata Entebe, hivyo uwanja ulio karibu zaidi ni Chato kuliko kurejea Dar, Kir au Dom.

Hili halina ubishi liko wazi, na pale Mwanza airport itakapo anza kutumika kikamilifu kimataifa baada ya ujenzi kukamilika an alternative airport in case of emergency ni Chato,hii itakuwa ni sifa ya nyongeza kwa uwanja wa kimataifa Mwanza.

Kwa kuwa watanzania tumezoeshwa kujengewa miundombinu inayofaa kwa wakati uliopo na si miundombinu inayofaa sasa na miaka mingine hamsini mbele, tunaona leo tu peke yake lakini hatuna uthubutu wa kuangalia faida hata ya miaka kumi tu ijayo, kila kitu kina panuka utalii utaongezeka mahitaji kwa ujumla yataongezeka kwa miundo mbinu iliyopo, kwa wale mlio na wasiwasi mnaihukumu Chato airport kwa maono ya miaka mingapi mbele? na ndipo mnapopata jibu la kwamba haina faida?

Kwa mnaojua historia ya nchi yetu mtakumbuka mji wa Mwanza uliwahi kushambuliwa mara kadhaa kwa ndege za kivita toka mataifa jirani mwaka 1972 na kipindi cha vita ya Kagera 1978-1980 kwa misingi ya kutaka kushambulia kikosi chetu imara cha anga kilichopo mwanza, ingawa mara zote majeshi yetu yalifanikiwa kuzidungua ndege za adui, hii inaonyesha kuwa ipo sababu sasa tena ya msingi kukihamisha kikosi cha anga kilichopo mwanza kwenda chato, na hapo kitakuwa kimkakati zaidi kuliko Mwanza.

Tukumbuke lake zone ndio ukanda ulio zungukwa na nchi nyingi kuliko ukanda mwingine wowote ule na mkumbuke jirani au rafiki yako wa leo ndio adui yako wa kesho.

Kwa sasa uwanja wa ndege wa mwanza unatumika kwa madhumuni yote mawili lakini kwa asilimia ndogo za kijeshi na unatambulika kuwa uwanja wa kiraia, kwa Chato iwe tofauti utumike kwa asilimia nyingi kijeshi na chache kiraia, hata kama utajulikana kama uwanja wa kijeshi chato poa tu. Msipoteze muda mpeni mabeyo hicho kiwanja kina mfaa.

Karibuni wenye mawazo ya kuona mbali mchangie katika hili ili kutoa mwanga wa matumizi chanya ya uwanja wa Chato.
Mada yako ni fikirishi, pamoja na kulembalemba kwingi sehemu zingine za mada hiyo.

Kuna jambo ambalo umeliandika ambalo silijui na wala sikuwahi kulisikia.
Kwa mnaojua historia ya nchi yetu mtakumbuka mji wa Mwanza uliwahi kushambuliwa mara kadhaa kwa ndege za kivita toka mataifa jirani mwaka 1972
Hili tukio ni tofauti na lile la vita ya Kagera?

Naona kwenye mada yako unaogopa kutaja Rwanda, Burundi na DRC.

Wakati jsehemu kubwa ya Jeshi la Anga likielekea Chato, ni wazo zuri pia kupendekeza kwamba hapo Mwanza pawepo na Jeshi la Maji ndani ya Ziwa Victoria. Umuhimu wa hili nao usibezwe.
 
Yote yenu, mwenye maono yake keshaondoka.

Taifa linalobebwa na mtu mmoja Kwa ngazi ya Uraisi kufikiri yeye na kutenda yeye na katiba imempa Uhuru huo, halafu sasa, baada ya kutenda hivyo, ndio watu waanze kuuliza Kwa nini uliamua kujenga uwanja ama kununua Ndege ili Hali tulitaka utuletee bahari Dodoma, wewe utakuwa Dicteta.

Narudia tena, Wote wanaomuita Raisi wetu awe JPM ama mwingine ajaye kuwa ni Dicteta ni wapumbavu na hawana uelewa wowote

Labda niwaulize nyinyi wajinga mnaomlaumu Hayati JPM, Ni wapi yalipo/ulipo mpango wa kitaifa?

Kama nafasi ya Uraisi imeachwa itende Kwa niaba ya wote, mnategemea nini.

Narudia tena, mpaka huu muda, si Raisi wa Kwanza mpaka sasa, hakuna Rais aliyetenda mengi makubwa na Kwa muda mfupi Kwa nchi yake kama Hayati JPM Kwa mjibu wa katiba Yetu, hayupo!

