Ili upigaji uwe rahisi na miradi kutokukamilika na umeme uwe wa mgao, lazima JPM azodolewe kwa sababu nyepesi na za kipuuzi

Ili upigaji uwe rahisi na miradi kutokukamilika na umeme uwe wa mgao, lazima JPM azodolewe kwa sababu nyepesi na za kipuuzi

Mtu aliyekuwa anajua mbinu zote za wafanyakazi wa Tanesico kwamba, kipindi hichoo cha wao kuongoza, kulikuwepo na kikundi maalumu cha kufungulia maji ya mtela ili tu kutengeneza mgao haramu wa umeme na wao kutengeneza biashara za majenereta

Mbinu hiyo iliwafumbua watanzania wengi, na tangu tamko hilo Kutoka Kwa Amiri Jeshi kamanda na Jiwe JPM (hayati) lilipotoka, hakukuwepo mgao wa umeme tena!

Ili sauti hiyo ipotee na watanzania waamini, ni lazima hao hao ambao walikuwa wakifumgulia mabwawa ya umeme enzi za utawala wao wapangue hoja za ukweli za hayati JPM Kwa maneno ya dhihaka, kejeli na uwongo mwingi ili kuhalarisha kile wanataka kufanya ili hali pia wakijua hayupo duniani na hawezi kusema tena

Wengi wa wa watanzania ni watu wa kusahau mapema saana! 2015 wakati JPM akiingia madarakani, mwaka huo kulikuwepo ukame Mkubwa sana wa mvua, lakini umeme nchini haukusumbua kama wanavyofanya sasa

Sasa kinachofanywa na wizara hiii Kwa sasa, ni propaganda za kuhalarisha madudu yao,

Propaganda hizi, zilianzia kwenye ujenzi wa Bwawa la JKNHP, na kiukweli Kwa propaganda zao, wamewaweza watanzania wajinga wale wafoji vyeti!

Mbwembe hizi zoote zinazofanywa Kwa press ama machapisho mengi mitandaoni kuhusu ukweli wa namna nchi ilivyo na inavyotakiwa iwe, kwa sababu hiyo, hizi ni njia tu za wao kutaka kuitafuna nchi

Miradi iliyokuwa ikijengwa bila tozo sielewi kama inaendelea ama la, Kwa sasa tuna tozo juu, lakini hadi Leo Bwawa linalotazamiwa kuzalisha umeme Mgw2000 iwapo linaendelea na mpango wa lini linakamilika ni lini haijulikani!

Nchi ya ajabu hii

Basi tumejua JPM alituvuruga, Basi nyinyi leteni unafuu wa maisha yetu Basi!

Mmekalia kumseme tuu, lakini mmefanya nini napo haijulikani!
Unahangaika bure kumtetea mtu mwizi na ambae hakuwa na akili..👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220415-072852.jpg
    Screenshot_20220415-072852.jpg
    122 KB · Views: 2
  • Screenshot_20220520-171316.jpg
    Screenshot_20220520-171316.jpg
    116.8 KB · Views: 1
  • Screenshot_20220415-140726_1.jpg
    Screenshot_20220415-140726_1.jpg
    49.3 KB · Views: 2
  • 2306969_FB_IMG_1581695064971.jpg
    2306969_FB_IMG_1581695064971.jpg
    27.2 KB · Views: 2
Unahangaika bure kumtetea mtu mwizi na ambae hakuwa na akili..👇
Tuonyesheni basi uunazo wenu Kwa kurahisisha upatikanaji wa huduma Kwa wananchi

Kuvuta umeme mshushe zaidi ya asiyekuwa na akili angalau mtufanyie Tsh 17000

Bei ya vyakula na bidhaa mbalimbali mshushe basi wenye akili ili mmzidi asiyekuwa nazo!

Malizieni basi hizo miradi Kwa pesa nyingi mnazoingiza serikalini!

La sivyo, mambo yake asiyekuwa na akili yatamtetea tuu!
 
Tuonyesheni basi uunazo wenu Kwa kurahisisha upatikanaji wa huduma Kwa wananchi

Kuvuta umeme mshushe zaidi ya asiyekuwa na akili angalau mtufanyie Tsh 17000

Bei ya vyakula na bidhaa mbalimbali mshushe basi wenye akili ili mmzidi asiyekuwa nazo!

Malizieni basi hizo miradi Kwa pesa nyingi mnazoingiza serikalini!

La sivyo, mambo yake asiyekuwa na akili yatamtetea tuu!
Huduma zinapatikana sio tuu Kwa gharama nafuu Bali kwa uhakika zaidi..

Pili Kama umeme ulikuwa 17,000 mbona watz wote wasiingize sasa Kwenye nyumba zao?

Ukweli utabakia kwamba tulikuwa na Rais asiyejielewa Ambae ni WA maana kwa kundi kubwa la wajinga kama wewe mnufaika wa Utawala wake 😂😂.

