Ili upumue na nuksi zinazoanza Kukuandama sasa Wewe kama Baba na Mwanao Mjeuri fanya yafuatayo

Ili upumue na nuksi zinazoanza Kukuandama sasa Wewe kama Baba na Mwanao Mjeuri fanya yafuatayo

Nikifafanua utakavyo Wewe nikipelekwa Kaburini kwa lazima utanisindikiza na kuyaanza Maisha yetu mapya na ya Kutukuka huko Mavumbini ( Udongoni ) kama waliotangulizwa na Yule mmoja aliyekoswakoswa na sasa amekita Kambi kwa Mla Mirungi Uhuru huku akiichungulia nchi yetu kwa mbali Mwili wake ukitamani Kuingia lakini Moyo wake unasita?

hahahahaha ngoja nikae kimya maana hata wewe "Pure talented, Charismatic feller, Game changer and Entertainer" unaogopa kabisa hata kufungua mabano tena ukipewa ulinzi kabisa na bingwa wa michezo hii aka Mr PK?..

Uchumi wetu unakua kwa zaidi ya 7%, Tunajenga miundo mbinu yetu kwa fedha za ndani, Tunajenga stieggler george, maflyover yakutosha, SGR na train ya umeme, mizigo bandarini kedekede, pato la mtanzania linakuwa kwa kasi sana, Tunamiliki madege ya kutosha, Elimu bure sasa, vituo vya Afya vimezagaa nchi nzima, Barabara za lami kila kona, Tumeshaanza kutoa misaada kwa mataifa masikini kama Malawi, Zimbabwe nk.. TANZANIA INASONGA MBELE SASA ila mabeberu na mawakala wao wanataka kutukwamisha sasa.
 
Mkuu unaniangusha bhana yaani hata Wewe 'Great Thinker ' wa JFni wa Kutomjua Matege Mbanio? Kuna Mtu leo ' alijipendekeza ' katika Banda la Watu wa Sheria na Haki za Binadamu bila Kualikwa pale Viwanja vya Mnazi Mmoja basi ndiyo huyo huyo.
Basi Mkuu nimekusoma
Hahahaha!!!!!
 
1. Ondoa Takataka Sugu iliyopo Ilala Boma inayopendwa sana na Mazingira ya Magogoni/ Kivukoni
2. Mtumikie Mungu kweli wa Ibrahim, Isaka na Yakobo na acha Kupenda Ushirikina kupitia Lucifer
3. Usikubali na usipende sana kupokea Ushauri wa ' Matege Mbanio ' na ' Mimacho Mimate ' unaowaamini
4. Punguza Kumsaliti wazi wazi na Kumdharau uliyemtoa Kota za Polisi kwani anakulaani Kimoyomoyo
5. Tumia muda wako mwingi Kutubu na Kisirisiri Kuwaomba radhi wale uliowakosea kwani wanaumia
6. Waheshimu Wakubwa zako na waliokutangulia pia Kikazi na acha Kuwadharau au Kuwadhalilisha
7. Jishushe acha Ubabe, Kiburi na Ujeuri wako wa Asili kwani ndiyo unaokugharimu kwa sasa

Nuksi yako yote imetokana na hayo mambo Saba (7) niliyoyataja hapa. Yatafakari na badilika upesi sana.
Hii fasihi kwenye 'takataka sugu' nimeielewa sana [emoji16][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Madayaspora wengi wa huko Marekani wakiongozwa na Rais wenu kutoka Texas au Dallas kama sijakosea aitwae Kazoora ni Watu ' Werevu ' sana, mbona Wewe ' Mdayaspora ' Mwenzao umekaa ' Kipopoma ' mno? Uko Marekani kweli au labda tupo wote tu hapa hapa Tandale Uzuri?
[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bora kubakia anonymous chief.
Nikifafanua utakavyo Wewe nikipelekwa Kaburini kwa lazima utanisindikiza na kuyaanza Maisha yetu mapya na ya Kutukuka huko Mavumbini ( Udongoni ) kama waliotangulizwa na Yule mmoja aliyekoswakoswa na sasa amekita Kambi kwa Mla Mirungi Uhuru huku akiichungulia nchi yetu kwa mbali Mwili wake ukitamani Kuingia lakini Moyo wake unasita?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Ondoa Takataka Sugu iliyopo Ilala Boma inayopendwa sana na Mazingira ya Magogoni/ Kivukoni
2. Mtumikie Mungu kweli wa Ibrahim, Isaka na Yakobo na acha Kupenda Ushirikina kupitia Lucifer
3. Usikubali na usipende sana kupokea Ushauri wa ' Matege Mbanio ' na ' Mimacho Mimate ' unaowaamini
4. Punguza Kumsaliti wazi wazi na Kumdharau uliyemtoa Kota za Polisi kwani anakulaani Kimoyomoyo
5. Tumia muda wako mwingi Kutubu na Kisirisiri Kuwaomba radhi wale uliowakosea kwani wanaumia
6. Waheshimu Wakubwa zako na waliokutangulia pia Kikazi na acha Kuwadharau au Kuwadhalilisha
7. Jishushe acha Ubabe, Kiburi na Ujeuri wako wa Asili kwani ndiyo unaokugharimu kwa sasa

Nuksi yako yote imetokana na hayo mambo Saba (7) niliyoyataja hapa. Yatafakari na badilika upesi sana.
Acha unabe, sifa zitakuponza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waswahili husema mzoea vya kunyonga abadan hali vya kuchinja. Kila uliloshauri linamantiki na yashasemwa sana ila ni kazi bure maana viumbe wengine ni kama mizigo ya mavi, haibebeki. Kikubwa tujiombee mwisho mwema tu sisi kama sisi. Ujuaji mwingi hatma yake ni fedheha na anguko.
 
Am told that he has turned to be a typical ' Syncretist ' unlike his predecessors.
He will come to be a living example of "How the mighty have fallen". Akumbuke si kila anaempigia makofi ni kwa dhamira ya kusifia, wengine wanashangilia anguko lake.
 
Ukiona hujaelewa jua ujumbe haukukulenga ama siyo size yako hivyo unapota kimya tu. Pathetic
Mkuu samahani kama nimekukwaza, ila namaanisha binafsi sijaelewa vizuri


Mkuu samahani kama nimekukwaza, binafsi sijaelewa kitu 1-7 ungefanunua kidogo itakuwa rahisi hata ujumbe ufike kwa wahusika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa Akili yako ya ' Kipopoma ' hiyo ilikutuma kabisa uje ' Unitishie ' Mimi hapa Jamvini? Pumbavu!
Ndiyo Nlikua nakusubiria sasa umeingia anga zangu blalifuu
Chakubanga mkubwa
Mwehu mkubwa
Niongeze mengine?? Au yanakutosha
Fisi jike hapo Vp lingine tena??
Popoma
Ngedere hapo Vp


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom