stabilityman
JF-Expert Member
- Jul 9, 2024
- 259
- 483
Inatakiwa uwe na kipato kizuri, wale mishahara yao kama unajitafuta ni mtihani.Kuna taasisi zinahusu wadada wa kazi hivyo chukua kule.ukipata shida wanafatilia mpaka kwao
Kuna taasisi zinahusu wadada wa kazi hivyo chukua kule.ukipata shida wanafatilia mpaka kwao
Sasa unajitafuta alafu haki zao unazivuruga,this time somo limekuwa Kali mno.Inatakiwa uwe na kipato kizuri, wale mishahara yao kama unajitafuta ni mtihani.
Hivi kuna Mchaga wa kufanya kazi za ndani?Dada wa kazi sahihi ni yule tu anaetoka kijijini kwenu tena kwa mtu unaemfahamu Sana.
SahihiMatapeli tu wale, huwa wanawaelekeza wadada wakae muda mfupi kwa waajiri wao...
Sababu huwa wanapata cha juu kila mdada anapochukuliwa na tajiri kwa mara ya kwanza...
Ambapo atafanya kazi miezi michache then hiyo hiyo taasisi inampeleka kwingine🤣🤣🤣Kuna taasisi zinahusu wadada wa kazi hivyo chukua kule.ukipata shida wanafatilia mpaka kwao