Ilikuwa tarehe kama ya leo january 2011

Tupo sana miaka ya shetani....... he he he......nimeangalia kidogo nikaona ID nyingi zilizochangia huu uzi ni RIP.....teh teh teh......ni makomandoo tu hustahimili vishindo.......

Walale pema huko walipo. .

Napenda kuwajulisha kwamba wimbo wa Taifa umebadilishwa na Darasa. ......Eti siku hizi unaitwa Muziki. ....
 
sijakuelewa mkuu uliposema hukuwahi kuwauliza mods kuhusu password yako, unataka kusema mods wanajua password zetu au?

Ha ha ha ha...

Labda wangeweza kunipa option ya kuweka password mpya au wangeweza kuunganisha ile ID ya Jambo Forums na hii ya Jamii Forums. .....
 

nilikuwa wapi kuona hii kitu jamani kweli siku hizi nimekuwa mvivu kutembelea jukwaa hili

hongera sana kwa kuwepo jf kwa muda huo bila ban ila mwambie Filipo anipe mzigo wangu kabla sijaanza makeke hapa hahahahaha bestito hongera sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…