Watapata tabu sana kufikia kiwango chake wote wanaomfuata.
Yuko wapi sasa
 
La mhimu kidogo uliloandika hapa, ni kupinga kumlinganisha JPM na Nyerere, Hilo nakupa zote, mengine ni utopolo,

Ukija kupata akili ndipo utatambua kuwa hata hiyo mifumo huwa haiwekwi na Raisi ispokuwa ni wananchi wenyewe wanapoona kunahitajika hivyo, niambie leo, Je katiba inamapungufuu au haina?

Ukinijibu Hilo, nitakuuliza tena, Kwa nini Rais anaogopa kutupa katiba?

Unadhani ni Nani wa kutupa katiba Kati ya Raisi na wananchi?

Je, mifumo unayoitaka inatokona na nini??

Ukiyajibu hayo, nitakuona wewe hukwenda shule kusomea upumbavu
Mwalimu aliwahinkusema ..Katiba yetu ni mbovu akipatikana Rais Mpumbavu atakuja kuwa Dikteta ...na kweli akatokea !
Tulikuwa na Rais ...ndio maana aliendaa kujenga Uwanja wa ndege Mkubwa kama ule Kijijini kwake...
Ni Utopolo tu anayeweza kuuliza swali kuwa Katiba hii hi nzuri au mbaya!
Hatahivyo Katiba hiihii akikabidhiwa mwerevu na juha ...matendo yao yatatofautiana!
Tuombe Mungu atupe Rais Mwereevu na sisi wananchi tusshinikize uwepo wa mifumo thabiti!
Badala ya kutegemea kudra za Maulana !
Vyovyote itakakavyo kuwa ...tulikuwa na Rais Mshamba na Limbukeni?
 
Mwalimu aliwahinkusema ..Katiba yetu ni mbovu akipatikana Rais Mpumbavu atakuja kuwa Dikteta ...na kweli akatokea !
Tulikuwa na Rais ...ndio maana aliendaa kujenga Uwanja wa ndege Mkubwa kama ule Kijijini kwake...
Ni Utopolo tu anayeweza kuuliza swali kuwa Katiba hii hi nzuri au mbaya!
Hatahivyo Katiba hiihii akikabidhiwa mwerevu na juha ...matendo yao yatatofautiana!
Tuombe Mungu atupe Rais Mwereevu na sisi wananchi tusshinikize uwepo wa mifumo thabiti!
Badala ya kutegemea kudra za Maulana !
Vyovyote itakakavyo kuwa ...tulikuwa na Rais Mshamba na Limbukeni?
Pumbavu,

Wewe mwenyewe fursa ikitokea utapiga fedha kuliko uwezo wako, Iweje umlaumu mwingine Kwa fursa ambayo iko wazi na wananchi walishakubaliana Nayo?

Kama katiba ni mbovu, unamlaumu Nani, eti tegemeo lako ni upate malaika ili atende mema na hofu yako asipatikane mtu mbovu kwa sababu atatufanya kitu mbaya Kwa katiba iliyopo,

Hii ni akiliii au matope

Kwa mjibu wa katiba Yetu, JPM alifanya mema Sana, na tena ushukuru Kwa sababu aliyoyafanya yoote ni Mali yenu, Je angeamua kujimilikisha yeye?? Katiba ipi ingelimkataza asifanye hivyo?? Waliowahi kupita, walichepusha Hadi Mita floo ya mafuta na wakajijengea sheli za mafuta nchi nzima Kwa sababu katiba lenu halina Meno ya kuhoji kazi za kiongozi mkuu na hata kumfikisha mahakamani,

Mnategemea kupiga kelele kiongozi mkuu akiharibu, katiba haiwezi kumfanya ashitakiwe, sasa unategemea nini Wewe?

Hivi Kwa nini Sisi Watanzania tunakichwa kigumu Sana tukiambiwa ukweli tunapenda kuukwepakwepa na kutupa lawama mahali ambapo sio sahihi?

Usimlaumu JPM Kwa kujenga kwao Chatto, ilaumu katiba yako iliyokosa Meno na mwelekezo Bora wa nini mkuu wa nchi hapaswi afanye na kipi afanye

Ushauri, Tafuta kushawishi wananchi ili ikubalike kuunda katiba mpya, usiwe mtu wa kila siku kuombea upate Raisi mwema!

