Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Tunza hii uje ushangazwe keshoKushinda njaa nao ni ushindi wa utopolo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunza hii uje ushangazwe keshoKushinda njaa nao ni ushindi wa utopolo.
Gari kuwaka ndio nn? Hilal gari imezima? Ushindi games 3 na draw moja unamdharau?Hakuna cha kuongea kwa ushabiki wala nini, kesho ushindi tu..!! Yanga iliyofungwa na Ibenge ni ile ya kabla gari halijawaka..!! Sasa gari imewaka, haina break na ipo mteremkoni. Hulioni hilo?
Umeielewa point yangu?Gari kuwaka ndio nn? Hilal gari imezima? Ushindi games 3 na draw moja unamdharau?
Hakuna r jiga wala kayoko kule kuna watu wamenyooka kama rula.Comrade, Yanga wakiamua kufuzu kibabe, wanaweza. Na ukumbuke tu haitakuwa mara ya kwanza kwao kufanya hivyo.
Ni msimu uliopita tu Yanga ilimtoa Beluzidad kwa idadi ya magoli manne yaliyotakiwa kuamua nani wa kuendelea kwenye mashindano. Na ndiyo maana nimesema Yanga ikiamua, inaweza kufuzu kibabe.Hakuna r jiga wala kayoko kule kuna watu wamenyooka kama rula.
Kivipi wakati akishinda hizo mechi mbili atafikisha pointi 10 na Mc Alger atabaki na 8 hizo hizo. Mnapigaje mahesabu....!!!??Yanga ikishinda Kwa Al hilal Bado itahitaji kushinda magoli matatu vs mc Alger???
Kuna muda hua mnatuchosha tu
Hakuna game ya Yanga iliwahi kuisha 0-0Al hilal 0 - 0 Yanga (Sare)
Yanga 3 - 0 MC Alger
Yanga to Quarter Finals
Peke yako ndo mwenye akiliSasa Yanga akifungwa, si MCA tayari anakuwa ameshafuzu na point zake 8..!!?? Maana yake hata akimfunga MCA baada ya kufungwa na Al Hilal Yanga atafikisha point 7 tu..!!
Dunduka hataumwambiaje hakuelewi unajisumbua tu ndugu.Hujui kitu..!! Akishinda mechi ya kesho na Al Hilal, atahitaji ushindi wa aina yoyote kwa MCA
Mbumbumbu akili wanatoa wapi?Yanga ikishinda Kwa Al hilal Bado itahitaji kushinda magoli matatu vs mc Alger???
Kuna muda hua mnatuchosha tu
Na hakuna penalty za dakika 97Hakuna r jiga wala kayoko kule kuna watu wamenyooka kama rula.
Mpira ungekuwa rahisi kiasi hicho mpaka sasa mngekuwa mnaongoza kundi.Yanga wakimfunga Al Hilal sidhani kama goli 3 ni ishu kwa mwarabu, walimfanyiaga Belouzdad comeback goli 4 na ni bora kuliko Mc Algiers
Kwa hiyo yanga asipo fuzu ni kwa sababu hajaamuwa?Ni msimu uliopita tu Yanga ilimtoa Beluzidad kwa idadi ya magoli manne yaliyotakiwa kuamua nani wa kuendelea kwenye mashindano. Na ndiyo maana nimesema Yanga ikiamua, inaweza kufuzu kibabe.
Namaanisha angalau sare, iwe 1-1, 2-2, nk. Sare yytHakuna game ya Yanga iliwahi kuisha 0-0
Kabisa gari limewaka na halina breki kilichobaki ni kugongwa na fao.Hakuna cha kuongea kwa ushabiki wala nini, kesho ushindi tu..!! Yanga iliyofungwa na Ibenge ni ile ya kabla gari halijawaka..!! Sasa gari imewaka, haina break na ipo mteremkoni. Hulioni hilo?
We Konda wa bajaj, unajisikiaje huko uliko na huu ushindi wa yanga?Kushinda njaa nao ni ushindi wa utopolo.
usha shuka chini kwa ajili ya kuteseka?Kabisa gari limewaka na halina breki kilichobaki ni kugongwa na fao.