sanalii
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 1,639
- 5,767
Matokeo yake unaunganisha nchi ambazo hazina "things in common" au zenye conflicts kabisa. moja ya kirusi kikubwa kwenye huu umoja ni Rwanda. Rwanda hakutakiwa kabisa kuingia kwenye huu muungano mana si muungwana kabisa. hatoseki na alichonacho.
Kama ningekua na maamuzi, ningeitoa Tanania kwenye huu Muungano na ningefanya msako mkali sana wa informers and intruder wote walio nchini in the name of EAC.
Mimi binfsi nimegoma kuzitambua nchi zote za kwenye jumuia hiyo nje ya Tanzania, kenya na Uganda.
Kama ningekua na maamuzi, ningeitoa Tanania kwenye huu Muungano na ningefanya msako mkali sana wa informers and intruder wote walio nchini in the name of EAC.
Mimi binfsi nimegoma kuzitambua nchi zote za kwenye jumuia hiyo nje ya Tanzania, kenya na Uganda.