Uchaguzi 2020 Ilikuwaje Deo Mwanyika wa ACACIA aliyehukumiwa kwa Uhujumu Uchumi achaguliwe na CCM kugombea Ubunge Njombe Mjini?

Uchaguzi 2020 Ilikuwaje Deo Mwanyika wa ACACIA aliyehukumiwa kwa Uhujumu Uchumi achaguliwe na CCM kugombea Ubunge Njombe Mjini?

Mkuu sijasema hakubaliki...binafs sina chuki nae hata kidgo.
Isipokuwa makandokando yake ya uhujumu Uchumi kwa mjibu wa Mwenyekiti anaepambana na mafisadi huyo Bwana hakufaa kupewa kijiti..sheria inamruhusu kugombea koz hukumu yake haikutoka isipokuwa alilipa faini ya bilioni 1.5 means alikubali kosa
Alilipa faini bila conviction?
 
Kama ambavyo Rais Magufuli amekuwa akijigamba kuwa anapambana na mafisadi wakwepa kodi na wahujumu uchumi pamoja na mabeberu kwa kupitia kauli yake ya vita ya kiuchumi.

Huyu Mwanyika ndo Rais aliyetutangazia kuwa amawasiliano na wanasiasa wa upinzani ili wamuhujumu hadi kutoa ile kauli yake ambayo ilikuja kufanya kazi Sept 2017 kuwa kuna wasaliti katika vita na wanajeshi wanajua msaliti wanamfanyaje?.

Ikiwa mtu alihukumiwa palipo shaka kuwa alikwepa kulipa kodi na kupigwa ya bilioni 2 je kwa hayo makando ya uhujumu uchumi na kukwepa kulipa kodi na kuhukumiwa bado anafaa.

Au huyu mwanyika pale Mgodini alikuwa ni Afisa Kificho(undercover) au alikuwa Afisa Kipenyo (penetration officer) au ndo kama yule DSO wa Ngorongoro alokamatwa na kwa kuhongwa magari na Mwarabu na hatujasikia tena kesi yake.

Sitaki kusemea sheria na katiba ila naomba tusemee utamaduni wetu na Rais wetu anaepambana na mafisadi ni kweli Mkuu anapambana na mafisadi majizi na wala rushwa au ni selective nani aachwe nani afungwe.


Kama niliyemsema siye na majina yamefanana nitangulize msamaha.
Meko hajawahi kujielewa alikuja na lugumi,mpka leo kamshindwa kaamua kunyuti...huyo deo ni jinga tu utajiri wote huo ukasubirie posho za bungeni
 
Au huyu mwanyika pale Mgodini alikuwa ni Afisa Kificho(undercover) au alikuwa Afisa Kipenyo (penetration officer) au ndo kama yule DSO wa Ngorongoro alokamatwa na kwa kuhongwa magari na Mwarabu na hatujasikia tena kesi yake.[emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541]hawa watu wawili
Afisa kificho na afisa kipenyo ukifanikiwa kuona list yao kuna watu ukikutana nao unaweza kuwakimbia ..hata huko upinzani wamejazana
Deo Mwanyika is among them......

Some informations are so classified for everyone to have it easily.
Wacha tuendelee kuchambua kwa ufahamu na uono wetu wa kawaida.

You are missed bro!
 
Kama ambavyo Rais Magufuli amekuwa akijigamba kuwa anapambana na mafisadi wakwepa kodi na wahujumu uchumi pamoja na mabeberu kwa kupitia kauli yake ya vita ya kiuchumi.

Huyu Mwanyika ndo Rais aliyetutangazia kuwa amawasiliano na wanasiasa wa upinzani ili wamuhujumu hadi kutoa ile kauli yake ambayo ilikuja kufanya kazi Sept 2017 kuwa kuna wasaliti katika vita na wanajeshi wanajua msaliti wanamfanyaje?.

Ikiwa mtu alihukumiwa palipo shaka kuwa alikwepa kulipa kodi na kupigwa ya bilioni 2 je kwa hayo makando ya uhujumu uchumi na kukwepa kulipa kodi na kuhukumiwa bado anafaa.

Au huyu mwanyika pale Mgodini alikuwa ni Afisa Kificho(undercover) au alikuwa Afisa Kipenyo (penetration officer) au ndo kama yule DSO wa Ngorongoro alokamatwa na kwa kuhongwa magari na Mwarabu na hatujasikia tena kesi yake.

Sitaki kusemea sheria na katiba ila naomba tusemee utamaduni wetu na Rais wetu anaepambana na mafisadi ni kweli Mkuu anapambana na mafisadi majizi na wala rushwa au ni selective nani aachwe nani afungwe.


Kama niliyemsema siye na majina yamefanana nitangulize msamaha.
Kwani waimbapo "... ni ile ileee..." huwa hatuelewi?
 
