Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hashindi hata kwa mbeleko ya refaHABARI.
Ili yanga afuzu game la mwisho inatakiwa ashinde 3 goals game ya Mwisho na Mc Alger.
AL hilal mechi 4 point 10
Mc alger mechi 5 point 8
Yanga mechi 4 point 4
Tp mazembe mechi 5 point 2.
Hujui kitu..!! Akishinda mechi ya kesho na Al Hilal, atahitaji ushindi wa aina yoyote kwa MCAHABARI.
Ili yanga afuzu game la mwisho inatakiwa ashinde 3 goals game ya Mwisho na Mc Alger.
AL hilal mechi 4 point 10
Mc alger mechi 5 point 8
Yanga mechi 4 point 4
Tp mazembe mechi 5 point 2.
Ili yanga afuzu anatikwa kushinda mechi zake zilizo salia kwa idadi yoyote ya magoliHABARI.
Ili yanga afuzu game la mwisho inatakiwa ashinde 3 goals game ya Mwisho na Mc Alger.
AL hilal mechi 4 point 10
Mc alger mechi 5 point 8
Yanga mechi 4 point 4
Tp mazembe mechi 5 point 2.
Ameandika hivyo kwasababu anaamini Yanga kesho anafungwa na Al Hilal. Yaani hakuna namna anayoweza kuepuka kipigoYanga ikishinda Kwa Al hilal Bado itahitaji kushinda magoli matatu vs mc Alger???
Kuna muda hua mnatuchosha tu
Akifungwa Bado atahitaji kushinda 3-0 vs mc Alger???Ameandika hivyo kwasababu anaamini Yanga kesho anafungwa na Al Hilal. Yaani hakuna namna anayoweza kuepuka kipigo
Sasa Yanga akifungwa, si MCA tayari anakuwa ameshafuzu na point zake 8..!!?? Maana yake hata akimfunga MCA baada ya kufungwa na Al Hilal Yanga atafikisha point 7 tu..!!Ameandika hivyo kwasababu anaamini Yanga kesho anafungwa na Al Hilal. Yaani hakuna namna anayoweza kuepuka kipigo
UTOPOLO ATASHINDA NDIO ATASHINDA ILA NJAA.HABARI.
Ili yanga afuzu game la mwisho inatakiwa ashinde 3 goals game ya Mwisho na Mc Alger.
AL hilal mechi 4 point 10
Mc alger mechi 5 point 8
Yanga mechi 4 point 4
Tp mazembe mechi 5 point 2.
Tayari mshaingia wachawi mliopigwa fine South Africa kwa uchawi..!!Hashindi hata kwa mbeleko ya refa
Tunza hii we mbumbumbuUTOPOLO ATASHINDA NDIO ATASHINDA ILA NJAA.
Kesho ushindiHesabu za Yanga ziko hivi kesho draw then game na Mwarabu ashinde goli 3+
Kushinda njaa nao ni ushindi wa utopolo.Tunza hii we mbumbumbu
Acha kuongea kishabiki mkuu. Game ya kesho ni ngumu na ni ngumu kwa Yanga kwakuwa wana pressure ya matokeo. To me draw will be a fair results.Kesho ushindi
Hakuna cha kuongea kwa ushabiki wala nini, kesho ushindi tu..!! Yanga iliyofungwa na Ibenge ni ile ya kabla gari halijawaka..!! Sasa gari imewaka, haina break na ipo mteremkoni. Hulioni hilo?Acha kuongea kishabiki mkuu. Game ya kesho ni ngumu na ni ngumu kwa Yanga kwakuwa wana pressure ya matokeo. To me draw will be a fair results.