Upuuzi kama huu ndio mlikuwa mnauweza👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220517-202938.jpg
    Screenshot_20220517-202938.jpg
    49 KB · Views: 1
  • 2022030133155.jpg
    2022030133155.jpg
    94.8 KB · Views: 1
Mtu aliyekuwa anajua mbinu zote za wafanyakazi wa Tanesico kwamba, kipindi hichoo cha wao kuongoza, kulikuwepo na kikundi maalumu cha kufungulia maji ya mtela ili tu kutengeneza mgao haramu wa umeme na wao kutengeneza biashara za majenereta

Mbinu hiyo iliwafumbua watanzania wengi, na tangu tamko hilo Kutoka Kwa Amiri Jeshi kamanda na Jiwe JPM (hayati) lilipotoka, hakukuwepo mgao wa umeme tena!

Ili sauti hiyo ipotee na watanzania waamini, ni lazima hao hao ambao walikuwa wakifumgulia mabwawa ya umeme enzi za utawala wao wapangue hoja za ukweli za hayati JPM Kwa maneno ya dhihaka, kejeli na uwongo mwingi ili kuhalarisha kile wanataka kufanya ili hali pia wakijua hayupo duniani na hawezi kusema tena

Wengi wa wa watanzania ni watu wa kusahau mapema saana! 2015 wakati JPM akiingia madarakani, mwaka huo kulikuwepo ukame Mkubwa sana wa mvua, lakini umeme nchini haukusumbua kama wanavyofanya sasa

Sasa kinachofanywa na wizara hiii Kwa sasa, ni propaganda za kuhalarisha madudu yao,

Propaganda hizi, zilianzia kwenye ujenzi wa Bwawa la JKNHP, na kiukweli Kwa propaganda zao, wamewaweza watanzania wajinga wale wafoji vyeti!

Mbwembe hizi zoote zinazofanywa Kwa press ama machapisho mengi mitandaoni kuhusu ukweli wa namna nchi ilivyo na inavyotakiwa iwe, kwa sababu hiyo, hizi ni njia tu za wao kutaka kuitafuna nchi

Miradi iliyokuwa ikijengwa bila tozo sielewi kama inaendelea ama la, Kwa sasa tuna tozo juu, lakini hadi Leo Bwawa linalotazamiwa kuzalisha umeme Mgw2000 iwapo linaendelea na mpango wa lini linakamilika ni lini haijulikani!

Nchi ya ajabu hii

Basi tumejua JPM alituvuruga, Basi nyinyi leteni unafuu wa maisha yetu Basi!

Mmekalia kumseme tuu, lakini mmefanya nini napo haijulikani!
Dikteta kapotelea mavumbini!
 
Huduma zinapatikana sio tuu Kwa gharama nafuu Bali kwa uhakika zaidi..

Pili Kama umeme ulikuwa 17,000 mbona watz wote wasiingize sasa Kwenye nyumba zao?

Ukweli utabakia kwamba tulikuwa na Rais asiyejielewa Ambae ni WA maana kwa kundi kubwa la wajinga kama wewe mnufaika wa Utawala wake 😂😂.

Upuuzi kama huu ndio mlikuwa mnauweza👇
Kuandika hapa jukwaani sio kigezo cha kujiondoa kwenye listi ya vilaza na wafoji vyeti

Nimekwambia naninarudia tena, kama unaakili kumzidi unayemsema! Basi onyesheni kwamba mnaweza zaidi yake, yeye umeme aliwaingizia wananchi Kwa 27000 tu, basi nyinyi iwe chini ya hapo!

Alikuwa akiendesha nchi bila tozo, nyinyi werevu mmeweka tozo

Vyakula na bidhaa zilikuwa chini zaidi, werevu hata hili limekushindeni!

Umeme nao nao majanga, lipi sasa lenye kuwafanya wananchi wawaone ni werevu kushinda huyo mjinga?
 
Kuandika hapa jukwaani sio kigezo cha kujiondoa kwenye listi ya vilaza na wafoji vyeti

Nimekwambia naninarudia tena, kama unaakili kumzidi unayemsema! Basi onyesheni kwamba mnaweza zaidi yake, yeye umeme aliwaingizia wananchi Kwa 27000 tu, basi nyinyi iwe chini ya hapo!

Alikuwa akiendesha nchi bila tozo, nyinyi werevu mmeweka tozo

Vyakula na bidhaa zilikuwa chini zaidi, werevu hata hili limekushindeni!

Umeme nao nao majanga, lipi sasa lenye kuwafanya wananchi wawaone ni werevu kushinda huyo mjinga?
Excuses ya failures ndio hiyo ya kufoji cheti 😂😂..

Tulikuwa na Rais mjinga na asiyejua uchumi zaidi ya kuvuruga na kila sekta ili kuficha aibu akawa anasingizia sgr kutoajiri Wala kupandisha salary..