Naililia nchi yangu Tz, inawajinga wengi Sana, majitu yamesoma na hayajawahi kuelimika

Nchi haina mpango Makati wa kitaifa, ni Rais pekee ndiye huamua afanye kipi na wapi katika Uongozi wa kipindi chake, halafu eti akifanya analaumiwa, doh..!
 
Pumbavu,

Wewe mwenyewe fursa ikitokea utapiga fedha kuliko uwezo wako, Iweje umlaumu mwingine Kwa fursa ambayo iko wazi na wananchi walishakubaliana Nayo?

Kama katiba ni mbovu, unamlaumu Nani, eti tegemeo lako ni upate malaika ili atende mema na hofu yako asipatikane mtu mbovu kwa sababu atatufanya kitu mbaya Kwa katiba iliyopo,

Hii ni akiliii au matope

Kwa mjibu wa katiba Yetu, JPM alifanya mema Sana, na tena ushukuru Kwa sababu aliyoyafanya yoote ni Mali yenu, Je angeamua kujimilikisha yeye??

Ushauri, Tafuta kushawishi wananchi ili ikubalike kuunda katiba mpya, usiwe mtu wa kila siku kuombea upate Raisi mwema!
Kwa hiyo Magufuli alipata fursa akaitumia🥺🥺🥺 Kujipendelea...haya mkuu Baki na akili zako!
Nawaombea wanao wasirithi akili hizi!
 
View attachment 1776112

Kwa heshima na taadhima napenda kuishauri serikali yetu adhimu,ibadirishe matumizi ya uwanja wa ndege chato ili tuepuke hasara itakayo tokana na uwanja huo kutotumika kikamilifu.

Uwanja huu wa kisasa umejengwa huku watanzania wakivutana na kurumbana wengine wakidai umejengwa kisiasa wengine wakisema upo kwenye irani ya chama cha mapinduzi kwa hivyo hakuna makosa, na mengine mengi

CCM answers to opposition on Chato Airport accusations

Mimi si mwana siasa sitaki kusema mengi kuhusu maoni ya wanasiasa hili tuwaachie wanasiasa sisi tuangalie ni nini kifanyike ili uwanja huu uwe wenye manufaa kwa taifa letu.

Kwanza napenda kuwatoa hofu wale wote wanao dhani kuwa uwanja huu baada ya kufariki Rais JP Magufuli basi hauna faida tena kwa kuwa hakuna ndege za kutumia tena uwanja huu, zifuatazo ni faida kadhaa za uwepo wa uwanja huu katika eneo hilo.

Uwanja wa chato upo km 131.26 za anga kwenda uwanja wa ndege Mwanza lakini pia Entebe airport Uganda sio mbali, uwanja huu utafaa zaidi kwa ndege kubwa endapo zitapata dharula ya kutua katika uwanja wa ndege mwanza au hata Entebe, hivyo uwanja ulio karibu zaidi ni Chato kuliko kurejea Dar, Kir au Dom.

Hili halina ubishi liko wazi, na pale Mwanza airport itakapo anza kutumika kikamilifu kimataifa baada ya ujenzi kukamilika an alternative airport in case of emergency ni Chato,hii itakuwa ni sifa ya nyongeza kwa uwanja wa kimataifa Mwanza.

Kwa kuwa watanzania tumezoeshwa kujengewa miundombinu inayofaa kwa wakati uliopo na si miundombinu inayofaa sasa na miaka mingine hamsini mbele, tunaona leo tu peke yake lakini hatuna uthubutu wa kuangalia faida hata ya miaka kumi tu ijayo, kila kitu kina panuka utalii utaongezeka mahitaji kwa ujumla yataongezeka kwa miundo mbinu iliyopo, kwa wale mlio na wasiwasi mnaihukumu Chato airport kwa maono ya miaka mingapi mbele? na ndipo mnapopata jibu la kwamba haina faida?

Kwa mnaojua historia ya nchi yetu mtakumbuka mji wa Mwanza uliwahi kushambuliwa mara kadhaa kwa ndege za kivita toka mataifa jirani mwaka 1972 na kipindi cha vita ya Kagera 1978-1980 kwa misingi ya kutaka kushambulia kikosi chetu imara cha anga kilichopo mwanza, ingawa mara zote majeshi yetu yalifanikiwa kuzidungua ndege za adui, hii inaonyesha kuwa ipo sababu sasa tena ya msingi kukihamisha kikosi cha anga kilichopo mwanza kwenda chato, na hapo kitakuwa kimkakati zaidi kuliko Mwanza.

