Ili watoto wawe na Afya Njema ni muhimu kuwapa chakula kipi Specific?

Ili watoto wawe na Afya Njema ni muhimu kuwapa chakula kipi Specific?

Checnoris

Senior Member
Joined
Aug 21, 2022
Posts
123
Reaction score
269
Unakuta watoto hawana afya ya kuridhisha hata ukiwaangalia kwa macho tu. Lakini Kuna Watoto wa familia nyingine ukiwatazama Wana Afya nzuri.

Naomba kuuliza ni nini kitamfanya mtoto aonekane kuwa na Afya Njema hata Kwa kumtazama tu?
 
feza boys.jpeg
Wape Tozo.
 
Sababu ni nyingi, sio msosi tu...kuna mwenendo wa afya toka azaliwe, chakula, genes, mazingira anayoishi nk...
Ila kwa upande wa msosi, inategemea na umri...
 
Mwanao anasoma kayumba na fagio la chelewa na kidumu,anapigwa jua njiani,hapati hata uji anashindi chai ya rangi na andazi,akirudo ugaki tembele
Atapauka tu
Maziwa ni muhimu sana kwa mtoto
 
1.Wanga - ugali, wali, kande, mikate na vingine.
2. Protini - mayai, maziwa, nyama, maharage
3. Vitamins - Matunda kwa wingi
4. Vitu vya watoto kuchezea nyumbani.
5. Sehemu safi ya kulala.
6. Kuwa mzazi na rafiki kwa watoto wako.
7. Wapeleke sehemu za watoto kucheza.
 
Back
Top Bottom