MastaKiraka
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 5,736
- 18,648
Sintosahau asee, nilichomoka ofisini kama digi digi kwenda kutafuta azuma hapo posta benjamin mkapa towers. Hapo nimekutana na kijamaa kinaniuliza maswali mengi nikakiambia aisee ninahisi nina gono acha maswali mengi nipatie dawa. Demu aliyenipatia hilo dude namkumbuka vizuri tu