Tukumbuke lake zone ndio ukanda ulio zungukwa na nchi nyingi kuliko ukanda mwingine wowote ule na mkumbuke jirani au rafiki yako wa leo ndio adui yako wa kesho.

Kwa sasa uwanja wa ndege wa mwanza unatumika kwa madhumuni yote mawili lakini kwa asilimia ndogo za kijeshi na unatambulika kuwa uwanja wa kiraia, kwa Chato iwe tofauti utumike kwa asilimia nyingi kijeshi na chache kiraia, hata kama utajulikana kama uwanja wa kijeshi chato poa tu. Msipoteze muda mpeni mabeyo hicho kiwanja kina mfaa.

Karibuni wenye mawazo ya kuona mbali mchangie katika hili ili kutoa mwanga wa matumizi chanya ya uwanja wa Chato.
Na unaweza kukuta huko chato kuna watoto wanakaa chini na vyumba vya madarasa hakuna " duh, kupanga in kuchagua"
 
Wangeruhusu wakina ngosha wachunge ng'ombe ndani ya huo uwanja, waweke entrance fee...alisikika mlevi mmoja
 
Kwa hiyo Magufuli alipata fursa akaitumia🥺🥺🥺 Kujipendelea...haya mkuu Baki na akili zako!
Nawaombea wanao wasirithi akili hizi!
Sawa mkuu, Ila unahitajika kuwa unaelewa Kwa wepesi

Mkuu, katiba tuliyonayo na mfumo wa nchi yetu, unampa Raisi kutenda Kwa niaba yetu na hakuna mahali Kwa mjibu wa katiba kwamba tumhoji ni kivipi anajenga uwanja Chatto na wakati mioyoni mwetu tunahisua na kuombea kwamba Mh Raisi, angepeleka bahari Dodoma, mambo ya ajabu Kweli haya, na Kwa mjibu wa katiba Yetu, hawezi kushitakiwa popote Kwa makosa yake ya kipindi akiwa madarakani

Kama ni hivyooo!!! Kwa mjibu wa katiba Yetu, nionyeshe kosa lake ni lipi kwamba akijenga uwanja wa Ndege Chatto, anakosa kisheria, embu nionyeshe nione,

Kwa sasa ulishaanza kupiga kelele kuhusu usawa wa mgao wa fedha za muungano, ni Kweli sio haki ukizingatia Bara ni wengi kuliko visiwani, lakini ukija kwenye katiba Yetu, imetaja hivyo, mwenye kosa ni Nani, anayetekereza au kosa lipo kwenye katiba??
 
Hapo inatakiwa wananchi waanike dagaa full stop.
Ndio kinachoenda kutokea ni suala la
Sawa mkuu, Ila unahitajika kuwa unaelewa Kwa wepesi

Mkuu, katiba tuliyonayo na mfumo wa nchi yetu, unampa Raisi kutenda Kwa niaba yetu na hakuna mahali Kwa mjibu wa katiba kwamba tumhoji ni kivipi anajenga uwanja Chatto na wakati angepeleka bahati Dodoma, na Kwa mjibu wa katiba Yetu, hawezi kushitakiwa

Kama ni hivyooo!!! Kwa mjibu wa katiba Yetu, nionyeshe kosa lake ni lipi kwamba akijenga uwanja wa Ndege Chatto, anakosa kisheria, embu nionyeshe nione,

Kwa sasa ulishaanza kupiga kelele kuhusu usawa wa mgao wa fedha za muungano, ni Kweli sio haki ukizingatia Bara ni wengi kuliko visiwani, lakini ukija kwenye katiba Yetu, imetaja hivyo, mwenye kosa ni Nani, anayetekereza au kosa lipo kwenye katiba??
Mkuu kwa MATAGA Kama wewe tutakesha najua Ulisajili Akaunt Jamii Forum Alhamis tarehe 18/03/2021 kwa kazi Maalum kumtetea maiti!
Endelea ...ila ukweli ndio huo ..Katiba yetu kweli Ina kasoro na Ukipata Amiri Jeshi Juha ...mtaumia ...!
Tumeshajifunza.... Mimi na Wewe tuungane kuleta KATIBA MPYA ILI KUEPUKA KUJA KUTAWALIWA NA IBILISI TENA!
Na Mungu Bila Shaka yupo nasi!
 
Back
Top Bottom