Raise mjinga aliyeshindwa kukuza Kilimo,
Rais mjinga aliyeua sekta binafsi,
Rais mjinga aliyeua real estates na,
Rais Mjinga aliyeharibu Uchumi huku mapato yakopotea na ndio maana alikufa kwa ujinga wake 😆😆..

Hayo yote hapo Juu na mengine mengi ni baadhi tuu ya masuala uanayofanyika bila excuses zozote za kijinga..
 
Excuses ya failures ndio hiyo ya kufoji cheti 😂😂..

Tulikuwa na Rais mjinga na asiyejua uchumi zaidi ya kuvuruga na kila sekta ili kuficha aibu akawa anasingizia sgr kutoajiri Wala kupandisha salary..

Raise mjinga aliyeshindwa kukuza Kilimo,
Rais mjinga aliyeua sekta binafsi,
Rais mjinga aliyeua real estates na,
Rais Mjinga aliyeharibu Uchumi huku mapato yakopotea na ndio maana alikufa kwa ujinga wake 😆😆..

Hayo yote hapo Juu na mengine mengi ni baadhi tuu ya masuala uanayofanyika bila excuses zozote za kijinga..
Ccm inatumia wajinga kusambaza ujinga mitandaoni!

Wewe ni mmoja wao, sikujibu tena pweza Mkubwa wewe
 
"Imaginary problems"
Nimeagiza majenereta ndugu zangu njooni mniunge.

 
Mtu aliyekuwa anajua mbinu zote za wafanyakazi wa Tanesico kwamba, kipindi hichoo cha wao kuongoza, kulikuwepo na kikundi maalumu cha kufungulia maji ya mtela ili tu kutengeneza mgao haramu wa umeme na wao kutengeneza biashara za majenereta

Mbinu hiyo iliwafumbua watanzania wengi, na tangu tamko hilo Kutoka Kwa Amiri Jeshi kamanda na Jiwe JPM (hayati) lilipotoka, hakukuwepo mgao wa umeme tena!

Ili sauti hiyo ipotee na watanzania waamini, ni lazima hao hao ambao walikuwa wakifumgulia mabwawa ya umeme enzi za utawala wao wapangue hoja za ukweli za hayati JPM Kwa maneno ya dhihaka, kejeli na uwongo mwingi ili kuhalarisha kile wanataka kufanya ili hali pia wakijua hayupo duniani na hawezi kusema tena

Wengi wa wa watanzania ni watu wa kusahau mapema saana! 2015 wakati JPM akiingia madarakani, mwaka huo kulikuwepo ukame Mkubwa sana wa mvua, lakini umeme nchini haukusumbua kama wanavyofanya sasa

Sasa kinachofanywa na wizara hiii Kwa sasa, ni propaganda za kuhalarisha madudu yao,

Propaganda hizi, zilianzia kwenye ujenzi wa Bwawa la JKNHP, na kiukweli Kwa propaganda zao, wamewaweza watanzania wajinga wale wafoji vyeti!

Mbwembe hizi zoote zinazofanywa Kwa press ama machapisho mengi mitandaoni kuhusu ukweli wa namna nchi ilivyo na inavyotakiwa iwe, kwa sababu hiyo, hizi ni njia tu za wao kutaka kuitafuna nchi

Miradi iliyokuwa ikijengwa bila tozo sielewi kama inaendelea ama la, Kwa sasa tuna tozo juu, lakini hadi Leo Bwawa linalotazamiwa kuzalisha umeme Mgw2000 iwapo linaendelea na mpango wa lini linakamilika ni lini haijulikani!

Nchi ya ajabu hii

Basi tumejua JPM alituvuruga, Basi nyinyi leteni unafuu wa maisha yetu Basi!

Mmekalia kumseme tuu, lakini mmefanya nini napo haijulikani!
Keshakufilia mbali, hutaki mfate Chattle
 
Kosoa Serikali ya sasa bila kumhusisha Magufuli kwa sababu KAFA na hatarudi kugombea

Kuna mapungufu ya hii serikali na lazima ikosolewe lakini sio kwa kumsifia yule shetani mtu
Hilo ndo hawataki.
Yaani kila wakikosoa lazima walitaje na lishatani lao, sijui ndo wanaliabudia!!
 
Huo ndio ukweli kabisa.awamu hii imeoza na imeshindwa kabisa kuongoza kwa akili.miradi mingi inasuasua na ubora wa miradi kwa sasa hauzingatiwi.wamekazana kumtukana jpm ili aonekane alikuwa mbaya kumbe wao ndiyo wabaya wanaifilisi nchi kwa kupeana madili wanayoyafanya wao kama ya kufungulia maji mabawa ya umeme lengo waanze umeme wa IPTL
 
Back
Top Bottom