CCM ni ile ile ukoo wa panyaSijawahi kuwaamini CCM! Sina sababu ya kuwaamini hata chembe
Hakuna malaika CCM wote ni waongo wakubwavita dhidi ya ufisadi nchini ni usanii!.
Umesahau tuliambiwa kuwa Andengenye Amesaini mkataba wa kifisadi wa matriolini ya hela, leo yuko wapi?, badala ya kuwa jela sasa hivi ni mkuu wa mkoa wa kigoma!
Sana na wana tabia ya kuweka watu jela wakikosa ushahidi huishia kuwambia wakiri kosa walipe pesa watoke jela, Yaani jela imekuwa biashara sasa badala ya kuwa chuo cha mafunzo ya NidhamuMagufuli ni kiongozi muongo muongoo, mbabaishaji babaishaji na mtu anayefika bei haraka sana!
Wengi hulipa pesa watoke jela hata kama hawana makosa imekuwa ni biashara sasaUkilipa ukiomba msamaha haiondoi kuwa ulikutwa na hatia, Sana unathibitisha kufanya kosa, kukili kosa nikuthibitisha kufanya kosa hakuondoi hukumu ndomana alilipa,
Ni aina mpya ya biashara huwakamata kuwaweka ndani mda mrefu kisha hulazimishwa kukiri kosa kisha kulipishwa pesa unaachiwa, rugamalila na seth waligoma ndiyo maana mpaka leo wapo jelaUNBELIEVABLE....
Nilikuwa sifahamu hili!!!
Yaani Deo Mwanyika, achilia mbali suala la kufunguliwa kesi ya uhujumu wa uchumi, kwa upande mwingine amekuwa bosi wa Acacia tangu enzi inaitwa African Barrick Gold!!
Yaani bosi wa Acacia/African Barrick Gold ile ile ambayo serikali ya Magu ilituambiwa hao jamaa ni majizi makubwa kuwahi kutokea katika medani ya wizi wa dhahabu Tanzania, leo hii bosi huyo huyo anapewa dhamana na serikali ile ile kuwakilisha maslahi ya wananchi na taifa kwa ujumla!!!
Tukisema Magufuli hana nia yoyote ya kupambana na ufisadi, kuna mamburula utaona wanakuja juu!!!!
Drama za Magufuli ni nyingi utafikir katibu Mwenezi....Hili hatuwezi kushangaa kwani JPM ndiyo zake. Amekuwa akiwachafua watu fulani kwa muda kwa lengo la kujitafutia sifa kwa wananchi. Mifano ya movie zake ni mingi ila natoa miwili tu kwa sasa: Unakumbuka wakati fulani akizungumza na Wafanyabiashara alipomchafua Kicheere wakati akiwa TRA? Lkn baada ya miezi mitatu alikuja msifia/msafisha na kumteua kuwa Mthibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali.
Sote tunakumbuka alipomshambulia Kange Lugola lkn lkn hadi leo hajawahishitakiwa pamoja na tuhuma zote zile.
Kusema kweli kisheria anabebeka bado kwa sababu hakufungwa wala hakukutwa na hatia yani aliyamaliza na DPP kama Mkuu alivyoshauri kuwa wahujumu uchumi wakikiri kosa wasameheweHivi huyu hawezi kuwekewa pingamizi la kukosa sifa ya kuchaguliwa kama kiongozi wa kisiasa kwa kupatikana na hatia mahakamani ya utovu wa maadili?
Ameruka viunzi kwa sababu mahakama haikumtia hatiani walimalizana na DPPWapinzani wake watakuwa wapumbavu kama watashindwa kumwekea pingamizi.
Halafu unajua Ruge, nilishahisi in advance kwamba hawezi kukubali kufanywa msukule lakini Seth, hasa kwa kuzingatia tatizo lake la kiafya, sikutarajia kabisa!!Ni aina mpya ya biashara huwakamata kuwaweka ndani mda mrefu kisha hulazimishwa kukiri kosa kisha kulipishwa pesa unaachiwa, rugamalila na seth waligoma ndiyo maana mpaka leo wapo jela
Deodatus Mwanyika alikuwa Attorney General lini ?Kuna ka ukweli kadogo, japo na wao kina mwanyika ilikuwa ni salama yao. Na hii bila kuficha ilitokana na influence kubwa aliyo kuwa nao Mwanyika The Attoney General . Tupo pamoja Mkuu. Ukitoa comment / uzi / Habari ikinyooka I will always give you a pat on your back.
Alikuwa anakula zaid ya hyoKweli binadamu hawaridhiki,,huyu mwanyika si ndo acacia wakimlipa mshahara wa milioni 40,kwa karibu miaka 10?!!!,
Bado anataka ubunge wa kazi gani,,au pesa imeisha?...
Na ile 1.5 billion aliyolipa baada ya prebargainig ilikuwa inahusu nini?Hayakuhusu ila aliyapangua na mahakama haikumhukumu nayo
Ina maana basi hana moyo wa kuridhika huyu kiumbe,,Alikuwa anakula zaid ya hyo
Magu n very cheap akiwa ofisn action n zingine akitoka the ya ofis mikwara kibao ana pretend kuwa hapendi rushwa kumbe mchukua 10% namba mojaMagufuli ni kiongozi muongo muongoo, mbabaishaji babaishaji na mtu anayefika bei haraka sana!
Ndo maana wanawekeana sumu na wanakufa bila kujua...n kama Dr Kimei yan umekua CEO CRDB bado unataka ubunge ..Ina maana basi hana moyo wa kuridhika huyu kiumbe,,
Wanadamu bana,,una hela unatafuta stress za kazi gani?,ulafi wa madaraka haujawahi kuacha mtu salama,,
Hata sio undercover huyo jamaa majina yake tungeyaona kwenye list tulizonazo.Kuna majibu tayari unayo na uneyatoa.
Ni UNDERCOVER mission accomplished