Hii akili ya CCM ilivyotumika kukata majina mpaka sasa nashindwa kuelewa.... Hivi kweli unamkata Masele halafu unawaacha akina Msukuma., Malinga, Kibajaji....!!
Duuu jamaa anapenda wanaomsifia sana au wanaowatukana wapinzani.
 
Au huyu mwanyika pale Mgodini alikuwa ni Afisa Kificho(undercover) au alikuwa Afisa Kipenyo (penetration officer) au ndo kama yule DSO wa Ngorongoro alokamatwa na kwa kuhongwa magari na Mwarabu na hatujasikia tena kesi yake.[emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541]hawa watu wawili
Afisa kificho na afisa kipenyo ukifanikiwa kuona list yao kuna watu ukikutana nao unaweza kuwakimbia ..hata huko upinzani wamejazana
Nkwei kabisha mghoshi....kaka wa huyu mja aliwahi kuwa AG remember?
 
Ndio maana tunasema yule Mzee tatizo lake kubwa ni hana principle.

Hana anachokisimamia kutoka moyoni, muda wote, kwa yeyote, kwa hali yeyote.

Kila kitu kwake kinazungumzika, kina maelewano, kina bei. Hata yeye mwenyewe anazungumzika.

Utaratibu wa kukata jina una maana gani, unatumika nyakati gani kama humkati convicted felon uliyesema ni msaliti anaehujumu nchi kwenye vita ya kiuchumi kwa kutoa siri za nchi?
Kifupi ni kiongozi muongo na mbabaishaji. Na mbaya zaidi ni kwa anaowaongoza wengi ni watu wajinga sana na wanamuamini na kumtukuza kwa kila asemalo huku wakijua anawadanganya.
Haiwezekani Leo umtangaze mtu kuwa ni mwizi wa taifa, msaliti wa vita ya uchumi, anashirikiana na maadui wa nje kisha umuweke ndani muda mrefu na mwisho umlime faini kubwa ili umuachie na kumpa uongozi wa kisiasa katika mchujo wa kutafuta watu waadilifu. Tena ndani ya muda mfupi na hakuna wa kukuhoji?
Viongozi wengine wa chama chake, wanachama na wananchi wamuungao mkono hakika ndio wanapaswa KUPIMWA AKILI ZAO jee wako timamu kuishi ndani ya huo uongo?
 
Kama ambavyo Rais Magufuli amekuwa akijigamba kuwa anapambana na mafisadi wakwepa kodi na wahujumu uchumi pamoja na mabeberu kwa kupitia kauli yake ya vita ya kiuchumi.

Huyu Mwanyika ndo Rais aliyetutangazia kuwa amawasiliano na wanasiasa wa upinzani ili wamuhujumu hadi kutoa ile kauli yake ambayo ilikuja kufanya kazi Sept 2017 kuwa kuna wasaliti katika vita na wanajeshi wanajua msaliti wanamfanyaje?.

Ikiwa mtu alihukumiwa palipo shaka kuwa alikwepa kulipa kodi na kupigwa ya bilioni 2 je kwa hayo makando ya uhujumu uchumi na kukwepa kulipa kodi na kuhukumiwa bado anafaa.

Au huyu mwanyika pale Mgodini alikuwa ni Afisa Kificho(undercover) au alikuwa Afisa Kipenyo (penetration officer) au ndo kama yule DSO wa Ngorongoro alokamatwa na kwa kuhongwa magari na Mwarabu na hatujasikia tena kesi yake.

Sitaki kusemea sheria na katiba ila naomba tusemee utamaduni wetu na Rais wetu anaepambana na mafisadi ni kweli Mkuu anapambana na mafisadi majizi na wala rushwa au ni selective nani aachwe nani afungwe.


Kama niliyemsema siye na majina yamefanana nitangulize msamaha.
Majizi yote yamejazana CCM
 
Mkuu huyu ndiyo huyo huyo wa Acacia na pia mgombea Ubunge kwa ticketi ya CCM. Kuna video mtandaoni akiomba kura (Njombe) na aliulizwa kuhusu swala hili akahakikisha ni yeye na akajitetea. Lakini swli lako linafikirisha. Mwenyekiti kampitishaje hiyo ni siri yake. Huyo ndio JPM aliewahi kusema "inategemea nimeamkaje" huwezi kumtabiri. Au walimsingizia Deo wa watu?
Hili hatuwezi kushangaa kwani JPM ndiyo zake. Amekuwa akiwachafua watu fulani kwa muda kwa lengo la kujitafutia sifa kwa wananchi. Mifano ya movie zake ni mingi ila natoa miwili tu kwa sasa: Unakumbuka wakati fulani akizungumza na Wafanyabiashara alipomchafua Kicheere wakati akiwa TRA? Lkn baada ya miezi mitatu alikuja msifia/msafisha na kumteua kuwa Mthibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali.
Sote tunakumbuka alipomshambulia Kange Lugola lkn lkn hadi leo hajawahishitakiwa pamoja na tuhuma zote zile.
 
Back
Top Bottom